Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wewe ukapona?Tibaijuka ndio bomu kuliko chochote , labda kama hakukuwa na Maslahi yake , kule kurasini Mivinjeni Tibaijuka alisimamia dhuluma ya nyumba za wakazi wale kwa kuwalipa hela ndogo , kwa kisingizio cha kupanua Bandari , baada ya watu wale kuondolewa kwa mtutu wa bunduki , hakuna bandari iliyopanuka , bali eneo aliuziwa Oil com na Bakhresa .
Zaidi ya Nusu ya wakazi walioondolewa pale wamekufa kwa msongo wa mawazo huko walikohamia .