Nehemia Mchechu bila ya ‘speed governor’ ni tatizo. Ndugu zangu wa mitaa ya ‘Al Muntazir’ Upanga mjipange

Nehemia Mchechu bila ya ‘speed governor’ ni tatizo. Ndugu zangu wa mitaa ya ‘Al Muntazir’ Upanga mjipange

Hivi hii sera ya ubia ya NHC ilipelekwa kabisa kwenye baraza la mawaziri, wakailewa na kusema sawa.

Mtu ana mpango wa kwenda kuvunja majengo kadhaa kisa tu yapo prime areas na kuwatoa wapangaji sio tu hana hela ya kuendeleza yeye mwenyewe bali the immorality of it all is beyond me.

Kama hela kila kitu basi sasa hivi kusingekuwa na nyumba za ovyo Mikocheni, Msasani, Tetegeta, Kariakoo, Ilala na prime areas zingine za bongo.

Kila mwenye nyumba tokea miaka ya 80 isiyoendana na nyumba zinazojengwa leo maeneo hayo sasa hivi ingekuwa keshahama kitambo kwa kuuza.

Uwezi kunyanyasa watu kwa sababu eneo ni prime na serikali ina miliki nyumba kwa hivyo vunja tu.

Juzi raisi Samia katoka kwenye msiba uingereza eneo alilopanda basi maeneo ya ‘Marble Arch’ mbele kidogo tu ‘Oxford Street’ sidhani kama kuna prime area duniani kama hapo (labda Tokyo) na kuna council flats zilijengwa zamani. Safari yake ya mile mbili kufika msibani mpaka Westminster njia nzima ina sehemu kuna nyumba za serikali in short ‘west end’ yote ina maeneo yana council flats ambazo ingelikuwa ni matakwa ya matajiri tu wangeshanunua zote na kuzivunja. Lakini hata kwa nchi za mabeberu it’s immoral and inhumane uwezi fanya ivyo.

Na ndio sera inayofanya watu matajiri watafute maeneo mengine ya kuendeleza na kutengeneza future prime areas.

Ni hivi huyu Nehemia hana uwezo na nafasi anayopewa hapo NHC alianza Tibaijuka kumfunga speed governor alizuia huu mpango alipokuwa waziri, Lukuvi nae akamfunga tena speed governor kwenye kuwapandishia kodi wapangaji kwa asilimia 200% na kumtaka aache tena kupandisha kodi ovyo (hizo zilikuwa zama za J.K) na Magufuli ndio akamtibua kabisa kwa kutaka kuendelea serikali kumpatia dhamana ya mikopo ambayo inaishia kuhudumiwa na walipa kodi badala ya miradi anayojenga.

Huyo mtu hana uwezo wa kufanya miradi ya kibiashara inayohitaji mbinu anataka vitu rahisi tu kutekelezeka.

Hiyo sera inaenda waumiza watu kwa sababu ambazo hazina msingi wa kibiashara ya shirika la umma ata kidogo.
Tuache udezo dezo, shirika litajiendesha vipi, nyumba zenyewe wanakaa wahindi, wanalipa pesa uchwara, shirika lazima lijiendeshe kama huwezi unahama unaenda kuishi keko, mtoni, zakiem, bungu, ikiwiriri masiha yaendelee. taasisi na mashirika lazima yaanza sasa kujiendesha kwa 100%.

Tumuache Lukosi afanye kazi yake habahatishi
 
National Housing hazikujengwa ili watu wakae maisha yao yote, na wajukuu wazirithi pia.
Ni kama transitional programme. kwa hiyo siyo sawa watu kudhani zile ni nyumba zao.
National Housing hazikujengwa ili watu wakae maisha yao yote, na wajukuu wazirithi pia.
Ni kama transitional programme. kwa hiyo siyo sawa watu kudhani zile ni nyumba zao.
La msingi hapa ni wanaitwa wapangaji kwenye hizo ngumba kujitambua na kitambua nafasi zao kama wapangaji na wala siyo wenye nyumba na hizo nyumba ni kwamba wanaishj mle kwa sababu mwenye nyumba naye ameridhia wakae huku wakilipa kodi ya pango hivyo ridhaa ya kuendelea kuwa mpangaji inatoka pande zote mbili yaani kwa mwenye nyumba na kwa mpangaji na inapofika kipindi mwenye nyumba anataka kuibadilisha nyumba yake ili aweze pia kunufaika na hiyo nyumba basi mpangaji hawezi kumnyima mwenye nyumba hiyo nafasi, miaka hiyo ya nyuma walikaa hao wapangaji wakijilipia kodi ndogo kwa sababu maisha yalikuwa rahisi pia na shirika nalo lilikuwa halijakaa ktk muundo kujiendesha kibiashara pengine ilipatikana pesa kidogo ya kutosha kuwalipa mishahara wafanyakazi wa NHC na hata kama isingetosha serikali iliyapatia haya mashirika ruzuku za kujikimu ili yaendelee kuwepo na yajiendeshe kwa hasara ni tofauti na wakati huu maisha yamebadilika shirika limekuwa na limehipanga kujiendesha kibiashara na serikali haiwapi tena ruzuku lakini pia tukumbuke kwamba shirika likipata faida siyo kwamba watafaidi tu wapangaji wa nyumba za shirika bali ni raia wote maana hili ni shirika la uma na pia serikali ikilipatia shirika ruzuku ni pesa ambayo inawaumiza uma ambao siyo wapangaji maana tunawasaidia walio wachache ambao ni wapangaji kumbe kinyume chake hii pesa ingekwenda kutekeleza miradi mingine ya maendeleao na shirika likipata faida serikali itapata gawio ambalo litawafaidisha watanzania wote. na tena tusisahau kwamba nchi inatakiwa iendelee ikiwa ni pamoja na kuweka majengo mazuei na ya kisasa sehemu zenye kustahili.hao wanaoishi humo ni muda wa kusogea tena nje ya mji kidogo ambako pia nyumba za kupanga zinapatikana za bei nafuu waziache hizi ambazo wapangaji wenye kulipa vizuri wanapatikana kirahisi maana watatulipa pesa nzuri na hatuwezi kuwajengea sehemu ambazo siyo prime tukitegemea kulipwa vizuri
 
Tuache udezo dezo, shirika litajiendesha vipi, nyumba zenyewe wanakaa wahindi, wanalipa pesa uchwara, shirika lazima lijiendeshe kama huwezi unahama unaenda kuishi keko, mtoni, zakiem, bungu, ikiwiriri masiha yaendelee. taasisi na mashirika lazima yaanza sasa kujiendesha kwa 100%.

Tumuache Lukosi afanye kazi yake habahatishi
Hizi ndio fikra za choyo kwanini asiende jenga hayo maeneo kuwaweka watanzania wengi zaidi kwenye nyumba hasa wafanyakazi wa serikali.

Miji inatanuka vipi kama serikali aitaki kuwekeza maeneo mengine.

Binafsi nina rafiki yangu kakulia Upanga nyumba ya serikali kajenga kwake Kinyerezi shughuli zake zipo huko alikuwa anasubiri shopping mall tu iishe ya mtoto mmoja wa Kigogo (sijui kama ishaisha) alisema ikiisha hiyo tu akienda mbali sana taifa kuangalia mpira. Kila kitu otherwise anachokitaka kipo Kinyerezi.

Tatizo la hawa watu ni kukariri awataki kutanua jiji kimkakati kwa kutengeneza miundombinu na kuweka huduma muhimu kama malls, shule na office space au business areas uone nje kidogo uone kama jiji alitanuki.

Wao wanachowaza ni kutengeneza easy money katika eneo la kilometre square kama nne au tano ya Dar nzima.

Hiyo kazi sio size yake miradi yote ya NHC Dar ipo ndani ya square meter 4/5 hizo tu za Dar, awaendi mbali.
 
Hizi ndio fikra za choyo kwanini asiende jenga hayo maeneo kuwaweka watanzania wengi zaidi kwenye nyumba hasa wafanyakazi wa serikali.

Miji inatanuka vipi kama serikali aitaki kuwekeza maeneo mengine.

Binafsi nina rafiki yangu kakulia Upanga nyumba ya serikali kajenga kwake Kinyerezi shughuli zake zipo huko alikuwa anasubiri shopping mall tu iishe ya mtoto mmoja wa Kigogo (sijui kama ishaisha) alisema ikiisha hiyo tu akienda mbali sana taifa kuangalia mpira. Kila kitu otherwise kila anachokitaka kipo Kinyerezi.

Tatizo la hawa watu ni kukariri awataki kutanua jiji kimkakati kwa kutengeneza miundombinu na kuweka huduma muhimu kama malls, shule na office space au business areas uone kama jiji alitanuki.

Wao wanachowaza ni kutengeneza easy money katika eneo la kilometre square kama nne au tano ya Dar nzima.

Hiyo kazi sio size yake miradi yote ya NHC Dar ipo ndani ya square meter hizo tu.
labda maelekezo ya wakubwa na miradi ina mkono wa wakubwa, we sent some on mission so what do you expect, no wishes death nutmeg so unafanya atakayo bwana wa mataifa na majeshi ya duniani.
 
La msingi hapa ni wanaitwa wapangaji kwenye hizo ngumba kujitambua na kitambua nafasi zao kama wapangaji na wala siyo wenye nyumba na hizo nyumba ni kwamba wanaishj mle kwa sababu mwenye nyumba naye ameridhia wakae huku wakilipa kodi ya pango hivyo ridhaa ya kuendelea kuwa mpangaji inatoka pande zote mbili yaani kwa mwenye nyumba na kwa mpangaji na inapofika kipindi mwenye nyumba anataka kuibadilisha nyumba yake ili aweze pia kunufaika na hiyo nyumba basi mpangaji hawezi kumnyima mwenye nyumba hiyo nafasi, miaka hiyo ya nyuma walikaa hao wapangaji wakijilipia kodi ndogo kwa sababu maisha yalikuwa rahisi pia na shirika nalo lilikuwa halijakaa ktk muundo kujiendesha kibiashara pengine ilipatikana pesa kidogo ya kutosha kuwalipa mishahara wafanyakazi wa NHC na hata kama isingetosha serikali iliyapatia haya mashirika ruzuku za kujikimu ili yaendelee kuwepo na yajiendeshe kwa hasara ni tofauti na wakati huu maisha yamebadilika shirika limekuwa na limehipanga kujiendesha kibiashara na serikali haiwapi tena ruzuku lakini pia tukumbuke kwamba shirika likipata faida siyo kwamba watafaidi tu wapangaji wa nyumba za shirika bali ni raia wote maana hili ni shirika la uma na pia serikali ikilipatia shirika ruzuku ni pesa ambayo inawaumiza uma ambao siyo wapangaji maana tunawasaidia walio wachache ambao ni wapangaji kumbe kinyume chake hii pesa ingekwenda kutekeleza miradi mingine ya maendeleao na shirika likipata faida serikali itapata gawio ambalo litawafaidisha watanzania wote. na tena tusisahau kwamba nchi inatakiwa iendelee ikiwa ni pamoja na kuweka majengo mazuei na ya kisasa sehemu zenye kustahili.hao wanaoishi humo ni muda wa kusogea tena nje ya mji kidogo ambako pia nyumba za kupanga zinapatikana za bei nafuu waziache hizi ambazo wapangaji wenye kulipa vizuri wanapatikana kirahisi maana watatulipa pesa nzuri na hatuwezi kuwajengea sehemu ambazo siyo prime tukitegemea kulipwa vizuri
Hiyo ni sub-letting uwezi kumpangisha mtu nyumba ya kukodi hiyo automatic unanyanganywa mkataba.

Wala uwezi kumuachia mtu contract ambae hakuwa mkazi hapo automatic, ukiona mswahili kamuachia nyumba mdosi elewa kuna mtu ndani ya NHC ana facilitate huo mchezo. Vinginevyo contract unaweza waachia watu waliokulia humo ndani tu.
 
Ndiyo mfumo wa Ujamaa huo. Wakina Nyerere walitaifisha nyumba za watu binafsi walizojenga kwa jasho lao na mpaka leo hawajalipwa fidia wala kurudishiwa mali zao. Wengi waliamua kuhama nchi. Leo serikali imewageukia wale wale waliofaidika kwa mali zilizoporwa kwa wengine, mnalalamika. Malalamiko yaanze kwa pale watu binafsi walivyoporwa nyumba zao kwa sera za Ujamaa wa wakina Nyerere.
 
Hivi hii sera ya ubia ya NHC ilipelekwa kabisa kwenye baraza la mawaziri, wakailewa na kusema sawa.

Mtu ana mpango wa kwenda kuvunja majengo kadhaa kisa tu yapo prime areas na kuwatoa wapangaji sio tu hana hela ya kuendeleza yeye mwenyewe bali the immorality of it all is beyond me.

Kama hela kila kitu basi sasa hivi kusingekuwa na nyumba za ovyo Mikocheni, Msasani, Tetegeta, Kariakoo, Ilala na prime areas zingine za bongo.

Kila mwenye nyumba tokea miaka ya 80 isiyoendana na nyumba zinazojengwa leo maeneo hayo sasa hivi ingekuwa keshahama kitambo kwa kuuza.

Uwezi kunyanyasa watu kwa sababu eneo ni prime na serikali ina miliki nyumba kwa hivyo vunja tu.

Juzi raisi Samia katoka kwenye msiba uingereza eneo alilopanda basi maeneo ya ‘Marble Arch’ mbele kidogo tu ‘Oxford Street’ sidhani kama kuna prime area duniani kama hapo (labda Tokyo) na kuna council flats zilijengwa zamani. Safari yake ya mile mbili kufika msibani mpaka Westminster njia nzima ina sehemu kuna nyumba za serikali in short ‘west end’ yote ina maeneo yana council flats ambazo ingelikuwa ni matakwa ya matajiri tu wangeshanunua zote na kuzivunja. Lakini hata kwa nchi za mabeberu it’s immoral and inhumane uwezi fanya ivyo.

Na ndio sera inayofanya watu matajiri watafute maeneo mengine ya kuendeleza na kutengeneza future prime areas.

Ni hivi huyu Nehemia hana uwezo na nafasi anayopewa hapo NHC alianza Tibaijuka kumfunga speed governor alizuia huu mpango alipokuwa waziri, Lukuvi nae akamfunga tena speed governor kwenye kuwapandishia kodi wapangaji kwa asilimia 200% na kumtaka aache tena kupandisha kodi ovyo (hizo zilikuwa zama za J.K) na Magufuli ndio akamtibua kabisa kwa kutaka kuendelea serikali kumpatia dhamana ya mikopo ambayo inaishia kuhudumiwa na walipa kodi badala ya miradi anayojenga.

Huyo mtu hana uwezo wa kufanya miradi ya kibiashara inayohitaji mbinu anataka vitu rahisi tu kutekelezeka.

Hiyo sera inaenda waumiza watu kwa sababu ambazo hazina msingi wa kibiashara ya shirika la umma ata kidogo.
Toa hao Sasa usivunje majengo kwenye eneo linaloweza zalisha zaidi kisa nini?

Huna uwezo kapange kunakolingana na pesa zako.
 
labda maelekezo ya wakubwa na miradi ina mkono wa wakubwa, we sent some on mission so what do you expect, no wishes death nutmeg so unafanya atakayo bwana wa mataifa na majeshi ya duniani.
Hiki ata mimi naamini ndio kiini cha hii sera.

Hasa wakubwa wanaofanya property development siku hizi kama biashara yao na wanataka prime areas only.
 
Hiyo imeshaonekana ni fursa ya upigaji, hao watu kama wana pesa wakaanzishe miji mipya na siyo kuja na ujanja ujanja kupora maeneo ya wanyonge kwa kisingizio kwamba hawana uwezo wa kuyaendeleza.
Wewe kama ni mnyonge tafuta maeneo ya wanyonge sio ukae eneo ambalo linaweza kuwa productive kwa kisingizio cha unyonge..

Ujinga wa dizaini hii haukubaliki.kwenye Dunia ya Sasa.
 
Hiki ata mimi naamini ndio kiini cha hii sera.

Hasa wakubwa wanaofanya property development siku hizi kama biashara yao na wanataka prime areas only.
There you are mortage business pays kuliko watu wajuavyo. na huku kwenye infant state or emerging markets hakunaga depreciation ya ville, flactuation ya mortage prices. valuation ya housing in shoot kulingana na maoni binafsi, mtu anapewa billion 5 kwa nyumba ya bilion moja wanaachaje hii biashara.
 
Tunataka jiji lipendeze hasa maeneo prime.
Hatuwezi kuacha mabanda ya mkoloni yaendelee kuwepo ambayo 75% wanaishi watu wenye uraia zaidi ya mmoja.
Kwanini na wao wasijenge nyumba za kudumu wakaishi kama kina kikwete, magufuli, mkapa nk amba wana nyumba zao.
Watu wanaishi kiujanja ujanja tu hela wanaenda kujenga canada, dubai na marekani.
Hapana hapana
Eti Kwa kisingizio Cha ujinga wa kuitwa wanyonge,stupid..

Tena sio tuu kupendeza bali kuingiza pesa za kuhudumia hao walalamishi wanaoitwa wanyonge..

Ni Bora mkadai kulipa fidia ya usumbufu it makes sense ila sio kupinga maendeleo Kwa kisingizio Cha unyonge..

Wamasai wamepisha maeneo kwa ajili ya maslahi mapana zaidi ya Nchi na sio blaa blaa za unyonge sijui mababubu.zenu kuzaliwa hapo and such shit.
 
Fuatilia mjadala toka mwanzo tunaongelea sera ya PPP ya NHC.

Hakuna aliesema NHC ni mali ya wakubwa.
Sera ina ubaya gani? Ipo hadi kwenye barabara ndio maana mtaanza kulipa till road kwenye baadhi ya barabara zinazojengwa kwa ushirika wa wabia..

In any way siwesi kukubaliana na huo Mtizamo wenu kwa kisingizio cha kupira ardhi ya wanyonge.
 
Kama waendeleza majengo wanataka kufanya biashara ,yapo majengo ya zamani ambayo watu walishauziwa wanaweza kuongea nao waingie ubia wa kuyaendeleza.

Mfano yale majengo ya railway mtaa wa ohio opposite ppf tower. Yale wafanyakazi walishauziwa. Ila ni ya zamani. Simple tu wanaweza kuingia mkataba na wakazi wa pale, wakapangiwa sehemu nyingine, zikavunjwa na kujengwa jengo zenye ghorofa nyingi tena za kisasa kisha wakazi wakapewa umiliki wa apartment na nyingine zikabaki kwa kampuni kwa malengo ya biashara.
Hata huku wanakotaka.kuvunja sasa inawezeka sio kwingine inawezekana sio huko unakotaja pekee
 
That’s how people do things ila hawa sio ethical developers chini ya huyo bwana.

Wao wanataka vitu rahisi hakuna re-allocations wala fidia. Ni kupora tu ndio wanachojua kama ilivyo kwenye tozo.
Hakuna anaepora usipotoshe..kama hakuna fidia hilo ni swala jingine Mnaweza dai ila Sio kupinga redevelopment kwa kisingizio cha unyonge..

By the way Wale wa kimala mliowabomolea mliwapa fidia? Au hawakuwa wanyonge?
 
Ushasema jengo lake. Sasa fidia ya nini?
Decorations haziruhusiwi. zinazoruhusiwa ni zile ambazo hazitabadili structure ya jengo.
NHC wapangaji wake hawafuati sheria, haiwezi kupata faida lazima private sector iingie.
Tuache mabo yasiyo na tija, ili mradi wabia wawe wamewekewa masharti yenye tija kwa kila pande.
Na hakuna kuchekea chekeana na kudekezana kwenye maendeleo,ndio maana hayo mashirika yanakufa yaani Kodi zetu ziwe zinawabeba wengine huko mjini , pumbavu zao..

Weka private sector kuwe na nidhamu ya mali..
 
There you are mortage business pays kuliko watu wajuavyo. na huku kwenye infant state or emerging markets hakunaga depreciation ya ville, flactuation ya mortage prices. valuation ya housing in shoot kulingana na maoni binafsi, mtu anapewa billion 5 kwa nyumba ya bilion moja wanaachaje hii biashara.
Bongo sidhani kama kuna mtu timamu anaweza nunua mortgage nyumba ya NHC.

Yaani nyumba ya 200+ million ulipe sijui 30% or whatever halafu ulipe mkopo wa kama million 160 at 18% for 30 years or whatever. Kama kuna mtu anafanya ivyo hayuko sawa.

Anyway let’s not turn this into a financial appraisal ya NHC investment. madeni yao yanayolipwa na Mwigulu kwa hela za walipa kodi badala return on investment ya miradi hayo sio matatizo yetu ni ya serikali.

Na kama wapo hao watu walionunua kwa mortage goodluck, ila nyumba nyingi walizotangaza wameuza kwa mortage in the past waliishia kupangisha tu.

Issue hapa ni kwenda kuonea watu and irresponsible government kwa raia wake.
 
Back
Top Bottom