Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wewe ukapona?Tibaijuka ndio bomu kuliko chochote , labda kama hakukuwa na Maslahi yake , kule kurasini Mivinjeni Tibaijuka alisimamia dhuluma ya nyumba za wakazi wale kwa kuwalipa hela ndogo , kwa kisingizio cha kupanua Bandari , baada ya watu wale kuondolewa kwa mtutu wa bunduki , hakuna bandari iliyopanuka , bali eneo aliuziwa Oil com na Bakhresa .
Zaidi ya Nusu ya wakazi walioondolewa pale wamekufa kwa msongo wa mawazo huko walikohamia .
That’s how people do things ila hawa sio ethical developers chini ya huyo bwana.Kama waendeleza majengo wanataka kufanya biashara ,yapo majengo ya zamani ambayo watu walishauziwa wanaweza kuongea nao waingie ubia wa kuyaendeleza.
Mfano yale majengo ya railway mtaa wa ohio opposite ppf tower. Yale wafanyakazi walishauziwa. Ila ni ya zamani. Simple tu wanaweza kuingia mkataba na wakazi wa pale, wakapangiwa sehemu nyingine, zikavunjwa na kujengwa jengo zenye ghorofa nyingi tena za kisasa kisha wakazi wakapewa umiliki wa apartment na nyingine zikabaki kwa kampuni kwa malengo ya biashara.
Upo sawa kwenye hili, Ila hapo kwenye kufidiwa ndio utata unapokujaga. Hata hivyo serikali kulipa watu waondoke maeneo yote prime ni ngumu na ndio maana kesi kila siku haziishi.Mm naunga mkono wa kuvunja nyumba maeneo ambayo ni prime areas.....
Mfano kinondoni shamba.....ile ni prime area palitakiwa pavunjwe watu wafidiwe haiwezekani eneo ambalo ni prime likaachwa squatter
Ova
Sasa naelewa kwa nini Ridhiwani kawekwa pale wizara ya Ardhi.Hilo ni moja ya eneo ambalo washasema litajengwa kwa ubia na GSM huyo huyo ndio atashinda tender ya kuwa mmbia.
Na JK mwenyewe siku hizi pamoja na mwanawe Ridhiwani wameingia kwenye property development; you get the idea kwanini Nehemia anawafaa hapo.
Anyway sipo hapa kuongea umbea wa kunyofolewa kucha ila uonevu lazima ukemewe.
I can honestly say, Nehemia Mchechu karudishwa hapo NHC na JK wala sio Samia.Nehemia ni aina ya watendaji wapendao sifa za kijinga na mshirika wa mafisadi na ndiyo maana JPM alimla kichwa.
Vilevile, huyo ni mmoja wa waliorejeshwa na Samia ili kumkomoa marehemu JPM 😄
Mabadiliko chanya!? Wangejenga kwanza kwenye open spaces walizonazo mfano pale Billcanas ilipovunjwa, unajua mwaka wa ngapi huu pako wazi!?Kwani hizo nyumbani mali ya nani?
Kama ni za serikali sasa utaizuiaje serikali kufanya inavyoona ni bora zaidi?
Acha kuleta mifano ya wakoloni wa kiingereza. Mbona Wachina wamevunja mijengo ya Zamani Shanghai na kujenga vitu vya ukweli na vya kisasa?.
Hakuna kuogopa mabadiliko chanya!
Fuatilia vizuri sera ya China hakuna alieondolewa bila ya kupewa nyumba kwanza na kupewa fidia maeneo waliyotoa wakulima.Kwani hizo nyumbani mali ya nani?
Kama ni za serikali sasa utaizuiaje serikali kufanya inavyoona ni bora zaidi?
Acha kuleta mifano ya wakoloni wa kiingereza. Mbona Wachina wamevunja mijengo ya Zamani Shanghai na kujenga vitu vya ukweli na vya kisasa?.
Hakuna kuogopa mabadiliko chanya!
Kwamba pakishajengwa hayo majengo ya kisasa, hao wenyeji watapata uwezo wa kukaa hizo prime area na sio wageni tena!? Bila shaka unaota, ukiamka utakutana na reality. Naomba tu usifie usingizini.Go Jeremiah it time African wamiliki nchi zao. The so called prime areas kwenye nchii hii zinakaliwa na wageni, doesn't reflect uafrica wetu
Hao unawasema akina Mkapa, Jk na wenzao walizawadiana (kununua kwa bei ya kutupa) zile nyumba za serikali tena kwenye prime areas. Kama wangekuwa na uchungu na hii nchi, wangeziuza kwa bei ya soko(ushindani) japo nchi ifaidike.Tunataka jiji lipendeze hasa maeneo prime.
Hatuwezi kuacha mabanda ya mkoloni yaendelee kuwepo ambayo 75% wanaishi watu wenye uraia zaidi ya mmoja.
Kwanini na wao wasijenge nyumba za kudumu wakaishi kama kina kikwete, magufuli, mkapa nk amba wana nyumba zao.
Watu wanaishi kiujanja ujanja tu hela wanaenda kujenga canada, dubai na marekani.
Hapana hapana
Hawa wendawazimu hawana uwezo wa kuona aibu. Wabaya sana.Tibaijuka ndio bomu kuliko chochote , labda kama hakukuwa na Maslahi yake , kule kurasini Mivinjeni Tibaijuka alisimamia dhuluma ya nyumba za wakazi wale kwa kuwalipa hela ndogo , kwa kisingizio cha kupanua Bandari , baada ya watu wale kuondolewa kwa mtutu wa bunduki , hakuna bandari iliyopanuka , bali eneo aliuziwa Oil com na Bakhresa .
Zaidi ya Nusu ya wakazi walioondolewa pale wamekufa kwa msongo wa mawazo huko walikohamia .
Honestly, JPM ana mabaya yake mengi, ila ni wazi alikuwa na nia ya dhati kuona nchi inaendela na hakupenda kabisa wahuni kujipatia fedha kiujanja ujanja.Kumkomoa jpm au marehemu(kama kweli anaweza kukomolewa)
Jpm alikuwa sawa na ibilisi akiona mpenda maendeleo anamuumiza ili aweke wasukuma wenzake
Huyu I doubt. Nilisikia aligawa nyumba za serikali kwa mahawara sijui ni kweli?ingekuwa bado JPM yu hai sidhani kama angeafiki.
Anajidanganya mwenyewe huyo. Kapuku wa ubungo maziwa atapata wapi jeuri ya kwenda kuishi kwenye hayo majengo mapya.!?Una point Ila bado hata hizo unazosema zijengwe bado watakaa watu wa hivyo tu.
Ila kodi lazma ipande na jiji lipendezeUna point Ila bado hata hizo unazosema zijengwe bado watakaa watu wa hivyo tu.
Ushasema jengo lake. Sasa fidia ya nini?Ushawahi ata kuusoma mkataba wa NHC au washirika la nyumba yoyote duniani kuhusu contract terminations au rules za kuachiana mikataba and the logic behind it?
Halafu issue sio watu kuishi maisha yao yote hapo, swala ni cheap business strategy.
Ukishawatoa hao watu unawapeleka wapi? Umeshaona shirika la serikali linavunja jengo lake bila ya kuwalipa watu fidia ya decorations wali ifanya na kuwatafutia wapangaji makazi mapya kwanza sambasamba na kodi zinazoendana kabla ya kuwatoa.
Hata Magomeni quarters kulikuwa na utaratibu sahihi na hizo kodi walizoweka ingekuwa bado JPM yu hai sidhani kama angeafiki.
Haya majengo ya Sasa chakavu wapangaji wazawa weusi wanauza haki ya upangaji kila siku kwa millioni 10 mpaka 20 na kurudi uswahilini kodi hawaimudu, ni Mchechu huyu huyu ndio alipandisha kodi kwa kiwango kikubwa.Anajidanganya mwenyewe huyo. Kapuku wa ubungo maziwa atapata wapi jeuri ya kwenda kuishi kwenye hayo majengo mapya.!?
Watalipia kinachostahili WAkikaaKwamba pakishajengwa hayo majengo ya kisasa, hao wenyeji watapata uwezo wa kukaa hizo prime area na sio wageni tena!?
Tatizo lako wewe unadhani mikataba ya NHC au public housing in general duniani ni kama ile inayoandikwa na wanasheria wa barabarani kwenye hivi vyumba tunavyopanga Magomeni.Ushasema jengo lake. Sasa fidia ya nini?
Decorations haziruhusiwi. zinazoruhusiwa ni zile ambazo hazitabadili structure ya jengo.
NHC wapangaji wake hawafuati sheria, haiwezi kupata faida lazima private sector iingie.
Tuache mabo yasiyo na tija, ili mradi wabia wawe wamewekewa masharti yenye tija kwa kila pande.