Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Bomu linalokwenda kutengenezwa pale TANESCO Mungu ndiyo anajua
Hahahahahaha yani safu ya wapiga dili imerudi mchezoni kwa aina yake 😅 hapo Makamba anaenda kupiga hela ndefu sana ndani ya muda mchache mno!

Hawa watu huwa wana circulate tu kama vile hakuna watu wengine wenye akili zaidi yao nchini! Leo NHC mara katumbuliwa kesho yupo NSSF mara kachomolewa keshokutwa yuko TPA mara kang’olewa anakuja kuibukia TANESCO! Je, hawa watu ni miungu ama? Don’t we have any new heads za management humu nchini ni lazma wawe hao hao akina Dau, Mchechu?
 
Hahahahahaha yani safu ya wapiga dili imerudi mchezoni kwa aina yake [emoji28] hapo Makamba anaenda kupiga hela ndefu sana ndani ya muda mchache mno!

Hawa watu huwa wana circulate tu kama vile hakuna watu wengine wenye akili zaidi yao nchini! Leo NHC mara katumbuliwa kesho yupo NSSF mara kachomolewa keshokutwa yuko TPA mara kang’olewa anakuja kuibukia TANESCO! Je, hawa watu ni miungu ama?
Subiri uone hili bomu litakapoanza kuwalipukia watanzania
 
Jakaya alifika pazuri wapi? Pa kuiba hela za umma? Wewe una akili kweli?
Nani hakuiba hela ww mchatu, yule aliyekuwa akigawa mihela kupitia juu ya gari unadhani zile alikuwa anazitoa wp?

Ilikuwa ni zuga tu ili wanaoitwa wa nyonge wamuone mzalendo kumbe alikuwa akizipiga kama zake huku doto James akiidhinisha

Stukaaaa
 
Hii reshuffle na sura zinazoingia dhamiri yangu inaniambia kitu kingine kabisa.

After six months kuna kampuni mpya inayojihusisha na Nishati huenda ikasajiliwa au itapata tender TANESCO.
Hahahahah tuombe uzima tu ila hilo lipo na linakuja! Kwanza hii ya nguzo za zege ni idea ya mtu tayari kujipigia mipunga na najua ni kampuni la mtu binafsi miongoni mwa hao hao jamaa😅
 
Vasco Da Gama Era inarudi. Hao Jamaa ni Sensational tu, walikuwepo awamu ya nne nadhani, wali_deliver Nini? Hakuna kitu. February Mswahili Swahili tu kama babaake, line ya kina Vasco Da Gama inarudi.

Nilimuelewa sana JOHN POMBE MAGUFULI, The guy was real, down to earth.
Bora zama za Vasco dagama kuliko za chief mangungo wa msovero,
 
Mchechu ule mradi wa nyumba za Oasis club alimpa Mwamvita Makamba nyumba mbili na Kaka yake January alipewa bado ambazo hatuvijui ukiacha partnership yake na Jk Magoroto

Unaategemea January hataacha kuludisha shukrani?
Kumbe ndio maana

Yaani kuna watu hawafai hata kuwa viongozi wa hii nchi basi tu

Nitaleta uzi hapa wa vetting ili taifa liwajue vizuri haea watu maana naona system inafeli sana
 
Mkuu Nehemia alikuwa na backup ya JK hila alianzishiwa mziki na Tibaijuka kuhusu kuongeza kodi.

Alikuwa akikutana na mziki huo anazindua mradi anamualika JK anamuonyesha migorofa aliyojenga. JK anasifia Dar imependeza asikii wala aambiwi kwa huyo mtu.

Sasa kama wewe waziri utafanya nini wakati boss anasifia?

Likaja sakata la escrow likaindoka na Tibaijuka, ardhi akaingia Lukuvi kitu cha kwanza alipiga stop rent hike na kukagua miradi yao.

Jamaa wazushi hao wakaleta hadithi za miradi yao ya Anna na Sifu kuuza nyumba zote, sijui wameingia mkataba na mabenki gani kuuza mortage za 18% plus. Na watu humu kumsifia jamaa ana miakili wakati common sense says ni hadithi tupu.

Kwa ufupi you understand how the government used to work kipindi cha JK. Ila mawaziri walijaribu sana, hasa Tibaijuka na hata Lukuvi.

Alipoingia Magufuli kwakuwa yeye ni mtu wa kufuatilia baada ya kuona hayo madeni yenyewe serikali ndio inalipa sasa huyo mtu ana faida gani ndio maana bila ya kujali miradi iliyo njiani akamtimua.

Huko ATCL upuuzi unaondelea ndio usiseme kama ilivyo kwa JK na NHC, ATCL na Magufuli ndio ovyo kweli kweli.
Mkiwa mnatueleza haya msisahau na kutuambia Uwanja wa ndege wa chato uliojengwa kipindi cha mungu wenu unatija gani kwa Taifa, crdb jengo kuubwa wateja hakuna, kweli nyani haoni kundule
 
Inanishangaza Sana watu kumlaumu kikwete ya kwamba ana influence na uongozi wa mama. Kiongozi wetu ni mama Samia, akitupeleka sivyo tumkosoe yeye kwa kutuharibia nchi, Kama mama anafuata ushauri wa kikwete haituhusu ila nchi ikienda hovyo tunamhukumu yeye. Sasa kulialia kikwete kikwete sidhani kama tuko sahihi
Kaka mama yako Ana influence aachane na watu wa JK magu aweke wake na yeye

Hana huo ubavu
 
Kwa shirika lenye changamoto Kama TANESCO...bora ya hao...kuliko usemao WAWEPO WOTE DAMU NYINGINE MPYA....ukiweka hisia pembeni utauona UHALISIA....ndani ya hiyo timu wako wapya wachache.....
Acha upumbavu wewe, ina maana hao jamaa pekee ndio wanaojua management sana kuliko wengine? Mbona kuna watu wako exposed na wana ma elimu makubwa tu ni Diaspora kwanini wasitafutwe hao kama hatuviamini vichwa vyetu vya UDSM?

Kiufupi hapo kitakachofata ni upigaji tu sawa na mbwa kumteua fisi na simba kukabidhiwa ulinzi wa bucha! Subirieni mgao na bei ya luku kupanda kwa sababu za ajabu ajabu. Sahizi wameanza na kisingizio cha kuweka nguzo za zege najua tutafikia ambako umeme unakatwa tu kwa kisingizio mabwawa yamekauka hayana maji y kutosha wakati mvua zilikuwa nyingi tu ili watu wauze majenereta na kukaribisha kampuni za mfukoni za kufua umeme.
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.

Sasa hivi CV ndo zinaongea. Mambo ya kupewa cheo kisa una kadi ya chama yanafifia. Huyo Nehemiah Mchechu alikuta benki ya NCBA inatengeneza hasara akaifanya mpaka kaanza kutengeneza faida.
 
Mkiwa mnatueleza haya msisahau na kutuambia Uwanja wa ndege wa chato uliojengwa kipindi cha mungu wenu unatija gani kwa Taifa, crdb jengo kuubwa wateja hakuna, kweli nyani haoni kundule
Ukijenga nyumba kubwa kijijini kwenu wakati una nyumba nyingine mjini na familia yako iko mjini kunakuwa kuna hasara gani? Ile nyumba wakikaa wazazi wako na ndugu zako kijijini inakua haijawafaidisha? Hebu ficha upumbavu
 
Don’t conlude kwa kuwaita wote ni matapeli mtoe abubakar Bakhresa pls hizo posho haziwezi kumsaidia chochote huyo ni tajiri Hana njaa hata kidogo, Busara zake zimefanya awekwe hapo
Subutuu, kwenye pesaaaaa
 
Huyu mchechu alivyokua D.G NHC alipiga madili ya Viwanja sana. Alikua ananunua viwanja kwa bei rahisi kupitia aliases then anaviuza kwa NHC kwa mabilioni, ama kweli safu nzima ya Mzee wa Msoga Itarudi yote. Yetu macho. Mama endelea kuupiga Mwingi.

Kila mtu ni mpigaji mzee. Hata Magufuli alipiga hela kwenye ma dreamliner. Cha muhimu ni matokeo!
 
Wenguje Hawana connection
Hivi hakuna watu wengine zaidi ya Hawa kina Mafuru,na Mchechu?
Sina ubaya nao,lakini Hawa wameishakuwa watumishi wa umma kwa muda mrefu,kwanini usiingize damu nyingine zenye uzoefu zaidi.
Mbona watu wapo kibao.
 
Back
Top Bottom