Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Mie na nani tuliohusika kukata umeme? We subiria tu kuicheza ngoma ya Msoga
 
Mie na nani tuliohusika kukata umeme? We subiria tu kuicheza ngoma ya Msoga
Tafuta uzi humu niliandika kumshauri Mama na Mama ameufanyia kazi , kuhusu hujuma zilizoanza kufanyika Tanesco na Nishati.

Hakuna cha Ngoma ya Msoga wala nini! Watu walianza kukata umeme ghafla, eti kituo cha Morogoro kikaungua kisa tu kuleta chuki kati ya Mama na Wananchi.

Na mama kawazingua Kweli. Hakuna mgao Tanzania
 
Hakuna shida. Sisi wananchi tunataka kuona umeme wa uhakika na wa bei nafuu unapatikana. Mwendo unaosuasua wa usambazaji umeme vijijini urudi kwenye kasi yake ya enzi za mwendazake tena bila upigaji.
Miradi mikubwa ya umeme isitetereke, ya Rufiji, Njombe na Makete. Umeme wa gesi utiliwe mkazo ili kuokoa jahazi wakati wa uhaba wa mvua unaoathiri mabwawa ya kuzalusha umeme wa maji.
Mimi sikuona shida ya Kalemani, alihitaji kukumbushwa tu kama alianza kupotoka. Makamba ni mpenda sifa na si mfuatiliaji kama alivyokua Kalemani. Yote kwa yote yetu tuwaombee wateule ili Mungu awaongoze wasimamie masilahi ya nchi na si masilahi ya watu wao na matumbo yao.
 
Mtu akiwa sio mfuatiliaji maana yake ni nini?
 
We subiria Escrow part 2 na sahizi hela watagawana kwenye VX V8 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
List ya wajumbe imejaa wataalam wazalendo watupu...

Tutarajie bei ya umeme kushuka zaidiii🀣🀣🀣
 
Alikuwaga yuko kwenye system enzi za mkwere Kama sio waziri basi mkuu wa mkoa
Thanks, unaona kabisa kuwa Msoga anatawala nchi hii. Hivi na makamba alikuwa kwenye cabinet ya Kikwete? It is now open kuwa Kikwete ndiyo natoa maamuzi au put it simply anamshauri Mama kwa kiasi kikubwa. Kikwete na Makamba baba ni kitu kimoja, pete na kidole hivyo Makamba Jr kuwa waziri si ajabu sana kwa wanaojua the "inside story"!
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
Hakuna mtu anaejitambua asiekuwa na njaa,binadamu anaejitambua lazima ana njaa ya kupanda zaidi ya alipo. Hata Jeff ana njaa,billgates ana njaa ndo maana unamuona anahangaika kuwekeza kwenye chanjo.
 
Kwani huyu bibi hatuwezi mpiga mashine hadharani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kuna kipindi enzi za Kikwete nadhani Makamba jr alikuwa mwandishi wake wa Hotuba...
 
Makamba pia aneshawai kuwa kwenye cabinet ya Magufuli umesahau? Na Magufuli Pia ameshawai kuwa kwenye cabinet ya Kikwete!
Hujui ilo?
 
Nimekuelewa sana,kila siku naamini huyu Mama ndo alihusika kumuua Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…