Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Bomu linalokwenda kutengenezwa pale TANESCO Mungu ndiyo anajua
FB_IMG_16307140795615105.jpg
 
Updates 26 September 2021


👆Video juu : JANUARY MAKAMBA AMTAMBULISHA MTOTO WA BAKHRESA KWENYE BODI YA TANESCO


.................................................................


25 September 2021
Maoni baada ya mjadala wenye afya kijiweni ni kuwa :

Wenye nchi wameingia kilingeni baada ya walibatizwa kuwa 'washamba' kushindwa kwenda na kasi ya "Mapinduzi ya Nne ya Viwanda".

Viongozi 'washamba' waoga wa globalisation, multilateralism, changamoto za 4th Industrial Revolution hawafai kupewa madaraka ya kuongoza wizara, taasisi , kampuni za umma wala kampuni kubwa za binafsi.

Mfano kiongozi wa jiji la Dar es Salaam jiji la kibiashara kitovu cha kuvutia biashara za ndani ya nchi na kikanda mpaka Mashariki ya Congo, Zambia, Zimbabwe, Rwanda, Burundi n.k kuogopa kulisafisha jiji letu liwe Dubai ya Afrika Mashariki kwa kuliboresha na kuwapanga upya machinga, huyo hatufai hapa Dar es Salaam. Na siyo DSm bali hata majiji mengine yote na miji nchini Tanzania yanahitaji kuongozwa na viongozi hao niliowasema wana uwezo wa kuleta mabadiliko chanya kwa kasi kubwa na kuachana na 'ushamba'.
 
Back
Top Bottom