Kukomoana, Mchechu alifukuzwa na Jiwe, sasa wewe unamruddisha.... naishia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukomoana, Mchechu alifukuzwa na Jiwe, sasa wewe unamruddisha.... naishia hapa
huyu ndiye nani na alikuwa nani?Hadi Mwanaidi Majaar !
Upo 100% sahihi. Sababu huwa hatupimi kazi tuzifanyazo kama zinatija kwa Taifa, na huwa hatujali records za nyuma za wanaoteuliwa kama zinapimika na kuonekana bila kutilia shaka, zaidi tunawasifu kiutendaji kwa kauli za kisiasa.Wao watu nyie watu
Kuteuliwa kwao ni kama vile ungeteuliwa wewe tuu...
Mimi sio wao
Watu tupo sawa lakini hatupo sawasawa
kwanini? you might be right or wrong, tupe sababuBomu linalokwenda kutengenezwa pale TANESCO Mungu ndiyo anajua
Hii reshuffle na sura zinazoingia dhamiri yangu inaniambia kitu kingine kabisa.kwanini? you might be right or wrong, tupe sababu
Ok, napata fununu.... kugawiana tenda ndiyo ulajiHii reshuffle na sura zinazoingia dhamiri yangu inaniambia kitu kingine kabisa.
After six months kuna kampuni mpya inayojihusisha na Nishati huenda ikasajiliwa au itapata tender TANESCO.
Hiki kinachofanyika siyo kwa lengo la kuleta ufanisi ila ni kwa lengo la kuleta wapigaji wapyaOk, napata fununu.... kugawiana tenda ndiyo ulaji
Hadi Mwanaidi Majaar !
hata mie nashangaa, wala keki ya Taifa ni walewale miaka nenda miaka rudi utadhani hakuna watz wengine wenye uwezo zaidi bhn!Tupambane jamani
Watu wanarudi wale wale kama vile watu hawapo
[emoji38][emoji38][emoji38]The return of the champions [emoji205]
Bomu linalokwenda kutengenezwa pale TANESCO Mungu ndiyo anajua
👆Video juu : JANUARY MAKAMBA AMTAMBULISHA MTOTO WA BAKHRESA KWENYE BODI YA TANESCO
Nina wasiwasi tanesco inarudi kuwa shamba la bibi.....
Hawalipwi mishahara bali wao wanakula posho ya kufa mtu kila pale wanapokutana posho ya siku moja inaweza kuwa sawa na mishahara ya mwaka mzima kwa wale wenzangu na mimi.Hivi wajumbe wa bodi wanalipwa mshahara kila mwezi au hua inakuaje?