Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Jamaa walituchelewesha sana kwa miaka mitano na miezi 5.

Kina Jakaya walikuwa wamefika pazuri lakini walivyoingia hawa jamaa wakaharibu na kutibua kila kitu ktk miaka 5 na miezi 5 waliyopewa uongozi uwe wa kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Jakaya alifika pazuri wapi? Pa kuiba hela za umma? Wewe una akili kweli?
 
Bodi nzito sana imejaa watu weledi

Maono ya January Makamba 2015
Interview with January Makamba @JMakamba #Mindspeak
Pia hapa visheni ya January Makamba kuhusu "Change au Mabadiliko Makubwa" kama alivyoona mwaka 2015 mwezi machi ktk mahojoano haya imetimia wakati muafaka wa kufanyika kwa vitendo mwezi September 2021

Source : Rich Management



25 September 2021
Nakubaliana, sina cha kuongeza juu ya uzoefu wa wanabodi walioupata wakiwa viongozi ktk ubalozi, biashara kubwa, kampuni na idara nyeti za kuendesha masuala ya fedha na ujenzi.
Abubakar is the Executive Director of Bakhresa Group. He controls the purchase and processing of wheat. Bakhresa Jr is a graduate of the Georgetown University and has a degree in finance. Read more: 10 top rich and successful children of billionaires in Africa
Mfano mwanabodi Abubakar Bahkresa anatoka ktk viwanda binafsi, suala la umeme na uzalishaji viwandani anaelewa unyeti wa kuwa na umeme wa kuaminika na wa bei nafuu.

Balozi Mwanaidi Majaar, balozi mstaafu wa Tanzania ulaya na Marekani ya Kaskazini pia ni Mwanasheria mbobevu. Mwanaidi Sinare Majaar | Rex Attorneys | ICLG

Mchechu aliongoza NHC kwa kuonesha uthubutu uliokuwa upo mbele ya wakati, kiasi akafanyiwa fitna. Nehemiah Mchechu

Lawrence Mafuru mtaalamu wa masuala ya fedha na mitaji, bila kusahau kuongoza taasisi nyeti. Hapa TANESCO watafaidika na uzoefu wake. FIMCO
 
Nadhani ifike mahali Watanzania tuache roho mbaya na husda, Hawa watu wana business acumen na rekodi zao kwenye kumanage mashirika hazitii shaka. Km tunataka TANESCO iwe successful mnataka nani ateuliwe?
Sielewi sijui tumelogwa mtu akiwa kiongozi tunataka awe hana mali au chochote akimiliki mali basi mwizi mchechu kafanya kazi ngapi kawa kwenye bodi ngapi mpaka awe maskini?
Na mtu akiwa maskini tunasema nakumbuka nikiwa mwaka wa pili Chuo nilifanya field Ifakara tukapita pahala tukakuta mzee mmoja anapasia kuni kwa shoka, nikaambiwa unamuona yule alikua OCD, sijui pesa yake kafanyia nini.
Ifike pahala tuchukue watu weledi watuongozee mashirika yetu ufanisi upatikane.
RAI: Unapoteua watu km hawa tunategemea shirika liendeeshwe kibiashara sio tunaatumia milioni mia saba kupeleka umeme pahala ambapo kuna wateja sita ili tupate mtaji wa kisiasa bila kuangalia km hiyo investment ni nzuri kwa shirika au la though hii kwa sasa REA itakuwa imepunguza.
Tuwaache wafanye kazi tuache majungu na myopic thinking ili taifa lisone mbele.
 
Nchi ipo kwenye ‘catch 22’

Mama amenogewa na nafasi ya uraisi ila hana uwezo wa kuendesha nchi wala awezi mudu mikiki ya kubakia come 2025.

JK ana mbinu za kupindua meza ndani ya CCM hii ni situation mpya no one knows what to do.

JK anafahamu mbinu za kukamata madaraka which is good kumlinda mama asitishiwe nyau.

Tatizo lipo wapi kwa sababu mama hana dira JK anaamini deep down he was a good president and his measures were necessary for the nation prosperity.

So with good intentions JK anaamini mama atatimiza his unfinished business.

Yaani aoni ubaya wake, wakati JK finances zinampiga chenga sana. Yeye akiona miradi imeanzishwa hayo
kwake ni mafanikio bila ya kuelewa long term debt commitment za nchi na kama hiyo miradi imefanyiwa appropriate appraisal; ndio kama anavyolilia Bagamoyo port na gas Mtwara.

Sasa kwenye kichwa chake watu kama Nehemia walikuwa na akili sana akiona majengo waliojenga as far as JK is concerned with his limited finance understandings that is progress.

Ngoja sasa aende ofisi ya DMO wizara ya fedha wamuelezee gharama ya hiyo miradi na yeye kuiwekea guarantee wakati aijilipi kwa walipa kodi na madhara yake kwa national debt (we do know kwenye deni la taifa almost 10 trillioni ni deni la TANESCO na NHC).

Bado ujagusia matumizi mabaya ya cash cow za NHS Nehemia alivyokuwa anazitumia vibaya kuficha his bad investment kwenye cash flow kwa kuwatupia kodi za nyongeza wapangaji kwa madeni wasiohusika nayo ili kuongeza mapato ya kuhimili madeni ya bad investment alizofanya.

Hizi ndio sababu wengine tulionya mama kumtumia mtu kama JK anajichimbia shimo; kwa sababu huyo mtu aoni makosa yake.

JK naively believes he was the best president; na afanyi hivyo kwa nia mbaya it’s just psychology he actually believes he was doing the right thing.

Kuna watu inabidi wamrudishe huyu mtu kwenye dunia ya ukweli. He wasn’t a good president and he made more bad decisions than good ones; and it’s time he should step away for good. Huyu mtu ni tatizo kwa Tanzania.
 
Ngoja niwaambie issue ilipo nchi ipo kwenye ‘catch 22’

Mama amenogewa na nafasi ya uraisi ila hana uwezo wa kuendesha nchi wala awezi mudu mikiki ya kubakia come 2025

JK ana mbinu za kupindua meza CCM na anafahamu mbinu za kukamata madaraka which is good kumlinda mama asitishiwe nyau.

Tatizo lipo wapi kwa sababu mama hana dira JK anaamini deep down he was a good president and his measures were necessary for the nation prosperity.

Yaani aoni ubaya, tatizo lipo wapi JK finances zinampiga chenga sana. Yeye akiona miradi inaingia kwake ni mafanikio bila ya kuelewa long term debt commitment za nchi na kama hiyo miradi imefanyiwa appropriate appraisal.

Sasa kwenye kichwa chake watu kama Nehemia walikuwa na akili sana akiona majengo waliojenga as far as JK is concerned with his limited finance understandings that is progress.

Sasa aende ofisi ya DMO wizara ya fedha wamueleze gharama ya hiyo miradi ya yeye kuiwekea guarantee wakati aijilipi kwa walipa kodi na matumizi mabaya ya cash cow za NHS zilizokuwepo Nehemia alivyokuwa anazitumia kuficha his bad kwa kuwatupia kodi za nyongeza wapangaji wasiohusika.

Hizi ndio sababu wengine tulionya mama kumtumia mtu kama JK anajichimbia shimo; kwa sababu huyo mtu aoni makosa yake.

JK naively believes he was the best president; na afanyi hivyo kwa nia mbaya it’s just psychology.

Kuna watu inabidi wamrudishe huyu mtu kwenye dunia ya ukweli. He wasn’t a good president and he made more bad decisions than good ones.
Swadakta
 
Mchechu, Mafuru, Mramba, n.k msoga line.

Huu si uteuzi wa jamaa. Kile kiwanda cha kuzalisha nguzo za zege ni cha...?

Fungeni mikanda,ndo tumeanza kuingia kwenye turbulences, mpaka Dec 26, tutakuwa tumeshazoea.
Cha nani ?
 
Tupambane jamani

Watu wanarudi wale wale kama vile watu hawapo
Kiongozi yeyote makini huwa anateua watu anaowafahamu au wanaofahamika na watu wake wa karibu kufanya nao kazi!! Huwezi ukamchukua mtu from nowhere ukaanza kufanya naye kazi, hii ni system ya dunia nzima!! Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa kupanda rank, utaanzia chini huku ukijijengea uaminifu kidogodogo hadi utafika huko juu!! Kama wewe ni muajiriwa angalia head wa department yako ni watu gani huwa anawaachia ofisi akisafiri?
 
Back
Top Bottom