Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Wanasiasa wanajua KUTUWEZA
yaani tumebaki Team Sukuma Vs Waliotoswa awamu 5
Team churtal Vs Kula na Kuliwa

Hivi tunadhani kwa kugawanywa hivyo nani anafaidi?
Mwizi ni mwizi fisadi ni fisadi hata kama ni wa upande ule.
Tuwapingeni
 
Hapo kuna kama majina manne makubwa yananitia mashaka sana na uadilifu wao kuanzia Mchechu,Mafuru,Maajar na Mzee Gachuma naona kama ni watu wa fursa zaidi,najua huyo mtoto wa Bakhressa hana njaa na hao wengine siwajui sana.
**Mchechu wamrudishe tu NHC Jamaa alikuwa smart sana na shirika lilinawiri sana kwa kweli,lakini mahahara wake uangaliwe upya.
 
We ni ktk wale waliopigwa chini na mama wa taifa?
8FA888FD-ACCB-40AF-8A59-E5165B7000DA.png


Umeona hilo shirika halina operation profit in the first place.

Sasa jiulize hizo finance costs zinalipwa vipi? Na ilikuwa ivyo for the past 10 years.

Umeshajiuliza hiyo billioni 150 kwa mwaka ambayo awawezi ilipa ingetoa ajira ngapi? Au serikali ingeitumia vipi?

Ina maana kwenye deni la taifa kila mwezi serikali ina service zaidi ya billion 12 point something kwa sababu waliwapa debt guarantee NHC kwenye miradi ambayo walitakiwa kulipa wenyewe kutokana na investment walizofanya.

Na walipa kodi wamekuwa wakilipa hayo madeni since the end of grace period ya mikopo ya NHC ilipoisha sometime in the early 2010.

TANESCO nako ni ivyo ivyo, is it common sense kuwarudisha kwenye body yoyote ya serikali watu waliowatia hasara hizo walipa kodi?

Kibaya zaidi wakati wanaanza kuelekea kuitia hasara serikali za baadae wengine walionya stop that nonsense. JK yeye ndio utamuona yupo nao akisifia Dar inapendeza na kujifanya anatoa historia ya NHC.

Wakati huo huo huyo Nehemia serikali inamlipia zaidi ya billioni 12 kila mwezi kwa mikopo aliyotakiwa kulipa yeye; akataka kukopa tena kwa guarantee ya serikali awekeze kwenye miradi yake ya ovyo. Hapo ndio Magufuli alipoona huu sasa ni upuuzi.

Hivi mnadhani huyo mtu Magufuli alimtimua kwa kumuonea; he just doesn’t have it.

Take it from me; kama kuna watu wana akili timamu ni muda wa kumwambia JK atulie Msoga na kucheza na wajukuu.

JK ni tatizo kwa mustakabali wa taifa sio kwa makusudi ila aoni mapungufu yake; he is just not an idea man.
 
Mkuu kilatha ongeza sauti tumekuelewa sana, je hapo waziri mwenye dhamana ya ardhi ni kwanini aliachwa tuu haya yote hakuyajua. Hii fact checking yako inakumbushia Ceo wa Precision air mmoja alitolewa Kenya alikuwa anapika data kuonesha shirika linaenda vizuri kumbe uhalisia haukuwa mzuri sana. Hi ni tabia ya ma ceo kuwa na ujanja ujanja mwingi na kuwaweka sawa mpaka wabunge walikuwa wakionge kuhusu NHC ni kusifia tuu.

Lakini story yako ya NHc ni sawa na reality ya ATCL. Madeni makubwa kuliko faida. Na wasipokuwa makini Tanesco litazidi kuelekea upande huohuo kwa team hii iliochaguliwa na decision za kisiasa.
 
Nchi ipo kwenye ‘catch 22’

Mama amenogewa na nafasi ya uraisi ila hana uwezo wa kuendesha nchi wala awezi mudu mikiki ya kubakia come 2025.

JK ana mbinu za kupindua meza ndani ya CCM hii ni situation mpya no one knows what to do.

JK anafahamu mbinu za kukamata madaraka which is good kumlinda mama asitishiwe nyau.

Tatizo lipo wapi kwa sababu mama hana dira JK anaamini deep down he was a good president and his measures were necessary for the nation prosperity.

So with good intentions JK anaamini mama atatimiza his unfinished business.

Yaani aoni ubaya wake, wakati JK finances zinampiga chenga sana. Yeye akiona miradi imeanzishwa hayo
kwake ni mafanikio bila ya kuelewa long term debt commitment za nchi na kama hiyo miradi imefanyiwa appropriate appraisal; ndio kama anavyolilia Bagamoyo port na gas Mtwara.

Sasa kwenye kichwa chake watu kama Nehemia walikuwa na akili sana akiona majengo waliojenga as far as JK is concerned with his limited finance understandings that is progress.

Ngoja sasa aende ofisi ya DMO wizara ya fedha wamuelezee gharama ya hiyo miradi na yeye kuiwekea guarantee wakati aijilipi kwa walipa kodi na madhara yake kwa national debt (we do know kwenye deni la taifa almost 10 trillioni ni deni la TANESCO na NHC).

Bado ujagusia matumizi mabaya ya cash cow za NHS Nehemia alivyokuwa anazitumia vibaya kuficha his bad investment kwenye cash flow kwa kuwatupia kodi za nyongeza wapangaji kwa madeni wasiohusika nayo ili kuongeza mapato ya kuhimili madeni ya bad investment alizofanya.

Hizi ndio sababu wengine tulionya mama kumtumia mtu kama JK anajichimbia shimo; kwa sababu huyo mtu aoni makosa yake.

JK naively believes he was the best president; na afanyi hivyo kwa nia mbaya it’s just psychology he actually believes he was doing the right thing.

Kuna watu inabidi wamrudishe huyu mtu kwenye dunia ya ukweli. He wasn’t a good president and he made more bad decisions than good ones; and it’s time he should step away for good. Huyu mtu ni tatizo kwa Tanzania.
Magufuli kakopa 49 trillion kwa miaka 5 JK makopa 21 trillion kwa miaka 10 who is the best
 
Nilikuwa namtetea huyu jamaa, ila kwa hili huyu hafai kabisa. Huyu Nehemia na ufisadi wote!!!!
Nehemia alichukua NHC ilikua na mtaji kias gani na madeni kiasi gani na mpaka anadondoka mtaji ulikua kiasi gani
 
**Mchechu wamrudishe tu NHC Jamaa alikuwa smart sana na shirika lilinawiri sana kwa kweli,lakini mahahara wake uangaliwe upya.
Mmh katika shirika liliongeza madeni ya serikali basi ni hilo NHC. Tatizo sisi ni wasahaulifu sana, ukirudisha nyuzi za miaka 8 nyuma basi hii comment unaweza kuifuta.
Kibaya zaidi alitumia kampuni zake kujenga miradi ya NHC kwa gharama kubwa.
Ila watanzania sisi ni watu wa ajabu sana, huyu mchechu kipindi Cha JK alikuwa na kila aina ya kashfa na uozo huko NHC,
 
Nehemia alichukua NHC ilikua na mtaji kias gani na madeni kiasi gani na mpaka anadondoka mtaji ulikua kiasi gani
NHC Ina mtaji? Katika shirika linalopaswa kufa la kwanza basi ni Hilo NHC likifuatiwa na Tanesco.
NHC wana madeni makubwa, na bado hapohapo serikali inaendelea kulihudumia. Kazi ipo
Au unapagawa na Yale maghorofa wanayojenga? Hujui kuwa ni mikopo ile ambayo madeni yake ni makubwa kupitiliza.
Ni sawa na mtu aseme ATCL ya sasa ipo vizuri kisa tu Ina ndege mpya 11, wakati zamani haikuwa hata na ndege 1. Kumbe kuna madeni makubwa Hadi ya kulifilisi shirika lenyewe
 
View attachment 1952878

Umeona hilo shirika halina operation profit in the first place.

Sasa jiulize hizo finance costs zinalipwa vipi? Na kilikuwa ivyo for the past 10 years.

Umeshajiuliza hiyo billioni 150 kwa mwaka ambayo awawezi ilipa ingetoa ajira ngapi? Au serikali ingeitumia vipi?

Ina maana kwenye deni la taifa kila mwezi serikali ina service zaidi ya billion 12 point something kwa sababu waliwapa debt guarantee NHC ya mikopo kwenye miradi ambayo walitakiwa kulipa wenyewe kutokana na investment walizofanya.

Na walipa kodi wamekuwa wakilipa hayo madeni since the end of grace period ya mikopo ya NHC ilipoisha sometime in the early 2010.

TANESCO nako ni ivyo ivyo, is it common sense kuwarudisha kwenye body yoyote ya serikali watu waliowatia hasara hizo walipa kodi?

Kibaya zaidi wakati wanaanza kuelekea kuitia hasara serikali za baadae wengine walionya stop that nonsense. JK yeye ndio utamuona yupo nao akisifia Dar inapendeza na kujifanya anatoa historia ya NHC.

Wakati huo huo huyo Nehemia serikali inamlipia zaidi ya billioni 12 kila mwezi kwa mikopo aliyotakiwa kulipa yeye; akataka kukopa tena kwa guarantee ya serikali awekeze kwenye miradi yake ya ovyo. Hapo ndio Magufuli alipoona huu sasa ni upuuzi.

Hivi mnadhani huyo mtu Magufuli alimtimua kwa kumuonea; he just doesn’t have it.

Take it from me; kama kuna watu wana akili timamu ni muda wa kumwambia JK atulie Msoga na kucheza na wajukuu.

JK ni tatizo kwa mustakabali wa taifa sio kwa makusudi ila aoni mapungufu yake; he is just not an idea man.
Acha kujiaibisha na chuki zako kwa kikwete! Na Ndo mana mnazidi kuonekana washamba! Kazi kudharau tu wanawake! Mnamdharau Samia kana kwamba yeye hana akili au hawezi kuongoza wajinga nyie.

Samia anachagua timu yake yeye anayoona inafaa kwa utashi wake na ushauri anaopewa na vyombo!

Huyo Magufuli unayemsifu hapa ndo ameiua National Housing. Tangu aingie miradi yote ya kawe, Morroco na kugamboni ilisimama na kufa kisa chuki zake na kijana mchechu!

Yeye alipenda kujenga na kupeleka miradi chato tena bila bajeti! Hela alikuwa anataka kuchukua kwenye mashirika na Ndo mana hakuendana na watu wenye misimamo na akili Kama Prof Assad, Nehemia Mchechu na Mafuru!
 
Huyu mchechu alivyokua D.G NHC alipiga madili ya Viwanja sana. Alikua ananunua viwanja kwa bei rahisi kupitia aliases then anaviuza kwa NHC kwa mabilioni, ama kweli safu nzima ya Mzee wa Msoga Itarudi yote. Yetu macho. Mama endelea kuupiga Mwingi.
Majungu tu.Mbona hakushitakiwa mahakamani kwa ufisadi?
 
Back
Top Bottom