Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nehemia Mchechu na Lawrence Mafuru warejea ulingoni, January Makamba awateua Wajumbe wa Bodi ya TANESCO

Nchi ipo kwenye ‘catch 22’

Mama amenogewa na nafasi ya uraisi ila hana uwezo wa kuendesha nchi wala awezi mudu mikiki ya kubakia come 2025.

JK ana mbinu za kupindua meza ndani ya CCM hii ni situation mpya no one knows what to do.

JK anafahamu mbinu za kukamata madaraka which is good kumlinda mama asitishiwe nyau.

Tatizo lipo wapi kwa sababu mama hana dira JK anaamini deep down he was a good president and his measures were necessary for the nation prosperity.

So in good intentions JK anaamini mama atatimiza his unfinished business.

Yaani aoni ubaya wake, wakati JK finances zinampiga chenga sana. Yeye akiona miradi imeanzishwa hayo
kwake ni mafanikio bila ya kuelewa long term debt commitment za nchi na kama hiyo miradi imefanyiwa appropriate appraisal; ndio kama anavyolilia Bagamoyo port na gas Mtwara.

Sasa kwenye kichwa chake watu kama Nehemia walikuwa na akili sana akiona majengo waliojenga as far as JK is concerned with his limited finance understandings that is progress.

Ngoja sasa aende ofisi ya DMO wizara ya fedha wamuelezee gharama ya hiyo miradi na yeye kuiwekea guarantee wakati aijilipi kwa walipa kodi na madhara yake kwa national debt (we do know kwenye deni la taifa almost 10 trillioni ni deni la TANESCO na NHC).

Bado ujagusia matumizi mabaya ya cash cow za NHS Nehemia alivyokuwa anazitumia vibaya kuficha his bad investment kwenye cash flow kwa kuwatupia kodi za nyongeza wapangaji kwa madeni wasiohusika nayo ili kuongeza mapato ya kuhimili madeni ya bad investment alizofanya.

Hizi ndio sababu wengine tulionya mama kumtumia mtu kama JK anajichimbia shimo; kwa sababu huyo mtu aoni makosa yake.

JK naively believes he was the best president; na afanyi hivyo kwa nia mbaya it’s just psychology he actually believes he was doing the right thing.

Kuna watu inabidi wamrudishe huyu mtu kwenye dunia ya ukweli. He wasn’t a good president and he made more bad decisions than good ones; and it’s time he should step away for good. Huyu mtu ni tatizo kwa Tanzania.
We ni ktk wale waliopigwa chini na mama wa taifa?
 
Nanyaro na Massawe haya majina yalikuwa hadimu sana
 
Mchechu, Mafuru, Mramba, n.k msoga line.

Huu si uteuzi wa jamaa. Kile kiwanda cha kuzalisha nguzo za zege ni cha...?

Fungeni mikanda,ndo tumeanza kuingia kwenye turbulences, mpaka Dec 26, tutakuwa tumeshazoea.
 
Mh. Kassim Majaliwa najua una account hapa JF, hebu jiuzuru uwaziri mkuu kulinda heshima yako....taratibu unaenda kuchafuka soon, utaondoka kama Lowassa!
Na sisi watanzania tumezidi kuwa kondoo, hili genge hatuwezi kuliondoa kwa njia ya masanduku ya kura, lazima tuje na mbinu mbadala!
 
Vasco Da Gama Era inarudi. Hao Jamaa ni Sensational tu, walikuwepo awamu ya nne nadhani, wali_deliver Nini? Hakuna kitu. February Mswahili Swahili tu kama babaake, line ya kina Vasco Da Gama inarudi.

Nilimuelewa sana JOHN POMBE MAGUFULI, The guy was real, down to earth.
 
Ndio maana ulianzishwa wimbo wa kuuza hisa 20% ipo kwenye DSE hawa watatu ni wauminj wa ahyo mambo Mchechu, Mafuru na Nanyaro hii ni close circle ya January ni wasomi wazuri lakini utawala wa JPM mchechu na mafuru waliondolewa Nanyaro alijipunguza mwenyewe toka EPZA.

Hatutapenda kusikia kampuni imetoka Toronto, marekani inapewa tender ya kuuza umeme yaleyale ya IPTL yatarudi.

Tuko watu milioni karibu 62 kweli majina yanarudi yale yale kwenye nafasi hivi ni nani aliyeturoga. Ifike wakati watawala waone aibu ku recycle watu walewale umaskini hauwezi kuisha kwa style hii. Ndio maana JPM watu walimpenda kwa ku break the circle na kuchukua watu wapya kabisa. Kuna mtu hapo kila real estate investment unasikia anamiliki huko high end neighbourhoods bado tena anateuliwa kuwa mjumbe wa bodi wengine washakua mabalozi washapiga hela ndefu kwenye law firm zao bado tu mnawarudisha. Hivi ni vioja.
 
Mama alipohamua kumteua January kuongoza wizara nyeti na ya kimkakati kama ya NISHATI ametoa boko kubwa mno!!😠😠😠😢😢😢.

Mama tuonee huruma watanganyika ingawa wewe huna cha kupoteza huku bara.

Katiba mpya muhimu sasa kuliko wakati mwingine wowote .
#FreeMbowe japo anaitaka katiba mpya kwa maslahi yake binafsi.

Uchaguzi wa 2025 CCM lazima tuiondoe mama wa kizenji arudi nchini kwao kula mafao ya kustaafu.

Akina mama wa kitanganyika chagueni kutetea jinsia huku mkiwaachia nchi ya taabu na dhiki kuu watoto waliotoka matumboni mwenu au chagueni raisi bila kujali jinsia. Yaani raisi atakaye waandalia watoto wenu maisha bora yasiyo na mateso.
 
Back
Top Bottom