Kelele za Mwamposa ni kubwa sana, mpaka sasa hivi bado anaunguruma. Niko Mikocheni. Halafu Watanzania hawakomi, ngoja yawapate kama ya Mackenzie wa Shakahola KenyaWewe una matatizo yako tu , usimsingizie Mwamposa
Sikuwa nafehemu kuwa Mwamposa ni mwanaharamu...... lakini huyu mwanaharamu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Lina maana yake kwenye gizaEmbu kwanza sema ayayaa.
Wacha wee. Lina maana gani shekhe na sisi tujue.Lina maana yake kwenye giza
Acha uongo zaidi ya kuita waumini haizidi dakika 2 Pana mawaidha gani achilia siku ya ijumaa au maulidi ndio wanatumiaa speaker za nje.HATA MISIKITI INAPIGA SANA KELELE HATULALI VEMA HASA ILE ALFAJIRI
Uko sahihi kabisa. Hawa watu wana makelele mno na kwabahati mbaya sana ni matapeli kama matapeli wengine.View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am ded up with this hooliganism and indoctrination.
Bila shaka wewe ni aina ya watu wenye matatizo ya akiliKelele ni matokeo ya kuiruhusu akili yako ipokee fanya yako utosikia kelele hata wakuwekee speaker dirishani
Utapeli unapimwa kwa wingi wa kesi walizofunguliwaUko sahihi kabisa. Hawa watu wana makelele mno na kwabahati mbaya sana ni matapeli kama matapeli wengine.
Unadhani ni kila mtu ana uwezo kujua anatapeliwa? Unaweza kuwa unahudhuria kila siku na kutapeliwa lakini usijue. Wewe ni miongozi mwao. Kweli wajinga ndiyo waliwao. Mwenzenu anachukuwa watototo wazuri na kula maisha nyie mnateseka kufanya kazi kumpelekea fedha.Utapeli unapimwa kwa wingi wa kesi walizofunguliwa
Kama hawalalamiki haina shidaUnadhani ni kila mtu ana uwezo kujua anatapeliwa? Unaweza kuwa unahudhuria kila siku na kutapeliwa lakini usijue. Wewe ni miongozi mwao. Kweli wajinga ndiyo waliwao.