bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwa tafsiri isiyo rasmiBila shaka wewe ni aina ya watu wenye matatizo ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tafsiri isiyo rasmiBila shaka wewe ni aina ya watu wenye matatizo ya akili
In shida. Hata Kenya welifikia hatua ya kufa japo hawakulalamika.Kama hawalalamiki haina shida
Utawadanganya wajinga wajinga wenzakokuwa Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Mtumishi gani ana tamaa ya fedha namna hiyo? Mtu mtumishi gani anaogelea kwenye bahari ya ngono na muda wote anabadilisha wanawake na kuzaa hovyo?Kwa tafsiri isiyo rasmi
Ni kweli nina matatizo na matatizo yenyewe yanasababishwa na kelele za Mwamposa. Kwanini asidhibitiwe na mamlaka husika kuweka sound proof?.Wewe una matatizo yako tu , usimsingizie Mwamposa
Japo ni kweli kelele ya jana ya Mwamposa usiku kucha mpaka kuna kucha, sii ya kawaida!, ilikuwa very disturbing!. Mimi naishi mbezi Beach ten km toka Kawe, ilikuwa very disturbing, then imagine kwa watu wa Kawe hali ilikuwaje?!. Atakuwa amefunga PA mpya, hivyo hili bandiko litamsaidia asiweke volume full blast.View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am ded up with this hooliganism and indoctrination.
Hana mke, ni malaya mbadilisha wanawake. Alikuwa na Martha Mwaipaja, akawa na Christina Shusho na sasa hivi yuko na mrembo mpya. Anadhulumu maskini wenye frustrations za maisha kupitia biashara ya maji na mafuta, anajenga mahekalu na mahoteli wakati wafuasi wake hata nauli za kurudia majumbani kwao baada ya ibada hawana.Sikuwa nafehemu kuwa Mwamposa ni mwanaharamu.
Hebu tufafanulie hapo zaidi
Mtumishi wa Mungu au wa Shetani ni siri yake na kwa kupitia maandiko anatambulika ni madhabau ipi anayoitumikia.Utawadanganya wajinga wajinga wenzakokuwa Mwamposa ni mtumishi wa Mungu. Mtumishi gani ana tamaa ya fedha namna hiyo? Mtu mtumishi gani anaogelea kwenye bahari ya ngono na muda wote anabadilisha wanawake na kuzaa hovyo?
Kama mtu anapenda kufa mwenyewe sisi inatuhusu nini maamuzi yake binafsiIn shida. Hata Kenya welifikia hatua ya kufa japo hawakulalamika.
sadakaa zinakusumbua nani kakwambia ukae kawe kuna mbezi beach tegeta njoo huku mkuuView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Mkiacha kumsikiliza hamtosikia keleleNi kweli nina matatizo na matatizo yenyewe yanasababishwa na kelele za Mwamposa. Kwanini asidhibitiwe na mamlaka husika kuweka sound proof?.
Waumini wake wako Kawe kanisani kwake, kwanini atusumbue sisi tulio majumbani mwetu?
zilekelelee za saa kumi kila siku huzisikii ama una matongotongo kaa kwa passwd tutazuia na yale makelelee ya saa kumi kila siku.....usijitoe ufahamu anza na hizi kwanza ,,usiumie na imani za watu na ukienda tegeta tunakuja humo humoView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
hata ukiwa kwenye mapenzi ukicheza n akili yako vizuri unaweza kuamuaku pz hata baada ya nusu saa wewe tu sasa ukisikia kelele ukaikataa akilini unalalaa murwaa ila kama una majini mapepo nakwambia hulali mpaka yakutoke ndio utalalaaBila shaka wewe ni aina ya watu wenye matatizo ya akili
MWAAMBAAAAAA ACHA KABISAAA TOKA SAA NNE MPAKA KUMI NA MOJA NON STOP LAZIMA MAJINI YATOOOKEEEEEEView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.