The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Most likely ni Shia ...kipindi cha Ashura..Hujanielewa nini nimeuliza silalamiki kuhusu kelele nimetaka tu kufahamu ni madhehebu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Most likely ni Shia ...kipindi cha Ashura..Hujanielewa nini nimeuliza silalamiki kuhusu kelele nimetaka tu kufahamu ni madhehebu gani
Hapo sawaMost likely ni Shia ...kipindi cha Ashura..
Martha Mwaipaja na Christina Shusho ni wake za watu hao.. kuna ukweli au umeamua kuwachafua watumishi wa mungu.Hana mke, ni malaya mbadilisha wanawake. Alikuwa na Martha Mwaipaja, akawa na Christina Shusho na sasa hivi yuko na mrembo mpya. Anadhulumu maskini wenye frustrations za maisha kupitia biashara ya maji na mafuta, anajenga mahekalu na mahoteli wakati wafuasi wake hata nauli za kurudia majumbani kwao baada ya ibada hawana.
Mwamposa anakula na wakubwaView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
AaaahaaaaaChalamila alishalisemea hili kwamba mshindane kwa kelele atakaemzidi mwenzake amfuate
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Pole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .
Mtu mwenye wafuasi wengi vile wenye elimu na nguvu za kiuchumi tena wengine wenye Mamlaka makubwa ndani na nje ya hii nchi wanakwenda kumsikiliza yeye jua wazi pale kuna jambo si kawaida ukipata fursa nenda kachunguze vizuri ili usiropoke na kuonekana huna akili.
Ebu fikiri kampuni ya Abood bus service inapeleka magari 10+ yanapark pale kutokea huko mikoani inasubiria abiria iliowaleta kutokea mikoani ,Hotel za maeneo ya Kawe,Mbezi,Tegeta,Kunduchi zimejaa waamini wake ili wahudhurie ibada,Tax,Boda,Bajaji,Daladala wanapata fursa ya kupata abiria,Television karibu tano zinapata Matangazo yake,Wafanyabiashara ndogondogo wanapata wateja,Watu walioajiriwa kwake ni wengi.Yaani wewe Mbumbumbu badala ya kuona utajiri na neema ya fursa anazoleta huyo Mchungaji wewe unaona kero tu.Roho ya kimaskini inakutafuna sana.Huu muda nilitegemea kuwa unazo Bajaji pale zinapiga hela,Unacho kigest pale Watu wanalala ,Unao mgahawa pale Watu wanakula, Eti umekuja hapa inalalamika Uzio ambao unajengeka Fasta tu wakati huo serikali imeshakusanya kodi kwenye Hotel,vyombo vya usafiri, na imesaidiwa kupunguza tatizo la ajira. Amka toka shimoni.
Ukiona Mtu anawafuasi wengi Mtazame kwa jicho la tatu Mtu wa kawaida hawezi kuwa na Ushawishi vile.
Serikali inawaogopa sana wachungaji hasa mama samia anaofia kuambiwa kuwa anawaonea sababu yeye sio dini yake hata jafo hawazi fanya lolote kuhusu makanisa labda wananchi wa kichoka waamue kuwanyamazisha kila kona ya nchi hii makanisa ya kirokole ni kelo, tinga tinga tu lioikuwa halihiali sijui muisilamu mkirito kisu kinapita tu lakini huyo mama haaaaaaa hawezi kabisa ni muoga mnoView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Hapa anaongewa mwamposa sio misikiti na wewe anzisha hoja yako yakuhusu misikiti pia utaje hizo kelele zinadumu muda gani,sababu makanisa ya kirokole miziki vilio mchana kutwa na usiku bila kujali kuwa kuna baadhi ya waumini wao ni wagonjwaHATA MISIKITI INAPIGA SANA KELELE HATULALI VEMA HASA ILE ALFAJIRI
Kibali gani hicho kinacho vunja sheria ya mitetemo?fahamu miziki sio Katazo ila ipigwe kwa sauti ya chini sio ya maudhiMkuu siku zote huwa anapiga kelele za namna hiyo? Huwa kuna vibali vya matamasha ya namna hiyo rejea mziki mnene,fiesta na mikesha mingne iwe ya dini au ya kijamiii huwa ipo na wanapewa kibali kabisa cha uendeshaji wa shughuli hiyo na haiwezi kiwa mwezi mzima mara nying haizid siku 7
Kuzikili ndio nini?Wanaozikili msikitini nao wana kelele balaa
NAISHI MBEZI BEACH MAENEO YA SKY LOUNGE SIJASIKIA HIZOKELLELENaishi Mbezi Beach karibu na Club 25, ndiko nimesikia hayawani huyo
Mimi siyo mbumbumbu wa imani kenge wewe. Mimi ni Mkatoliki ambaye ninasali kwenye Kanisa Takatifu la Mitume, lililoanzishwa na Mtume Petro kwa maagizo ya Yesu Kristu mwenyewe soma Mathayo 16:18.Pole sana Mbumbumbu wa karne ambaye hujui lolote juu ya Imani. Kumbuka kanisa ni zaidi ya upeo wako wa kufikiri
Wewe pimbi hujui unachoongea kwa kuwa uko indoctrinated tayari. Wewe kwa sasa Mwamposa akitaka uuuze mali zako na mujichome moto ili kwenda mbinguni kama alivyofanya KIBWETERE, utakubali tu mbwa wewe. Yaani mtu na akili zako unamfuata Mwamposa?? Shenzi kabisaPole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .
Mtu mwenye wafuasi wengi vile wenye elimu na nguvu za kiuchumi tena wengine wenye Mamlaka makubwa ndani na nje ya hii nchi wanakwenda kumsikiliza yeye jua wazi pale kuna jambo si kawaida ukipata fursa nenda kachunguze vizuri ili usiropoke na kuonekana huna akili.
Ebu fikiri kampuni ya Abood bus service inapeleka magari 10+ yanapark pale kutokea huko mikoani inasubiria abiria iliowaleta kutokea mikoani ,Hotel za maeneo ya Kawe,Mbezi,Tegeta,Kunduchi zimejaa waamini wake ili wahudhurie ibada,Tax,Boda,Bajaji,Daladala wanapata fursa ya kupata abiria,Television karibu tano zinapata Matangazo yake,Wafanyabiashara ndogondogo wanapata wateja,Watu walioajiriwa kwake ni wengi.Yaani wewe Mbumbumbu badala ya kuona utajiri na neema ya fursa anazoleta huyo Mchungaji wewe unaona kero tu.Roho ya kimaskini inakutafuna sana.Huu muda nilitegemea kuwa unazo Bajaji pale zinapiga hela,Unacho kigest pale Watu wanalala ,Unao mgahawa pale Watu wanakula, Eti umekuja hapa inalalamika Uzio ambao unajengeka Fasta tu wakati huo serikali imeshakusanya kodi kwenye Hotel,vyombo vya usafiri, na imesaidiwa kupunguza tatizo la ajira. Amka toka shimoni.
Ukiona Mtu anawafuasi wengi Mtazame kwa jicho la tatu Mtu wa kawaida hawezi kuwa na Ushawishi vile.
👍👍👍👍Pole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .
Mtu mwenye wafuasi wengi vile wenye elimu na nguvu za kiuchumi tena wengine wenye Mamlaka makubwa ndani na nje ya hii nchi wanakwenda kumsikiliza yeye jua wazi pale kuna jambo si kawaida ukipata fursa nenda kachunguze vizuri ili usiropoke na kuonekana huna akili.
Ebu fikiri kampuni ya Abood bus service inapeleka magari 10+ yanapark pale kutokea huko mikoani inasubiria abiria iliowaleta kutokea mikoani ,Hotel za maeneo ya Kawe,Mbezi,Tegeta,Kunduchi zimejaa waamini wake ili wahudhurie ibada,Tax,Boda,Bajaji,Daladala wanapata fursa ya kupata abiria,Television karibu tano zinapata Matangazo yake,Wafanyabiashara ndogondogo wanapata wateja,Watu walioajiriwa kwake ni wengi.Yaani wewe Mbumbumbu badala ya kuona utajiri na neema ya fursa anazoleta huyo Mchungaji wewe unaona kero tu.Roho ya kimaskini inakutafuna sana.Huu muda nilitegemea kuwa unazo Bajaji pale zinapiga hela,Unacho kigest pale Watu wanalala ,Unao mgahawa pale Watu wanakula, Eti umekuja hapa inalalamika Uzio ambao unajengeka Fasta tu wakati huo serikali imeshakusanya kodi kwenye Hotel,vyombo vya usafiri, na imesaidiwa kupunguza tatizo la ajira. Amka toka shimoni.
Ukiona Mtu anawafuasi wengi Mtazame kwa jicho la tatu Mtu wa kawaida hawezi kuwa na Ushawishi vile.