macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Akili zako zimeathirika hivyo hujui ukisemacho.Kama mtu anapenda kufa mwenyewe sisi inatuhusu nini maamuzi yake binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili zako zimeathirika hivyo hujui ukisemacho.Kama mtu anapenda kufa mwenyewe sisi inatuhusu nini maamuzi yake binafsi
Pale Dodoma mji mwema,ikifika saa 11 hulali maana misikiti kama yote,halafu wanashindana kusali kwenye maspika.Hadi saa 12 na dk kadhaa ndio panatulia.Inaudhi sana ni vile hamjui tuAcha uongo zaidi ya kuita waumini haizidi dakika 2 Pana mawaidha gani achilia siku ya ijumaa au maulidi ndio wanatumiaa speaker za nje.
Kuna kitu' unaweza kuongezea kidogo?Lina maana yake kwenye giza
Ukiona Mtu yoyote anachukiwa sana na GENTAMIYCINE hapa Jamiiforums jua yafuatayo.....View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Aposto kuna miujiza huku.. Hahaa.Ukiona Mtu yoyote anachukiwa sana na GENTAMIYCINE hapa Jamiiforums jua yafuatayo.....
1. Hana Akili ( Mpumbavu )
2. Muongo na Tapeli
3. Mchawi
4. Muuaji
5. Mwizi na Fisadi
6. Mwendawazimu
7. Wakala Mkuu wa Shetani Lucifer
Uwe na Siku Njema pia Mkuu wangu.
Ukiona kero unahamaPale Dodoma mji mwema,ikifika saa 11 hulali maana misikiti kama yote,halafu wanashindana kusali kwenye maspika.Hadi saa 12 na dk kadhaa ndio panatulia.Inaudhi sana ni vile hamjui tu
Shetani Lucifer ndio Aina gani tena ya shetani??au Yule wa zamani kaapdetishwa ili aendelee kututesa na kututia majaribuni!!Ukiona Mtu yoyote anachukiwa sana na GENTAMIYCINE hapa Jamiiforums jua yafuatayo.....
1. Hana Akili ( Mpumbavu )
2. Muongo na Tapeli
3. Mchawi
4. Muuaji
5. Mwizi na Fisadi
6. Mwendawazimu
7. Wakala Mkuu wa Shetani Lucifer
Uwe na Siku Njema pia Mkuu wangu.
Sasa wewe unakaa huko Jamhuri?Hivi yale ni madhehebu gani ya kiislamu shehe anahubiri kama analia niliwasikia kwenye limsikiti fulani la wahindi kule katikati ya jiji jamhuri
View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Pole sana Mbumbumbu wa karne ambaye hujui lolote juu ya Imani. Kumbuka kanisa ni zaidi ya upeo wako wa kufikiriView attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Mbona Watu wanakufa maka huko na hawaachi kwenda. Kumbuka imani ni zaidi ya akili yakoKelele za Mwamposa ni kubwa sana, mpaka sasa hivi bado anaunguruma. Niko Mikocheni. Halafu Watanzania hawakomi, ngoja yawapate kama ya Mackenzie wa Shakahola Kenya
Pole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
tanzania ni nchi yenye maamuzi ya mihemko zaidi na sio ya kuzingatia sheria zilizopo mpaka jambo liharibike ndo wenye mamlaka husika hujitokeza kwa muda tu nakutokomea tena, pole sana wakazi wa hapo ila usitegemee jipya [emoji848]View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Mbona halalamikii ile bar anayomsubiriaga yule barmaid Tena mbaya zaidi inagonga bendi live. Huyo Mchawi tu hana loloteMwanangu GENTAMYCINE ashapiga sana kelele kuhusu mambo ya huko kawe,ila kuna watu humu wanaishia kumshambulia
Ova
Mkristu ni nini?View attachment 2681679
Usiku wa kiamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Hujanielewa nini nimeuliza silalamiki kuhusu kelele nimetaka tu kufahamu ni madhehebu ganiSasa wewe unakaa huko Jamhuri?
Wanaokaa karibu ndo wanapaswa kulalamika...
Mtu anakaa kawe analalamika Kanisa kawe...wewe unasema uliwahi ona msikiti Jamhuri?wewe unaishi Jamhuri??..au ukipita Tu sehemu ukakuta msikiti basi Una haki ya kulalamika???
Sheria za nyumba za Ibada zinaanzia kwenye Nani kamfata mwenzake ...na Kwa umbali gani.....na vyombo vya kupaza sauti volume gani...sio mambo ya kupita Tu na kuona kitu ulalamike