Nani kakuambia sina pesa pumbavu wewe. Nina pesa ya kutafuta kwa nguvu zangu siyo hiyo ya Mwamposa ya kudhulumu wajane na wagumba.Acha wivu na roho mbaya,yawezekana wewe ndio una mabaya zaidi hata ya mwamposa,nakushauri pambana kutafuta pesa uondokane na umasikini na wivu wa kisengerema.
Wewe umetoka level ya kurogwa umekuwa ni msukule kabisa wa MwamposaKwani uchawi unashida gani kama unakusaidia na mambo yako yakuwa mazuri
Dawa ni kuwatupia kiazi tu[emoji16]Kelele za Mwamposa ni kubwa sana, mpaka sasa hivi bado anaunguruma. Niko Mikocheni. Halafu Watanzania hawakomi, ngoja yawapate kama ya Mackenzie wa Shakahola Kenya
Saa kumi na moja unalalaje?? Ni alfajiri amka ukateseke,unasaidiwa kuamka ukapate tabu!!Pale Dodoma mji mwema,ikifika saa 11 hulali maana misikiti kama yote,halafu wanashindana kusali kwenye maspika.Hadi saa 12 na dk kadhaa ndio panatulia.Inaudhi sana ni vile hamjui tu
Yesu Kristu ni nini?Ni yule anayeamini kuwa Yesu Kristu ni mwana wa Mungu na alikufa msalabani ili kutukomboa sisi. Hatufiki kwa Baba bila kuputa kwake
HagahahEmbu kwanza sema ayayaa.
Kristu ni nini?Kama humjui Yesu Kristu hakuhusu, pita huko
Huu UWEMDAWAZIMU umerududia tena. Leo pia tumepigiwa kelele na huyu TAPELI wa Biblia anayejiita Mtume Mwamposa.View attachment 2681679
Usiku wa kuamkia tarehe Julai 8, 2023 mpaka muda naandika hii thread Mwamposa anafoka tu kutokea pale Kawe anapofanya maujinga yake.
Ni wazi NEMC haina meno kwa kuwa inaweza kuzifungia baa tu za Kitambaa Cheupe au Juliana na Wavuvi Camp lakini huyu wameacha atunyime usingizi wakazi wa Kawe, Mbezi na Mikocheni.
Tahadhari unapochangia kumbuka mimi ni Mkristu but I am fed up with this hooliganism and indoctrination.
Aise poleni,kweli shuguli mlikuwa nayoHuu UWEMDAWAZIMU umerdudia tena. Leo pia tumepigiwa kelele na huyu TAPELI wa Biblia amauejiita Mtume Mwamposa.
Kwa nini? Kwani Mungu ameniumba kupigiwa kelele ma matapeli wa biblia?Mshukuru Mungu hata una nafasi na masikio ya kusikia kelele