NEMC wamedhamiria kuua baishara ya baa na sanaa kwa ujumla. Baa itaendeshwa vipi bila muziki? Liquid Bar wamezuiwa kupiga muziki

Umefunga Mjadala mkuu.
 
Hivi kweli miziki yao ya kampeni inazingatiaga hivyo vigezo?
 
Wewe ni Lilian Ngumbo, mmiliki wa kimiminika bar,tuliza ball,Mzee Gumbo hana nguvu tena
 
Ume Nena kwa uchungu Hapo wame gusa pabaya mkuu

tulia kidogo pumua futa na jasho tusubiri majibu pole eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…