Inawauma sana yaan wanatamani nenga angewaoa wao,Inashangaza sana kuona wanaume wanaumia kwa ile ndoa kutwa kuanzisha nyuzi zisizoeleweka ili mradi tu waonyeshe chuki zao
Mkuu upo serious hao wote uliowaorodhesha hapo wanabugia njugu?Wanawake waliopita THT karibia 80% mwongoza njia amepita nao
Nandy. Linah. Mwasiti. Mke wa romy jons zamaradi. Jay dee.. ray c..kaby. .jamaa kachafua wote..
Na wote wanabugia karanga
Sio shida mbona kuna discodant couple kibao tu maisha yanasonga.Huyo RM si ilisemwa aliaraaipiishwa na dalii kimoko jmn..embu acha inyeshe kwanza tujue panapovuja
Inawezekana ni both teams to score. GGMimi nina Swali Moja tu Kwao Wanandoa hawa je, walipima VVU na Kujiridhisha 100% na Matokeo ya Vipimo? Nimesikitika sana, ila naomba tu niishie hapa tafadhali.
Mzee mimi nikiona mtu anashangaa ukimwi karne hii namshangaa yeye kwa sababu now ukimwi sio ishu unaweza pata katika mazingira usiyotarajia hasa walio kwenye ndoa ndo wapo lwenye hatari zaidi kama mmoja sio muaminifu.Mkuu upo serious hao wote uliowaorodhesha hapo wanabugia njugu?
KUBUGIA KARANGA YOU MEAN tld?Wanawake waliopita THT karibia 80% mwongoza njia amepita nao
Nandy. Linah. Mwasiti. Mke wa romy jons zamaradi. Jay dee.. ray c..kaby. .jamaa kachafua wote..
Na wote wanabugia karanga
Muhuni alikazaHii inayoitwa "wedding" Ina somo kubwa kwa wanawake, wanaume na ndugu za maharusi.
Nenga alimpenda Nandy kitambo sana, lakini ndugu wa Nandy walimtema na kumdisi Nenga kuwa ni mhuni na hana hela. Nandy akachumbiwa na Ruge Mutahaba ambaye bahati mbaya akaitwa na Mungu.
Nenga akamrejea Nandy na leo wameoana. Nenga ndiyo anastahili kupongezwa kwa moyo wa kutokata tamaa na nafsi yake kutochafukwa na kufuta upendo kwa Nandy.
Kitu ambacho mimi siwezi kukifanya wala kukubaliana nacho.
Bila shaka anamaaniaha "minjingu"KUBUGIA KARANGA YOU MEAN tld?
Family Pressures tu kuwa walikuwa hawamuaminii Nenga ila kimsingi hata Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaweka tu akijiskia na demu angekuwa anamPelekea Cargo.Fau na Will hawajawahi kuachana, Ruge alikuwa by the way
Demu akiwa na hela na akikuPenda kweli hili huwa halinaga nguvu. Mtashangaa watoto wanaongezeka tu πππHili hata mm nahisi ni hivyo kwao Nandy nasikia hela ipo Nenga apeche,kifuatacho ni kulelewa tuu
ππππ Hapo mwisho nacheka sanaFamily Pressures tu kuwa walikuwa hawamuaminii Nenga ila kimsingi hata Ruge angeoa still Nenga angekuwa anaweka tu akijiskia na demu angekuwa anamPelekea Cargo.
Thats unconditional love na hata Nenga alijua kikwazo ni bimkubwa tu sasa njia aliotumia ya kumtia kibendi kwanza ilibidi wakubali tu yaishe. Wazazi wengi ikifika hio stage wanalegezaga kambaπππ
Ila still benefits zingemfikia Nenga sababu the girl real loves the Goon! Yani angekuwa kwa Ruge kimwili ila kiroho yuko kwa Nenga na mchongo wote muhuni lazma alikuwa anaelewa.Nililiwaza hili kuwa pesa ni mwanaharam yani nandy alienda kwa ruge kimaslahi ili nyota isianguke maana clouds ndio waliomtoa kimuziki
Sometime baadhi ya wanawake linapokuja swala la kufight kutoka kimaisha huwa wanaweza kukukimbia hata kama wanakupenda vipi
Nandela kwao hela ilikuwa hamna before hajaangukia mkononi mwa Jasiri Mwongoza njia. Ila baada ya ustaa na connection amekuwa bread winner. Same as Nenga nae kwao sio kivile ila ukishakuwa mchaga hamna kitu kinafeliπNimeona ona sana wadau wakisema Nandi katoka familia yenye hela! Ebu fafanueni, ni Nandi yupi, huyu Nandela wa Tabata, baba'ake mwenye shughuli yake kabla ya kufika Mawenzi pale? Nandi yule akiuza duka au?
Yani akili za kuwaza tena kuwa jamaa muhuni hana hela zinayeyuka awaondolee aibu tu πππππππ Hapo mwisho nacheka sana
Mkuu si uliona hata kwenye meza kuu alikuwa meza kuu na akilia kwa uchunguKwa hiyo Ruge alikuwaga anagonga hapo? Duh kuna watu wana roho ngumu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji2960] nimechekaWaswahili ndiyo zeu kuoa makayamba. Huku kwetu na pwani, sifa ya mwanamke ni kuwa na VYUO vingi , aliyekubuhu, limeachwa mara kama tano halafu unaoa ndiyo zenu!
"Kushaba Eshabile"