TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mbona kule Mbeya Tena jirani na Njombe, "wapiga debe" wanaitwa maafisa usafirishaji na Wewe kama msafiri unakwenda mwenyewe pale stendi?Afisa mauzo sio muhudumu, afisa mauzo ni yule anayeshawishi kuuzwa kwa bidhaa ambapo kwa bar hakuna hicho kitengo kwa sababu bar tunaenda wenyewe tunakuta viti, wahudumu na vinywaji kisha tunaita wahudumu tunawaagiza gambe. Mhudumu ni mtu atoaje huduma sasa wewe ni mmiliki wa bar umetuwekea huduma ya vinywaji unakaataje tukikuita mhudumu?
Kwa nini emergency room ya hospitali ya wilaya haiko active ?Tale ni baa ya kihistoria, baa inazaidi ya miaka 20 ile,sasa mmiliki awe na miaka 35 naona hapo kuna shida mahali either mtoa taarifa au mleta taarifa, labda useme meneja wa bar.
Kingine walikosea kwenda hospitali ya wilaya kibena usiku wakati kwa kesi hiyo alibidi apelekwe moja kwa moja hospitali ya mkoa ambako laparatomy ingefanyika upesi, kupeleka ya wilaya walipoteza muda muhimu sana, ukizingatia hospitali ya wilaya iko mbali zaidi ya hospitali ya mkoa yenye emergency department iliyo active, shida ya ndugu zangu wale mpaka waje waizoee ile ya mkoa sijui itakuwa mwaka gani, pia wananchi waelekezwe case ipi iwe inawahishwa kwenye hospitali ya aina gani.
Labda wote wawili walikuwa wanamendea/wanakula mmoja wa wahudumu wa bar hiyo na mteja akawa kagundua hilo na akawa kammaindi mwenye bar hivyo akawa kamwita "mhudumu" kama kumdhalilisha. Na yawezekana pia mwenye bar alikuwa kagundua kuwa yule mteja alikuwa akimla mhudumu ambaye pia ni chakula chake. Hivyo alipoitwa "mhudumu" akaona mbaya wake sasa kafika mbali na kuamua kupambana nae na matokeo yakawa ndiyo hayo.Hata niwe nimekaa na wakwe zangu me nazingatia pesa tu, hakuna kiwango cha dharau cha kuniita mhudumu kisha nikasirike, me naipenda pesa babu. Sema tu landa kuna jambo tumefichwa kwenye hili tukio huenda walikuwa na ugomvi wao before.
ila hasiraa za hiviii hapana aiseee yani mtu mpaka unafika nyumbani na kurudi bado una hasiraa tuuu???Labda wote wawili walikuwa wanamendea/wanakula mmoja wa wahudumu wa bar hiyo na mteja akawa kagundua hilo na akawa kammaindi mwenye bar hivyo akawa kamwita "mhudumu" kama kumdhalilisha. Na yawezekana pia mwenye bar alikuwa kagundua kuwa yule mteja alikuwa akimla mhudumu ambaye pia ni chakula chake. Hivyo alipoitwa "mhudumu" akaona mbaya wake sasa kafika mbali na kuamua kupambana nae na matokeo yakawa ndiyo hayo.
Ukiona hivyo jamaa alimuita kwa lengo la kumdhalilisha. Sio kwa lengo la kupata hudumaYaani mimi kuitwa mhudumu na mteja wa baa yangu mwenyewe ndiyo nikagombane nae na pengine nimpoteze huyo mteja kwenye biashara yangu?
Ni kwakuwa taarifa za wanaochomwa na kupona haziripotiwi ila wanaopona ni wengi kuliko wanaokufaSijajua kwanin hapa nchini kwetu mtu akichimwa kisu cha tumbo kupona ni 30% au hawez kupona kbsa hta akiwahishwa hospital.. nmesikia vifo vingi san vya namna hii, nahisi madaktar wetu hawan ujuzi na hizi ajali kulinganisha na nchi zingine kupona ni 70%
Mteja hakosei yule anayeheshimu biashara yako. Mteja anadharau biashara yako na wewe mwenyewe bado unamuita mteja?Mteja hakosei/mfalme...ni kutojua biashara na kujivika hadhi/uboss uchwara
Hawa inaonekana wana visa vyao, ushasikia mtuhumiwa ni mteja, wanajuanaYaani mimi kuitwa mhudumu na mteja wa baa yangu mwenyewe ndiyo nikagombane nae na pengine nimpoteze huyo mteja kwenye biashara yangu?
Ni ujinga wa hali ya juu kukasirika kwa sababu umeitwa mhudumu. Hii inaonyesha jamaa alikuwa na ubongo dhaifu sana. Tena bar yako!Watu hutofautiana katika kufanya maamuzi.
Wewe huwezi lkn wapo wanaweza kufanya hivyo
Ukisikia hasira hasara ndo hii sasaila hasiraa za hiviii hapana aiseee yani mtu mpaka unafika nyumbani na kurudi bado una hasiraa tuuu???
jamaa alidhamiria kuua
Utoto.Ndio hasara ya kushika pesa kwenye umri mdogo wakati huna akili Wala Maadili ya kuheshimu pesa.MMILIKI wa baa ya Tale mjini Njombe, Jackson Mgeni (35), mkazi wa Mji Mwema mjini hapa, amefariki dunia kutokana na kuchomwa kisu tumboni na anayedaiwa mteja wake, Emmanuel Shiwa (32).
Mfanyabiashara wa madini na mkazi wa eneo la Uwanja wa Ndege mjini Njombe, anadaiwa kutenda ukatili huo baada ya kutokea ugomvi kati yao alipomwita Mgeni, akitumia neno 'mhudumu'.
Ni tukio hilo lilitokea Novemba jana saa nane usiku katika baa hiyo ya mjini Njombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Kamishna Msaidizi Mahamoud Banga alithibitisha kutokea kwa tukio hilo. Alisema mtuhumiwa ni mteja mzoefu katika baa hiyo.
"Katika hali ya kupata huduma, mtuhumiwa alimwita Mgeni kwa jina la mhudumu. Sasa kile kitendo cha kuitwa mhudumu, ninafikiri kilimuudhi.
"Akaanza kugombana na yule mteja na yule mteja ninafikiri aliona hatoweza kupigana naye kawaida. Hivyo alitoka nje," alisema Kamanda Banga.
Aliendelea kusimulia, akisema: "Mtuhumiwa huyo baada ya kutoka nje alipanda gari lake, akaenda nyumbani kwake.
"Mashuhuda wanasema ni maeneo ya Uwanja wa Ndege, lakini baada ya muda alirudi na kisu na kumvizia yule jamaa na kumchoma nacho tumboni."
Kamanda Banga alisema kuwa baada ya kufanya tukio hilo, wananchi ambao ni wateja wa baa hiyo walikuwapo eneo la tukio, walimdhibiti mtuhumiwa na kutoa taarifa kituo cha polisi.
"Polisi walifika na kumkamata, majeruhi alikimbizwa Hospitali ya Halmashauri ya Mji Njombe (Kibena), lakini kabla ya kuanza kupatiwa matibabu alifariki (dunia)," alisema Kamanda Banga.
Njombe ni miongoni mwa mikoa yenye matukio mengi ya mauaji nchini. Hata hivyo, matukio mengi yanahusishwa na imani za kishirikiana na wivu wa mapenzi.
Jamaa aliyemuua mwenzie ni mfanyabiashara wa Madini.Hata ukimsikiliza kamanda wapolisi anatoa taarifa kama ni mauji ya kutokusudia,yaani unaona kabisa inajengwa ajenda ya Jamaa kuachiwa Kwa kigezo Cha manslaughter na behind the scene imeshaonekana Kwa Jamaa ipo Hela.Ile kwenda home,kuingia ndani kutafuta Beto na Kurudi pale pale kumvizia na kuchoma nimakusudi.
Amujajaro KatereroAny..................nshomile wa wapi
Kumbe.!Hizo namba ni za kuombea fedha kwa wahisani, hazina uhalisia wowote mkuu
Oya we zombie Carlos The Jackal unaitwa hukuWataalam wenyewe wa afya wamejazana kwenye uzzi wa rick boy ule wa kula tunda kimasihara sidhan kama hii wataiona ila ilikuwa na tija kweli kweli, kuna yule jamaa anajita carlos the jackal sijui anawabandua kimasihara kule na ni docta asa hapa tuhesabu tushaumia mkuuβ¦.
ππππOya we zombie Carlos The Jackal unaitwa huku
Yes 99% correct, assumption yako iko sawaLabda wote wawili walikuwa wanamendea/wanakula mmoja wa wahudumu wa bar hiyo na mteja akawa kagundua hilo na akawa kammaindi mwenye bar hivyo akawa kamwita "mhudumu" kama kumdhalilisha. Na yawezekana pia mwenye bar alikuwa kagundua kuwa yule mteja alikuwa akimla mhudumu ambaye pia ni chakula chake. Hivyo alipoitwa "mhudumu" akaona mbaya wake sasa kafika mbali na kuamua kupambana nae na matokeo yakawa ndiyo hayo.
Haaa haaa haaa, haya mkuu uko sawa kabisaMbona kule Mbeya Tena jirani na Njombe, "wapiga debe" wanaitwa maafisa usafirishaji na Wewe kama msafiri unakwenda mwenyewe pale stendi?
Tumia neno, Afisa Mauzo, badala ya muhudumu, Mkuu. Huyo anayekushawishi kununua bidhaa yake Tutampa jina la Afisa Ushawishi.π