Nesi aliyempokea Lissu Hospitalini anadai kuwa Antony Mtaka alimtukana 'Fala wewe' na akamuweka mahabusu siku tatu wakati ni Mgonjwa

Unisamehe ila sijui kwa nini huwa unajiona una akili ukilinganisha na members wanavyokuchukulia.
 

Attachments

  • IMG_9600.jpeg
    166.5 KB · Views: 1

Kama usemayo ni kweli tuambie yafuatayo;

Je Walotaka kumuua Lissu ni kina nani?
Je uchunguzi umeshafanyika?
Je wamechukuliwa hatua gani?
 
Kama usemayo ni kweli tuambie yafuatayo;

Je Walotaka kumuua Lissu ni kina nani?
Je uchunguzi umeshafanyika?
Je wamechukuliwa hatua gani?
Waliotaka kumuua Lissu ni watu wasiojulikana na ndio maana waliendelea kutafutwa na upelelezi kuendelea ili wahusika wajulikane na kuchukuliwa hatua. Uchunguzi unaendelea maana jinai haifi.
 

Time will reveal the truth
 
Paschal nakuheshimu sana lakini hii hoja umeijibu KICHAWA CHAWA SANA huu siyo ubongo wako, huyo unaedhan hawezi tukana wengine tumefanya nae kazi wala hayupo hivyo na hata upigaji ni fundi mzuri sana, viongozi wote waliokuwa wameshirikishwa kwenye Verse ya kumuua Lissu hakuna aliyekuwa na akili zaidi ya kumfurahisha yule aliyetangulia kuzimu. Hivyo Paschal utakuja jiweka ktk wakati mgumu unapomchukulia mpigaji kama wapigaji wengine kuwa ni malaika
 
Nilichojifunza kuwa Njombe sio.. sehemu ya kuishi mtu na hadhi zako.. hii inatokana na Mtaka kutolewa Dodoma na kupeleka Njombe ilikuwa ni adhabu kwa kiongozi huyo
 
Acha dhihaka zako ndugu yangu. Kwani ni nani ambaye hatakufa hapa Duniani. Ni nani wa kuishi milele.
Wapi nimesema kuna mtu anaishi milele? Mimi nimetoa angalizo kuwa unapotenda maovu kwa watu ukumbuke kuwa kuna kifo. Ni mawazo yako finyu yaliyogubikwa na uchawa tu ndiyo yamekupa tafsiri potofu ya post yangu. Na usijione kwa ukada wako uchwara wa CCM basi unayo hati miliki ya fikra za watu wote walio kinyume na CCM yako. Ukitenda mabaya kumbuka kuna Jehannam
 
Nilichojifunza kuwa Njombe sio.. sehemu ya kuishi mtu na hadhi zako.. hii inatokana na Mtaka kutolewa Dodoma na kupeleka Njombe ilikuwa ni adhabu kwa kiongozi huyo
Nani kwakwambia kuwa alipelekwa Njombe kama adhabu? Kwani Njombe siyo Tanzania? Hakuna watanzania wanaoishi kule? Njombe hawalipi kodi?
 
Mkuu, mayala sijataka kusikiliza crp hizo ,lakini offkamera viongozi hawa wahovyo sana ,tafadhari tusubirie akipandishwa kizimbani
 
Ndg lukasi

Tayari unaandaliwa utaratibu murwaaa wakumtimbisha mtaka kotini , tusubirie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…