Nesi aliyempokea Lissu Hospitalini anadai kuwa Antony Mtaka alimtukana 'Fala wewe' na akamuweka mahabusu siku tatu wakati ni Mgonjwa

Tangu 2005 CCM imewahi kuchaguliwa tena au inajichagua yenyewe toka shina lake la NEC? kuwa mkweli wewe ni mkristo na leo ni j2
It's very unfortunately, Tanzania tuna chama kimoja tuu. Chama kwa maana halisi ya chama cha siasa, ni kimoja tuu, the one and only, na kitatawala milele! Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
- Je, CCM Itatawala Milele Au?
-https://www.jamiiforums.com/threads/watch-tbc-live-william-malecela-na-ndoto-ya-ccm-kutawala-miaka-50.290455/
Kinachoifanya CCM itawale milele ni kwasababu CCM kutumia Hooks & Crooks Kushinda Chaguzi, Inajua Ikishindwa Ndio Itakufa Jumla, Itakubali? na pia kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
P
 
Huo mfano hauendani na suala hili kwa kuwa jambo hili linaweza kutihibishwa na kutolewa ufafanuzi bila shida ya aina yoyote ile na ukweli ukafahamika
 
Mambo ni mengi sana
 
Kuna wakati watu wanaacha professional zao na kuweka ushabiki au mahaba mkuu , na vitu kama hivi ndio huwa vinawapunguzia watu heshima.
 
Haki ya Tundu Lissu ya:

1. Kulipwa mafao yake ya ubunge iko wapi? Si ni CCM hawahawa mnaminya haki hiyo?

2. Polisi kuchunguza tukio la kujaribu kumuua kwa risasi mwaka 2017 , kuwakamata na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wote waliohusika na tukio hilo hiyo haki yake Iko wapi? Si ni CCM nyie wenyewe mnahusika?

3. Kulipiwa gharama zake za matibabu baada ya tukio lile baya na la kishenzi. Je waliokataa si nyie wenyewe CCM kupitia Rais wetu hayati J. P. Magufuli na Spika wa Bunge la CCM Job Ndugai? Unasemaje hapo?

NB: Huu ni mfano tu wa raia mmoja maarufu sana Ndugu Tundu Lissu kunyanyaswa, kuwa brutalized na kisha kunyimwa haki zake na serikali iliyo chini ya CCM.

Sasa kama mnaweza kuutendea mti mkavu uovu mbaya hivi, vipi kwa miti mibichi ndugu Lucas Mwashambwa?
 
Huyo mchuna ngozi hawezi kukuelewa moyo wake umejaa ushetani tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…