Nesi aliyempokea Lissu Hospitalini anadai kuwa Antony Mtaka alimtukana 'Fala wewe' na akamuweka mahabusu siku tatu wakati ni Mgonjwa

Nesi aliyempokea Lissu Hospitalini anadai kuwa Antony Mtaka alimtukana 'Fala wewe' na akamuweka mahabusu siku tatu wakati ni Mgonjwa

Utakuwa humjui Anthony Mtaka, hawezi kupata muda wa kujibu vitu vidogo hivi!. Kwa tunaomjua Mtaka, tunajua Mtaka hawezi kumtukana mtu yeyote!.
Kwa kifupi, mtu kama huyu
View: https://youtu.be/Ed7c9aEw8-Y?si=RcVTCoB_eom6d54C ataanzia wapi kumtukana mtu?.

View: https://youtu.be/bKobi1sGjQ4?si=0Qh3vJg7hWbFQdqv

View: https://youtu.be/sOv_cJSC9As?si=_QRpMw_Rp1rh8C5h

View: https://youtu.be/-f10kAUh7ik?si=h-eJ70koa8_PUcQ9
P

Mtu kuwa CCM kuna mambo mawili 1. Mla rushwa na jangili 2. Shetani
 
Usiusemee moyo wa mtu,nani alitegemea Rais Samia angeweza kumtukana waziri wake Profesa Mkenda kumuita nonsense tena hadharani. Kuna siku pia aliwatukana wateule wake kuwaita stupid? Usiusemee moya wa mtu. Wewe hukuwepo jee huyo mama akileta ushahidi usiotia shaka kuwa Mtaka aliyasema hayo utauweka wapi uso wako. Wakati mwingine mami unajitafutia aibu ya bure kutetea kila uovu wa makada wa CCM.
Mtu kuwa CCM lazima awe shetani haswa
 
Paschal nakuheshimu sana lakini hii hoja umeijibu KICHAWA CHAWA SANA huu siyo ubongo wako, huyo unaedhan hawezi tukana wengine tumefanya nae kazi wala hayupo hivyo na hata upigaji ni fundi mzuri sana, viongozi wote waliokuwa wameshirikishwa kwenye Verse ya kumuua Lissu hakuna aliyekuwa na akili zaidi ya kumfurahisha yule aliyetangulia kuzimu. Hivyo Paschal utakuja jiweka ktk wakati mgumu unapomchukulia mpigaji kama wapigaji wengine kuwa ni malaika
Duh...!. Yaani huyu yumo kwenye list ya viongozi waliokuwa wameshirikishwa kwenye Verse ya kumuua Lissu?!. Please don't!. Mbona list ililetwa humu na jina lake halimo?. The list iko hapa Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
P
 
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais wetu.sihitaji hata kukujibu kwa kuwa umekosa adabu kabisa kwa Rais. Rais wa nchi usifananishe na mtu wa kawaida.kwanini usingeuliza kwa lugha ya staha na adabu ili uweze kujibiwa kuliko kuandika kwakutumia lugha chafu,ya kejeli na dharau?
rais akitembea uchi utamuhoji kwa heshima ? anavyofanya Sa100 anajiheshimu ? yaan kusign mkataba usio na muda ni kujiheshimu ?
 
Usiusemee moyo wa mtu,nani alitegemea Rais Samia angeweza kumtukana waziri wake Profesa Mkenda kumuita nonsense tena hadharani. Kuna siku pia aliwatukana wateule wake kuwaita stupid? Usiusemee moya wa mtu. Wewe hukuwepo jee huyo mama akileta ushahidi usiotia shaka kuwa Mtaka aliyasema hayo utauweka wapi uso wako. Wakati mwingine mami unajitafutia aibu ya bure kutetea kila uovu wa makada wa CCM.
Well said
 
Back
Top Bottom