Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Israel safari hii amepwaya, hafanyi mashambulizi kama alivyofanya 2006.. 2006 hakuna mahala Israel hakupiga, alipiga hadi shule, barabara urefu km 640 waliharibu , piga HQ za Hezbollah na nyumba zao za viongozi... Tv station ya Hezbollah, madaraja, vituo vya fuel n.k

Kwa sisi tuliofuatilia battle la 2006, tunana Israel kashuka kiwango. Bado sana kuivunja Hezbollah nguvu... Bado sana .
 
Israel safari hii amepwaya, hafanyi mashambulizi kama alivyofanya 2006.. 2006 hakuna mahala Israel hakupiga, alipiga hadi shule, barabara urefu km 640 waliharibu , piga HQ za Hezbollah na nyumba zao za viongozi... Tv station ya Hezbollah, madaraja, vituo vya fuel n.k

Kwa sisi tuliofuatilia battle la 2006, tunana Israel kashuka kiwango. Bado sana kuivunja Hezbollah nguvu... Bado sana ..
Hawajui hili!

Wanadhani Israel kushambulia hivyo Lebanon na bado hajatoa tangazo la vita ni bahati mbaya?

Hawajiulizi hilo?

Siku 2 mfululizo Hizbullah kawalaza raia wa Israel kwenye mahandaki nalo hawajiulizi kwa nini mpaka muda huu hajatangaza vita?
 
Vijana wa sasa utawaweza?
Sometimes unawaacha waruke ruke na ujinga wao matukio ya mbeleni yatakuja kuwaonyesha kama ni wajinga zaidi au werevu.
Mi mwenyewe nashindwa kuelewa hawa wadau wanaongea kitu gani ..

Netanyahu mwenyewe anaonekana mjinga tu, kwenye hotuba baraza la usalama umoja wa mataifa wawakilishi wengi tu walitoka nje kushiria anaongea pumba tupu, najua ilimtesa kisaikolojia sana.

Kwa hasira akaanza kutoa mikwara ataipiga Iran, Netanyahu amekuwa kama mwehu, anazidi kutengeneza jina baya kwa Israel, Ajifunze kwa Ehud Olmert, Israel itamgeuka Hezbollah wakianza mashambulizi....

Nina uhakika hii ni nafasi Hezbollah walikua wakiitafuta Israel aingie kwenye 18 na kweli ameingia...
 
Rais wa Poland 2010 alianguka na ndege Smolensk Russia akiwa na mkewe na wengine 94 wakafariki.

Ajali zinatokea na hakuna uthibitisho Israel ilihusika na hio ajali.
Lakini kwa ajali ya Iran ni tofauti, baada ya pagers za Hezbollah walizonunuliwa na Iran kuripuka, Iran imetuhumu kuwa inawezekana Israel ilihusika na ajali iliyomuua rais wao sababu kwenye chopa kulikuwepo na pager
 
Umesahau kuwa jibu la Israel kwa Iran lilikuwa baya sana kwa kumwua raisi wa Iran. Au hadi leo unajua hali mbaya ya hewa.
Una ushahidi gani kama Israel ndio walimuua rais wa Iran?
Mbona Netanyahu alikataa?
 
Hawajui hili!

Wanadhani Israel kushambulia hivyo Lebanon na bado hajatoa tangazo la vita ni bahati mbaya?

Hawajiulizi hilo?

Siku 2 mfululizo Hizbullah kawalaza raia wa Israel kwenye mahandaki nalo hawajiulizi kwa nini mpaka muda huu hajatangaza vita?
Hezbollah ana uwezo wa kuwahamisha raia wa miji yote ya Israel wahamie warundikane sehemu moja, makombora ya Hezbollah yanafika popote Israel...

Wakisema Haifa yote ihamie Tel Aviv watahama wapende wasipende... Si watumie hizo iron dome?

Iron dome zenyewe zime prove failure ndio maana raia wa Israel wanahama kusini mwa Israel kama wakimbizi...

Hilo tu kinawatesa sana uongozi wa Netanyahu...

Hezbollah hata juzi hapa wamesharusha roketi kuelekea Tel Aviv na limefika, ilikuwa ni message tu kwamba "Hello there? Ulipo tupo"...
Hivyo Hezbollah inaweza kuamrisha Tel Aviv wahamie Jerusalem, au Haifa waende Tel Aviv, au Rishon na raia wakaenda...

Watu hawaijui Hezbollah..
 
Unaongea ujinga wewe, Israel kaua rais wa Iran na hajafanywa kitu na Iran. Wamejifanya kutoa statement ya uongo kwamba hali ya hewa ndiyo iliangusha helicopta ya rais Raisi ili kuondoa aibu

Israel taifa la Mungu
Acha uongo wa KIFALA wewe.
Benjamin Netanyahu alikataa na akakana mbele ya kadamnasi Israel haihusiki na kifo cha Rais wao.
Wewe mswahili wa peramiho unalazimisha eti wamehusika.
Lete ushahidi hapa kama unao.

Iran imeshaishambulia Israel mara kibao direct and indirect na hakuna kitu Israel ilifanya.
Unakumbuka makombora 300 Iran alorusha kuelekea Israel!?
Je Israel alifanya nini baada ya hapo!??
Mnabwabwaja kama mmelewa chang'aa bana.
 
Rais aliyeamuru mashambulizi kwenda Israel yuko wapi?

Kati ya maboom 300 yaloingia Israel ni mangapi?

Gaidi wa Hamasi alifia nchi gani na mhisika ni nani?

Utakataaje kwamba IDF haiwezi kuingia popote middle?
*Rais wa Iran hakuuliwa na Israel huu uongo ufuteni.
*Makombora 300 nchi takriban nne USA,UK,France na Jordan zilishiriki kuyadungua na makombora 7 yakapenya.
*Hilo suala na assassination attempt liko duniani kote USA anayefahamika kuwa ana ulinzi bora Donald Trump alikoswa kuuawa na risasi.
Pia kuna Rais wa Marekani alikoswa kuuawa.
 
Mi mwenyewe nashindwa kuelewa hawa wadau wanaongea kitu gani ..

Netanyahu mwenyewe anaonekana mjinga tu, kwenye hotuba baraza la usalama umoja wa mataifa wawakilishi wengi tu walitoka nje kushiria anaongea pumba tupu, najua ilimtesa kisaikolojia sana.

Kwa hasira akaanza kutoa mikwara ataipiga Iran, Netanyahu amekuwa kama mwehu, anazidi kutengeneza jina baya kwa Israel, Ajifunze kwa Ehud Olmert, Israel itamgeuka Hezbollah wakianza mashambulizi....

Nina uhakika hii ni nafasi Hezbollah walikua wakiitafuta Israel aingie kwenye 18 na kweli ameingia...
Muda huu Hizbullah anashambulia West Bank kwa mara ya kwanza tangu waanze kushambuliana na Israel na milipuko inasikika huko West Bank.

Moja ya shambulizi alilolifanya Israel huko Beirut ni kushambulia gas station matokeo yake athari za mlipuko zinakuwa kubwa na kuleta madhara.

Jana usiku aliwaambia raia wa Southern Beirut waondoke hali ya kuwa muda anaotoa tangazo watu wamelala.

Licha ya hivyo tangazo lao wanasema lita target specific areas. Short moments later they bombed the entire area.

Huwa najiuliza; kambi za hizbullah wanazifahamu. Kwa nini wasisambulie hizo kambi badala yake wanashambulia maeneo ya raia. Jawabu wanalolitoa ni kuwa wanajificha kwenye makazi ya raia.

Walilulizwa swali moja na radio moja ya UK kwamba ikiwa hiyo ndiyo justification: Ikiwa kama wamejificha Tel aviv, nayo mtailipua kama mnavyofanya nchi nyengine pasipo kuangalia idadi ya raia wenu waliyopo kwenye hilo eneo? Jawabu hawana!

Wanachotakiwa wafanye kama Russia anachofanya nacho ni kushambulia miundombinu ya kijeshi na ndiyo maana mpaka leo Ukraine raia bado wananendelea na shughuli zao za kawaida ijapokuwa nchi ipo vitani.
 
Mbona unatoa conclusion mapema kichapo bado kinaendelea bado hakijaisha ndio kwanza wanaanza
2006 Israel alishambulia usiku na mchana siku 4 mfululizo , kazi na dawa hakuna kulala..
Alipomaliza ndipo Hezbollah wanasema tunaanza vita...

Ogopa sana huyo kiongozi wao Nasrallah atoe hotuba vita inaanza... Inawezekana 2006 ulikuwa mdogo hukufuatilia..
 
Hii thread kuna watu wameandika vichekesho hatari.
Yani Israel ambayo imepata askari walemavu zaidi ya 70,000 kwa vita ya Hamas tu pale Gaza iitishie Iran na iiweze Iran na mashariki ya kati yote!??
*Kwanza hivi mlitizama kikao cha UNGA viongozi walivyoondoka na kumdharau Benjamin Netanyahu!?
Viongozi wengi waliinuka na kuikwepa ile speech ya Netanyahu maana waliona hana jipya na mropokaji tu.
Hilo tu ninyi wagalatia liwajulishe kuwa Netanyahu ni kichekesho.
*Pia kila siku Israel ndio inailalamikia Iran na kuisema,mbona huwaoni Iran wakilalamikia Israel kwa sana!?
Kila siku Israel Iran hivi mara Iran vile,hii inajulisha Israel inamhofia sana Iran.
 
Hezbollah ana uwezo wa kuwahamisha raia wa miji yote ya Israel wahamie warundikane sehemu moja, makombora ya Hezbollah yanafika popote Israel...

Wakisema Haifa yote ihamie Tel Aviv watahama wapende wasipende... Si watumie hizo iron dome?

Iron dome zenyewe zime prove failure ndio maana raia wa Israel wanahama kusini mwa Israel kama wakimbizi...

Hilo tu kinawatesa sana uongozi wa Netanyahu...

Hezbollah hata juzi hapa wamesharusha roketi kuelekea Tel Aviv na limefika, ilikuwa ni message tu kwamba "Hello there? Ulipo tupo"...
Hivyo Hezbollah inaweza kuamrisha Tel Aviv wahamie Jerusalem, au Haifa waende Tel Aviv, au Rishon na raia wakaenda...

Watu hawaijui Hezbollah..
Ngoja tuone mambo yao yatakuwaje!

Kwa mujibu wa sasa hali inayoendelea ni hii:

Israeli Army Radio:
Rocket fire from Lebanon targets West Bank settlements for the first time after yesterday's operation in the southern suburb.
 
Ngoja tuone mambo yao yatakuwaje!

Kwa mujibu wa sasa hali inayoendelea ni hii:

Israeli Army Radio:
Rocket fire from Lebanon targets West Bank settlements for the first time after yesterday's operation in the southern suburb.
Ila huu ukimya wa Hizbollah unaleta utata sana.
Yani hawatangazi kitu wapo kimya sana.
Sijui wanapanga nini hawa jamaa.
 
Muda huu Hizbullah anashambulia West Bank kwa mara ya kwanza tangu waanze kushambuliana na Israel na milipuko inasikika huko West Bank.

Moja ya shambulizi alilolifanya Israel huko Beirut ni kushambulia gas station matokeo yake athari za mlipuko zinakuwa kubwa na kuleta madhara.

Jana usiku aliwaambia raia wa Southern Beirut waondoke hali ya kuwa muda anaotoa tangazo watu wamelala.

Licha ya hivyo tangazo lao wanasema lita target specific areas. Short moments later they bombed the entire area.

Huwa najiuliza; kambi za hizbullah wanazifahamu. Kwa nini wasisambulie hizo kambi badala yake wanashambulia maeneo ya raia. Jawabu wanalolitoa ni kuwa wanajificha kwenye makazi ya raia.

Walilulizwa swali moja na radio moja ya UK kwamba ikiwa hiyo ndiyo justification: Ikiwa kama wamejificha Tel aviv, nayo mtailipua kama mnavyofanya nchi nyengine pasipo kuangalia idadi ya raia wenu waliyopo kwenye hilo eneo? Jawabu hawana!

Wanachotakiwa wafanye kama Russia anachofanya nacho ni kushambulia miundombinu ya kijeshi na ndiyo maana mpaka leo Ukraine raia bado wananendelea na shughuli zao za kawaida ijapokuwa nchi ipo vitani.
Hapa kinachosubiriwa ni Hezbollah atoe tamko kwamba anaingia vitani, ndipo watu watagundua kama vita ni rahisi wanavyofikiria...

Israel njia pekee kujiponya ni kuua raia, kijeshi ni wadhaifu.

Hezbollah wakitoa tamko rasmi tutashuhudia mengi..
 
Netanyau atawanyoosha haswaa anaanza na mmoja mmoja ndo mana Rais mpya wa iran habweki sana kama yule mwenzie ibrahm rais aliye pelekewa wingu miliman
 
Ila huu ukimya wa Hizbollah unaleta utata sana.
Yani hawatangazi kitu wapo kimya sana.
Sijui wanapanga nini hawa jamaa.
Nilichojifunza ni kuwa kama Mrusi.

Mrusi ukibahatika kumshambulia hatoi kauli anachofanya ni kutangaza hasara iliyopatikana halafu kimya.

Majibu yake mtakuja kuyatangaza nyinyi wengine mara ooh warusi wana roho mbaya hawajatoa hata taarifa! Mara hivi mara vile!

Hali ya namna hii huwa inajenga hofu kwa unayepambana naye!
 
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.

My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Ni aina flani ya kiongozi anaesimamia anachokiamini mwenye uthubutu na jasiri, japo siungi mkono operation anayoiendeleza.
 
Back
Top Bottom