Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Netanyahu aipiga mkwara mzito Iran na nchi zote za mashariki ya kati

Nilichojifunza ni kuwa kama Mrusi.

Mrusi ukibahatika kumshambulia hatoi kauli anachofanya ni kutangaza hasara iliyopatikana halafu kimya.

Majibu yake mtakuja kuyatangaza nyinyi wengine mara ooh warusi wana roho mbaya hawajatoa hata taarifa! Mara hivi mara vile!

Hali ya namna hii huwa inajenga hofu kwa unayepambana naye!
Nahisi kuna jambo zito linakuja.
Maana sio kwa huu ukimya.
Ila Israel imeshasogeza vifaru na wanajeshi mipakani na Lebanon.
 
Hakuna anayeelewa, lakini naona kikubwa wanajipanga na wanaandaa mikakati thabiti.
Hao bana wakisema washajiandaa aisee inakua balaa.
Imenikumbusha May Iran ilivyokaa kimya kuhusu kushambuliwa balozi yake Syria.
Watu walisema ameshakubali matokeo.
Ila tukio lililokuja kutokea baadae hata Israel hakuamini.
Tusubiri tuone.
 
Hii thread kuna watu wameandika vichekesho hatari.
Yani Israel ambayo imepata askari walemavu zaidi ya 70,000 kwa vita ya Hamas tu pale Gaza iitishie Iran na iiweze Iran na mashariki ya kati yote!??
*Kwanza hivi mlitizama kikao cha UNGA viongozi walivyoondoka na kumdharau Benjamin Netanyahu!?
Viongozi wengi waliinuka na kuikwepa ile speech ya Netanyahu maana waliona hana jipya na mropokaji tu.
Hilo tu ninyi wagalatia liwajulishe kuwa Netanyahu ni kichekesho.
*Pia kila siku Israel ndio inailalamikia Iran na kuisema,mbona huwaoni Iran wakilalamikia Israel kwa sana!?
Kila siku Israel Iran hivi mara Iran vile,hii inajulisha Israel inamhofia sana Iran.
Hii uliona wewe, ila wao walichokiona ni Netanyahu kuwa hana mswalie mtume, anawavuruga sana waja wa allah
 
Ujinga umekujaa huyo Israel hajafika hata nusu ya Ujerumani.

Kijitaifa kinachoishi ndani ya ngao ya ulimwengu wa magharibi hakina uwezo wa kutisha mashariki ya kati yote.

Iran iliporusha makombora Israel na yalifika [ hivi unajua hicho kitendo ni kuhararisha vita ya moja kwa moja ] kwa nini Israel hakuivamia Iran kivita kama yeye anaweza kuua mashariki ya kati yote ?

Una kichwa kitumie kufikiri sio kujaza ujinga.
Ni kweli Israel haikuivamia Iran, lakini nikuulize Kiongozi Mkuu wa HAMAS na Rais wa Iran walibaki salama? Ahahahahaha!!!
 
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.

My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
Bila mabwana zake hana ujanja.


View: https://youtube.com/shorts/-p-mxQyvMKk?si=rRjbZWBuKNKnOd-m
 
Hapa kinachosubiriwa ni Hezbollah atoe tamko kwamba anaingia vitani, ndipo watu watagundua kama vita ni rahisi wanavyofikiria...

Israel njia pekee kujiponya ni kuua raia, kijeshi ni wadhaifu.

Hezbollah wakitoa tamko rasmi tutashuhudia mengi..
Vita ni ngumu ndugu yangu vijana hawajui!

Na kufa nje nje!
 
Ismail Haniyeh ndio rais wa Iran!?
Mbona we ni kichaa aisee!??
Ubongo mgando wewe. Ina maana hujui kwamba raisi wa Iran aliuwawa na Israeli kwenye milima. Huyo Haniyeh si aliuwawa baada ya kutoka kwenye sherehe ya kuapishwa rais mpya.
 
Nahisi kuna jambo zito linakuja.
Maana sio kwa huu ukimya.
Ila Israel imeshasogeza vifaru na wanajeshi mipakani na Lebanon.
Israel anachotaka kukifanya Lebanon ni kama Gaza...

Lakini Hezbollah na wao wametoa message majuzi hapa baada ya kushambulia Tel Aviv kulenga jengo na kudai kwamba ndipo mipango Mossad wanaposuka ili kuua viongozi wa Hezbollah....

Hata hivyo Israel imekana kwamba hapo hapakua HQ za Mossad....

Hezbollah ametoa ujumbe zaidi na si kushambulia kwamba vita ya namna hio tunaiweza...

Wanaweza lenga majengo randomly kwa kigezo mossad wanaishi humo na kufanya mipango... Its a cheap strategy ambayo IDF inafanya na Hezbollah kuonyesha wanaweza pia...

Ndio maana toka hilo shambulizi Tel Aviv litokee imekuwa kama shock flani kwa Israel...
 
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.

My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.

Kibri chake kitaisha, endeleeni kufurahia tu
 
Ubongo mgando wewe. Ina maana hujui kwamba raisi wa Iran aliuwawa na Israeli kwenye milima. Huyo Haniyeh si aliuwawa baada ya kutoka kwenye sherehe ya kuapishwa rais mpya.
Una uhakika gani rais wa iran ameuawa na israel?
 
Hapo ujue MOSSAD wamo kitambo ndani ya majeshi ya Iran na kiduku
Anasema hakuna sehemu Iran na middle east yote ambapo mkono wa jeshi la Israel hauwezi kufika.

My take
Kuna haja ya Iran na wadau wake waweke tofauti zao na Israel pembeni. Maana Israel kwa sasa anaweza hata kuua nusu ya raia wa middle east na watu wote wakabaki wanamchekea. Hakuna mtu wa kumchukulia hatua wala kumzuia chochote qtakachoamua kufanya kwa yoyote duniani.
 
Nahisi kuna jambo zito linakuja.
Maana sio kwa huu ukimya.
Ila Israel imeshasogeza vifaru na wanajeshi mipakani na Lebanon.
Hao wakithubutu wanapata aibu ya karne.

Syria naye amepanga kurudisha eneo lake na taarifa rasmi zinasema takribani wanajeshi elfu arobaini kutoka Yemen, Taliban, Iraq na Syria wenyewe wapo hapo mpakani na Israel. Wanasubiri kosa la kiutebdaji alifanye Israel.

Netanyahu akithubutu kuingiza jeshi kwenye mipaka ya Lebanon hiyo ni vita kamili. Na jeshi la Israel limesha prove ni mdebwedo kwenye vita yake na Hamas.

Na kinachofanyika sasa hivi Iran ananunua silaha za kuzamisha meli Russia na kumpatia Yemen. Ikiwa vita ikiaanza Yemen atakuwa anadili na meli za kijeshi za Bwana Nato hapo baharini.

Hivyo mazingira kwa Israel na mabwana zake si rahisi kihivyo!
 
Back
Top Bottom