Vichwa gani toka Israel wewe acha ujinga!!Us naye anaendeleza tech kwa msaada wa vichwa toka Israel hivyo wanategemeana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichwa gani toka Israel wewe acha ujinga!!Us naye anaendeleza tech kwa msaada wa vichwa toka Israel hivyo wanategemeana
Kuna wafuasi wa mwamposa humu wanaamini Israel ndilo taifa lenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi duniani.Israel mwenyewe anaishi kwa msaada wa US.
Haaa kumbe hata wewe muisiharamu una viji akili vimebaki kichwani [emoji1787][emoji1787]Israel mwenyewe anaishi kwa msaada wa US.
Labda sanduku la agano la musa na fimbo ya musa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani silaha za kuwa chapia boko haramu ndiyo upeleke kumpiga nazo mrussi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana silaha gani za kumpa Ukraine!?
😅😅😅in the name of TrumpNchi za Afrika hazina msaada duniani...
Majanga yakitokea dawa zinaletwa
Na pia wanaamini kua Myahudi nae anaamini dini kama yao,kumbe Yahudi ndio adui wa yule Mungu mtu.Kuna wafuasi wa mwamposa humu wanaamini Israel ndilo taifa lenye nguvu kubwa zaidi za kijeshi duniani.
Sasa kuwapga wapalestine nayo ya kujisifia nchi haina hata jeshi wakawapge hezbollah maana walishambuliwa zaidi ya miezi 2 wakasema watarudisha imekuwa kimyaaa[emoji23] na wewe nawe umekuwa mchambuzi !. kawaulize palestina wanapigiwa na zana gani !
Vifaru vya MerkavaAna silaha gani za kumpa Ukraine!?
Iron dome uipeleke Ukraine wakati makombora ya Hamas ya kutengeneza kienyeji yanapita!!?..hivyo vifaru hizbullah walivifumua kwelikweli 2006Vifaru vya Merkava
Air defense systems (Iron dome)
Akili za wapi hizi? unajisifu kumpiga Palestina ambae amefungiwa mipaka yote? unaifananisha Palestina na Russia? haya mahaba yenu yanawafanya muonekane hamnazo kabisa.[emoji23] na wewe nawe umekuwa mchambuzi !. kawaulize palestina wanapigiwa na zana gani !
Israel ilishawahi pigana na Misri, Syria, Jordan, Lebanon na Iraq. Kati yao nani alimshinda Israel?Israel hana silaha za kuisaidia Ukraine, uwezo wa Israel sana sana ni vita vya mtaani vya bunduki na siyo kukabiliana na giant wa kivita kama Russia.
Mfumo wa Iron Dome air defence system ni kwaajili ya kuzuia maroketi ya kienyeji toka Gaza kwa wapelistina walionyang'anywa ardhi yao. Huo mfumo hauwezi ku intercept hata mifumo ya kizamani ya makombora ya BM-21.
Urusi mpka sasa anagawa kichapo dhidi ya silaha na majeshi mbali mbali yenye teknolojia tofauti tofauti uje umpelekee silaha za hao wagalatia?
Russia kiuhalisia ana uwezo mkubwa sana wa kijeshi.
Umeandika ushabiki na ujuaji tu...mbona Ukraine waliomba wapewe hizo Iron dome ?....Kuna kifaru hakijawahi kufumuliwa ?Iron dome uipeleke Ukraine wakati makombora ya Hamas ya kutengeneza kienyeji yanapita!!?..hivyo vifaru hizbullah walivifumua kwelikweli 2006
Huyu Supa-pawa wa mchongo aliyekimbizwa na stinger ana jipya gani ?Russia umuwekee iron dome!!?...
Hiyo vita USA na Uingereza walitoa misaada ya silaha, na upelelezi. Usiwe brain washed boss.Israel ilishawahi pigana na Misri, Syria, Jordan, Lebanon na Iraq. Kati yao nani alimshinda Israel?
Egypt na Syria zilipoungana kupigana na Israel kwenye Yon Kippur war nani alishinda?
Kwenye Six Days war walipoungana Waarabu nchi tano dhidi ya Israel nani alishinda?