Netanyahu awatesa wapalestina, aitesa Marekani, Israel na dunia yote. Mwisho wake utakuwa funzo kwa binadamu

Netanyau anaongoza muungano wa kisiasa unaoundwa na vyama vyenye mrengo mkali wa kulia vyenye misimamo mkali dhidi ya Wapalestina.

Hawa wanamshinikiza Netanyau kuendeleza vita huku wakitishia kuivunja serikali yake, Netanyau hana namna zaidi ya kukubali Ili kuokoa serikali yake na hatima yake ya kisiasa isiyojulikana ikizingatiwa pia ana tuhuma za rushwa zinamsubiri.
 
Hakuna kilichofanyika Ukraine mpaka sasa ukalinganisha na yale mauwaji kwenye mahospitali ya Ashifaa na makambi ya wakimbizi.
Kue Bakhmut na Mariupol urusi ilitumia moto mkali sana lakini dhidi ya wanajeshi wa Ukraine mpaka wakasalimu amri.
Ukraine ni wazungu wanapigana profession war yaani wanajeshi hawajikingii ngao kwa raia

Sasa hao wala tende hapo middle east wanatupa tukombora halafu wanajidisguise Kama raia vile.

Ndo maana mzayuni anafagia chochote, watoke hadharani wavae uniform uone Kama hata siku itaisha
 
So you believe kua you're the only source ya hiyo habari. I met similar information kwa Tweeter, read it, understood it, you're just parroting what other have pondered. You don't control narrative
 
 

Wanaopata darasa ni wavaa kobaz, kama itatokea muichokoze Israel tena nitakubali kweli mumepania kurubuni watu wenu, sasa hivi namba za vifo vyenu vinaelekea kuchezea 40,000 yote hiyo kisa mliteka watoto wa Wayahudi. allah wenu kaakimbia.
 
Anapewa Jeuri na zionists wenzake wanaocontrol dunia #The Rothschild family hao ndio vitukuu vya shetani,,mpango wao ni kufuta Palestine wajenge hekalu la Mungu wao wanaomsubir (ant-chris )
 
Atakuwa ni kiongozi wa mfano aliyetoa funzo kwa magaidi na vizazi vyao siku nyingine wajue israel sio taifa la kuchezewa
 
Kwanini mnaiandama israel kwa vifo vya watoto na wanawake wakati Urusi ilifanya mauaji ya waukraine wasio na hatia kule Bucha , lyman upo ushahidi raia waliteswa, walibakwa, waliuawa hadi makaburi ya halaiki ili hali hata ukraine haikuanzisha vita lakini hamas waliichokoza israel
 
Wanaopata darasa ni wavaa kobaz, kama itatokea muichokoze Israel tena nitakubali kweli mumepania kurubuni watu wenu, sasa hivi namba za vifo vyenu vinaelekea kuchezea 40,000 yote hiyo kisa mliteka watoto wa Wayahudi. allah wenu kaakimbia.
Netanyahu kwanza ajinasue kwenye kitanzi cha icc
Pili apambane na waisrael ambao wamemchoka na amewaweka wote hatarini kwa ujinga wake
 
Hao hamas wangevamia Urusi 7/10/ 2023 na kuchinja watu vile,maiti zaidi ya 1200 kutapakaa mtaani vile ndani ya masaa tu. LEO HII TUNGEKUWA TUNAONGEA VINGINE. Netanyahu ni mstaarabu sana
 
Mollel na Mtenga waliuliwa na Netanyau ? unafik huu mnafundishwa misikitin ?
 
Hakuna jirani mwema ambaye ni mwarabu dunia hii hakuna.
Hayo unaongea wewe kwakuwa unaongea na hisia ila duniani saudi arabia amekuwa rafiki mkubwa wa usa kuliko mataifa mengi ya ulaya ukiacha uk na germany,
Netanyahu wakati anaingia madarakani moja ya sera yake ni kuwa na normalization na saudi arabia na jirani zake middle east kitu ambacho amefeli hadi sasa pamoja na msaada mkubwa wa usa
 
Saudia anaurafiki kwasababu hana nguvu,akipata nguvu hana rafiki yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…