Si juzi mlisema kuwa amejeruhiwa Vibaya Sana na atakufa anytime? Inakuaje tena Leo? malariaWanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Songa ugali ule we dogoWanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Siku Hizi hampigani tena vita vya uchumi Tanzania?
Hapa patamu kweli tuone atafanya nini sasa. Hizo ndege ndio alikuwa anajisifia zitapiga Iran kwisha habari yake Iran wamecheza vizuri hapo.
Muisrae mweusi wa MWABOWO amegeuka kuwa mtoa nasaa😀 wakati watoto wa Gaza wanapigwa mabomu unashangilia halafu mimi umri wangu namzidi Baba yako.Songa ugali ule we dogo
Hayo madude unayoshabikia yatakupa kisirani tu halafu uje uanze kuitukana mama tanzania
I don’t like Israel kabisaMuisrae mweusi wa MWABOWO amegeuka kuwa mtoa nasaa😀 wakati watoto wa Gaza wanapigwa mabomu unashangilia halafu mimi umri wangu namzidi Baba yako.
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1841275605129502926?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Muyahudi mweusi mwingine wa IDIMI kachefukwa😀 tunapigana hivi vita na magaidi wa Israel.Siku Hizi hampigani tena vita vya uchumi Tanzania?
Kakimbia kwenda wapi? Ulikuwepo wewe?Kaondoka mida ya saa 10 jioni majira ya Tel Aviv huyu jamaa hafai kuwa kiongozi. Unakimbiaje Wananchi wafe wewe unaenda kujificha
😅 Umechefukwa? Sasa mimi takusaidiaje.I don’t like Israel kabisa
Never support wanachofanya
Ila sioni tija kabisa kujipa fake hope
Ubwogo-ubwogwo tu
Vipi Netanyahu ameshafariki?Muyahudi mweusi mwingine wa IDIMI kachefukwa😀 tunapigana hivi vita na magaidi wa Israel.
View: https://x.com/mylordbebo/status/1841183543093051731?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Vipi Netanyahu ameshafariki?
Wanaume wanatafuta wanao jidai wanaume kuwapiga direct, lakini mashoga yanawakimbia wanaume yanaenda kuwauwa watoto na wanawake.😅 Umechefukwa? Sasa mimi takusaidiaje.
View: https://x.com/resist_05/status/1841303476342825363?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
BREAKING: Mohammad Bagheri, Mkuu wa Wafanyakazi wa Majeshi ya Iran:Vipi Netanyahu ameshafariki?
Eti kila jiko na sebule Lebanon zina makombora😅😅😅 mashoga banaWanaume wanatafuta wanao jidai wanaume kuwapiga direct, lakini mashoga yanawakimbia wanaume yanaenda kuwauwa watoto na wanawake.
Iran wanaume wamepiga Military and Strategy place.