Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Hapa patamu kweli tuone atafanya nini sasa. Hizo ndege ndio alikuwa anajisifia zitapiga Iran kwisha habari yake Iran wamecheza vizuri hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa patamu kweli tuone atafanya nini sasa. Hizo ndege ndio alikuwa anajisifia zitapiga Iran kwisha habari yake Iran wamecheza vizuri hapo.
Mmepigwa kwenye mshona kabisa Padr wetu.Wanafurahia nini?! Ugaidi wa Iran
Source: Trust me Bro 😂Khamenei remains in secure location after ballistic missile attack on Israel, says senior Iranian official
Wavaa kobazi mmetaitiwa mpaka kwenye mahandaki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Video imeachiwa: Benjamin Netanyahoo ameonyesha uwezo kukimbiza kiwiliwili kama swala baada kupewa taarifa za ujio wa ugeni toka ghuba ya uajemi ( Iran) 🤣🤣🤣
Hivi vitu tunachukulia mzaha ila hapo ulimwengu ushaingia kwenye maangamizi tayariTuwe tayari kwa nyuklia wana JF
Hawa islamists wetu wa Tanzania ni mbumbumbu mara 100 zaidi ya wenzao wa kiarabuMara jana kajeruhiwa vibaya hajiwezi mara leo kakimbia nchi
Wanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Jana mlituambia amejeruhiwa vibaya Kwa kombora, Leo mkatuambia amekimbia Israel baada ya kusikia nguruwe kutoka Iran kwahiyo hiyo video anakimbia akiwa wapi wakati Jana alijeruhiwa na yuko.. hivi Huwa mnawasiliana na ubongo kabla ya kuandika😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Video imeachiwa: Benjamin Netanyahoo ameonyesha uwezo kukimbiza kiwiliwili kama swala baada kupewa taarifa za ujio wa ugeni toka ghuba ya uajemi ( Iran) 🤣🤣🤣
Huyo hapo anachukua vipimo vya Ayatollah kwa ajili ya Jeneza lakeHapa patamu kweli tuone atafanya nini sasa. Hizo ndege ndio alikuwa anajisifia zitapiga Iran kwisha habari yake Iran wamecheza vizuri hapo.
😁😁😁Huyo hapo anachukua vipimo vya Ayatollah kwa ajili ya Jeneza lake
View attachment 3112647
SawaHuyo hapo anachukua vipimo vya Ayatollah kwa ajili ya Jeneza lake
View attachment 3112647
Wanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Idadi ya mashoga walioko Israel ni kubwa kuliko Iran 🇮🇷Na sasa manati za punga iran zimetunguliwa zote aisee muajemi bure kabisaa hii tena basi vijimanati hivyo katengenezewa na nchi tatu n.korea, china na russia na bado haziui hata mende
Shoga Iran lina kazi ya kujisifu nimerusha ballistic 150 mimi😂🤣
mishoga imejaa mno Iran mpaka jeshini mpaka inarusha vijikombora kiupinde upinde na hakuna madhara yoyote ya maana. Iran kuanzia hayatol, rais mawaziri wote mashogaIdadi ya mashoga walioko Israel ni kubwa kuliko Iran 🇮🇷
Hilo la kudunguaa mabomu sisemi
Huruma sana huyu babu kajichimbia kaburi lake mwenyewe hawa jamaa ukiwabeep wao hawabeep wanapiga usipopokea wanapiga tena mpaka upokee na ukipokea wanakupigia tena huruma kibabu Ayatolah ndio kinaenda na maji hivyo km utaniKesho au kesho kutwa ayatollah mnazika zingatia hili