Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

Tetesi: Netanyahu kakimba Israel baada ya kusikia Iran itaishambulia Israel

Huyu waziri mkuu wa taifa feki la machoko kakimbilia Iñdia kutafuta vibarua wa jeshi ili kupambana na Hezbollah ,eti wafanyakazi , wafanyakazi my ass ! ,Wanaleta cheap labour ili kuzivalisha magwanda na kuzipeleka front line kwa vile machoko hayawezi kupigana , Israel wana hali mbaya mno kama wasipokaa na kujitafakari upuuzi wanaofanya..,

Kwanini wasikubali two states solution kama ilivyowahi pendekezwa na UN ?
Jibu mtakuwa nalo ,ni ulafi wa ardhi wa hayo mazayuni , serikali yao ni ya kijambazi na walowezi inazidi kuimport walowezi na hao majambazi toka Marekani na ulaya ,wanalipwa kila kitu na hiyo serikali haramu ili kuja kupora ardhi za wapalestina na kuzikalia kimabavu na wapalestina wanao resist wanauawa kabisa ,tena chini ya usaidizi wa IDF ..
Hii ni nini kama sio ethnic cleansing na genocide ya kimya kimya , na hata ni matukio ya kila siku ,yanayotokea dhidi ya wapalestina .
Wapalestina wakifanya rebellion na harakati za kupambana na hiyo hali wanakuwa labeled magaidi .
Halafu mjinga mmoja anawatetea hawa wauaji
 
🛑|🇮🇷 Kauli ya pili kutoka kwa IRGC:

Kufuatia kauli iliyotangulia, wana wenu katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwa mujibu wa ahadi zilizotolewa na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu na makamanda wa kijeshi, kwa msaada wa vikosi vingine vya kijeshi, walitekeleza operesheni hiyo ya ‘Ahadi ya Kweli-2’.

Katika operesheni hii, vituo kadhaa vya anga na rada, na vile vile vituo vya kupanga na kupanga mauaji dhidi ya viongozi wa upinzani, haswa shahidi Ismail Haniyeh, shahidi Sayyed Hassan Nasrallah, na makamanda wa kijeshi wa Hizbullah, Muqawama wa Kiislamu wa Palestina na IRGC. makamanda, walipigwa.

Licha ya eneo hili kulindwa na mifumo ya kiulinzi ya hali ya juu na mnene zaidi, asilimia 90 ya mashambulizi hayo yalifanikiwa kufikia malengo yao, na kuufanya utawala wa Kizayuni kuwa na hofu kubwa kutokana na ujasusi na utawala wa kiutendaji wa Jamhuri ya Kiislamu.

Operesheni hii ilifanywa ndani ya mfumo wa haki ya kujilinda halali na kwa mujibu wa sheria za kimataifa, na upumbavu wowote zaidi wa adui utakabiliwa na majibu ya uharibifu na majuto.
 
⚡️BREAKING: CNN admits Israel's Mossad HQ is in a "densely populated area [in Tel-Aviv]... with civilians around it"

Using Israel’s logic: Tel Aviv is a legitimate target and Israel IS USING HUMAN SHIELDS, Iran is only targeting military bases.

Video: @muhammadshehad2
Umeelewa hiki ulichoshare au English is not englishing😁
 
Kidume anapambana na mataifa 4 kwa wakati mmoja ya Lebanon, Syria, Yemen na Iran pamoja na wavamizi wa Palestina.

GOD BLESS ISRAEL
Yaani kidume kinambehmgu nyingi na nguvu nyingi.

Kinawanpiga kwa mpigo😂😂😂😂

Israel oyeeee
 
Huu uongo huwa unawasaidia nini hasa? Kuna watu hamna aibu kabisa aisee.
 
Wanaukumbi.

ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.

Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.

Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.



View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Funga milango kamataaaaa huyooooo asitoke tia motoooo kimaa hawana pa kukaaa ni hofu hofu na mashaka teleee!
 

Attachments

  • IMG_20241001_223134.jpg
    IMG_20241001_223134.jpg
    16 KB · Views: 3
Nani amebisha mkuu . ? Wameshambulia ila zimepasukiwa kwa anga huko huko mabaya yapo kidgo ila chonde chonde reply ya ISRAEL isije ikawa pray for iran
Iran anaonesha sifa ya mwanaume, Makombora kwa mamia yametua Airport, Base za wanajeshi, miundombinu etc.

Angetaka Iran angeyaelekeza yote Nyumba za Wananchi wa kawaida na kuua Maelfu ya Waisrael ila ameonesha uanaume wake, anapigana na Jeshi la Israel na sio wanawake na watoto.

Ila Israel wao wapo busy kuua wanawake, watoto, wazee na watu ambao hawana uhusiano wowote na vita,

See the difference?
 
Iran anaonesha sifa ya mwanaume, Makombora kwa mamia yametua Airport, Base za wanajeshi, miundombinu etc.

Angetaka Iran angeyaelekeza yote Nyumba za Wananchi wa kawaida na kuua Maelfu ya Waisrael ila ameonesha uanaume wake, anapigana na Jeshi la Israel na sio wanawake na watoto.

Ila Israel wao wapo busy kuua wanawake, watoto, wazee na watu ambao hawana uhusiano wowote na vita,

See the difference?
Iran amelinda heshima yake kwa 90% kitu kinasafiri kilomete 2000 na kinalenga shabaha
 
Kaondoka mida ya saa 10 jioni majira ya Tel Aviv huyu jamaa hafai kuwa kiongozi. Unakimbiaje Wananchi wafe wewe unaenda kujificha

Khamenei remains in secure location after ballistic missile attack on Israel, says senior Iranian official​

 
Huyu waziri mkuu wa taifa feki la machoko kakimbilia Iñdia kutafuta vibarua wa jeshi ili kupambana na Hezbollah ,eti wafanyakazi , wafanyakazi my ass ! ,Wanaleta cheap labour ili kuzivalisha magwanda na kuzipeleka front line kwa vile machoko hayawezi kupigana , Israel wana hali mbaya mno kama wasipokaa na kujitafakari upuuzi wanaofanya..,

Kwanini wasikubali two states solution kama ilivyowahi pendekezwa na UN ?
Jibu mtakuwa nalo ,ni ulafi wa ardhi wa hayo mazayuni , serikali yao ni ya kijambazi na walowezi inazidi kuimport walowezi na hao majambazi toka Marekani na ulaya ,wanalipwa kila kitu na hiyo serikali haramu ili kuja kupora ardhi za wapalestina na kuzikalia kimabavu na wapalestina wanao resist wanauawa kabisa ,tena chini ya usaidizi wa IDF ..
Hii ni nini kama sio ethnic cleansing na genocide ya kimya kimya , na hata ni matukio ya kila siku ,yanayotokea dhidi ya wapalestina .
Wapalestina wakifanya rebellion na harakati za kupambana na hiyo hali wanakuwa labeled magaidi .
Halafu mjinga mmoja anawatetea hawa wauaji
Acha uongo dogo😀😀
 
Back
Top Bottom