Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo manati za muajemi zimeua nini pale Israel?Mjomba wenzako wanakufa we umekazana na manati tuuuuu
Punguza mapenzi kidogo, angalia uhalisia hata kidogo
Hizo manati za muajemi zimeua nini pale Israel?
Saidieni kusambaza habari kuwa mungu w iran kafika tell viv kaja kumpasua jehova lkn kakimbia kwaiyo saidieni kumtafuta uko uyui mkimuona kwamtonga msoero kibat tafuteni jehova akajibu mashtaka. Mungu w irani anatamba Jerusalem kila kona mwejeji ayupo haaaaa anazingua bhana !!
Wewe ungekuwa na akili ungevaa msalaba wa mbao kilo 15 na kukaombq kasananu ka Bikira Maria kakusamehe makosa yako😅
Wao wameaminishwa mazayuni ni wajomba wa "Mungu" wao.Hivi hamjui kusoma au ni kwamba mnafanya kusudi? Source mmewekewa hapo juu au hamuamini?
Unamyishia nyau samaki?Just few days ahead you won’t believe how US and Israel are going to make most brutal response you never seen, Iran has come to its end..!!
White House is doing Press Briefing, Ayatollaah will perish sooner:.!!
Wanaukumbi.
ndege ya Waziri Mkuu Netanyahu, Zion Wing, imeondoka Israel usiku wa kuamkia leo.
Hii inafuatia maonyo kutoka kwa washirika wa Marekani na Magharibi kuhusu shambulio linalokuja la Iran linalohusisha makombora ya balistiki, ndege zisizo na rubani na UAV.
Mvutano unaongezeka huku Israel ikikabiliana na ghadhabu ya Iran.
View: https://x.com/marionawfal/status/1841147217366688158?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Unamyishia nyau samaki?
.
Hakuna Muislam asiyejuwa kuwa kufa shahid ni bora kuliko kuishi hukubunatemewa nakohozibkama wakristo wanavyofanyiwa na mazayuni.