Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi waliwambia Israel kuwa Hamna tena Hamas Gaza angalia Video Hamas wanachofanya

Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi waliwambia Israel kuwa Hamna tena Hamas Gaza angalia Video Hamas wanachofanya

Tatizo nyinyi mkizidiwa kwenye uwanja wa vita hasira zenu mnaenda kushambulia hospital sehemu ambayo hakuna wapiganaji wa hamas mnaua wanawake na watoto wakati hamas mnajua mahandaki yao yalipo hila mnaogopa kuingia.
Tatizo nao kichapo kikizidi wanalia lia kwa kupitia Al-Jazeera ili Dunia iwaonee huruma
Kumbe wanaweza kupambana waendelee kupambana
 
S
Maiti za watoto na wanawake zaidi ya 25,000 ni Hamas hao waalivua magwanda.

Akili za sisimizi.
Asa kwa akili zako unasema Israel inawaonea wakat mnavimbaa huku mmevua magwanda mmesubr jamaa wakiwa wanaondoa vikos ndio mnavizia alaf mnapost et onaa sisi tumewauwa IDF kwa nn msijiweke waz all the time kupigana nao yanin mjifiche na kuaacha Raia wanapay price mindset ya mwarabu IQ ndogo sana naona izo akili zenu hadi kwenye michezo inferiority thinking
 
S

Asa kwa akili zako unasema Israel inawaonea wakat mnavimbaa huku mmevua magwanda mmesubr jamaa wakiwa wanaondoa vikos ndio mnavizia alaf mnapost et onaa sisi tumewauwa IDF kwa nn msijiweke waz all the time kupigana nao yanin mjifiche na kuaacha Raia wanapay price mindset ya mwarabu IQ ndogo sana naona izo akili zenu hadi kwenye michezo inferiority thinking
Hivi kwa nini Wausrael weusi wengi mapunguani? Kama huyu hao watoto na wanawake wanaoliwa no Hamas wanavua magwanda? Wewe kweli punguani yaani unawapangia Hamas jinsi ya kupigana.
 
S

Asa kwa akili zako unasema Israel inawaonea wakat mnavimbaa huku mmevua magwanda mmesubr jamaa wakiwa wanaondoa vikos ndio mnavizia alaf mnapost et onaa sisi tumewauwa IDF kwa nn msijiweke waz all the time kupigana nao yanin mjifiche na kuaacha Raia wanapay price mindset ya mwarabu IQ ndogo sana naona izo akili zenu hadi kwenye michezo inferiority thinking
Msikilize bwana yako huyu anakuambia wanatafuta watoto wa kuuwa Gaza wewe punguani unasema Hamas wanavua magwanda.


View: https://x.com/drloupis/status/1778046037241757890?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Tatizo nyinyi mkizidiwa kwenye uwanja wa vita hasira zenu mnaenda kushambulia hospital sehemu ambayo hakuna wapiganaji wa hamas mnaua wanawake na watoto wakati hamas mnajua mahandaki yao yalipo hila mnaogopa kuingia.
Wapigwe hakuna namna
 
Wanaukumbi.

⚡️Hamas wamebadili namna ya kupigana vita sasa hivi wanapigana vita vya kuvizia vimejipanga vyema kiasi kwamba walitega kamera kwenye maeneo ya kuua wanajeshi wa IDF na kujua ni wapi askari wanakwenda kutembea na mizinga itaingia wapi na ni jengo gani kwa askari watakimbilia, Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi wanasema wamewamaliza Hamas hamna tena Hamas Gaza.

Ni kazi bora ya kihistoria

View: https://x.com/me_observer_/status/1777746046887547359?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Yaani Huns HURUMA Wala utu!
Unataka wapalestine wafe woote ndio Roho Yako ifurahi
 
Weka basi hiyo video ya Netanyahu akisema Hamas hawapo tena Gaza.. au ndio Taqiyya mafunzo ya Allah
Aiseee! asante mkuu maana nimejaribu kurejesha kumbukumbu kwamba waliwahi kusema hivyo, lakini hakuna. Mbaya zaidi mleta maneno hayo ni mtu mkongwe na angefaa kuwa kielelezo cha habari sahihi.
 
Wanaukumbi.

⚡️Hamas wamebadili namna ya kupigana vita sasa hivi wanapigana vita vya kuvizia vimejipanga vyema kiasi kwamba walitega kamera kwenye maeneo ya kuua wanajeshi wa IDF na kujua ni wapi askari wanakwenda kutembea na mizinga itaingia wapi na ni jengo gani kwa askari watakimbilia, Netanyahu na Waziri wake wa Ulinzi wanasema wamewamaliza Hamas hamna tena Hamas Gaza.

Ni kazi bora ya kihistoria

View: https://x.com/me_observer_/status/1777746046887547359?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nakumbuka kabla Israel haijaanza kiwapiga HAMAS walisema hawatarajii vita hii kuisha mapema bali vita itaendelea hadi HAMAS wote watakapoisha kwenye uso wa Dunia. Kwahiyo, vita hivi baaaaaaado sana kwa IDF.
 
Back
Top Bottom