Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Kuwa serious kidogo, Hamas unajua ni kama kuku wa kienyeji hawatulii sehemu moja, waambie wapigane kama jeshi kamili waende frontline dhidi ya Israel uone kama watabaki hata mmoja..

Usisahau kumuita na huyo Yahaya wako!.
Ngoja wapate kwanza mamlaka kamili ya kiutawala halafu muombe mechi ya kirafiki.
 
Vipi kabla hajapeleka majeshi kusini mwa Lebanoni mateka wameshapatikana?
Katika miezi yote 8+ ya vita, wamefanikiwa kuwaokoa mateka wasiozidi watano!

Imagine mateka zaidi ya 100 wako ndani ya kaeneo kadogo tu! Lakini wameshindwa kuwaokoa pamoja na kujigamba kuwa na intelijensia ya hali ya juu, na pia vifaa vya kisasa
 
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpaknank mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .

Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakan mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana

Chanzo aljazeera
USSR
Mipaka mitakatifu ya nchi ya mashoga
 

Attachments

  • Screenshot_20240506-133429.jpg
    Screenshot_20240506-133429.jpg
    499.6 KB · Views: 1
Hata Sadam Hussein alisifiwa mwishowe alinyongwa, hata ile ajali ya Helkopta Iran Ni kazi ya Mossad
Sadam alidhuriwa na hao makhaini nchi za kiarabu za Gulf states pamoja na Egypt+ Ukraine, Israel, UK, Australia, S Korea, Japan, Norway, Italy jumla nchi 46 😄
 
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpaknank mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .

Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakan mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana

Chanzo aljazeera
USSR
Myahudi wa Tegeta kwa Ndevu😂😂😂
 
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la Rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpakani mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .

Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakani mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana

Chanzo aljazeera
USSR
R.I.P wateule wa mchongo...super heavyweight LGBTQ
 
Ona akili na mawazo ya vijana wa mnyaaazi ndo maana tukisema nyie ni mabogus mna tumaindi
Sawa myahudi wa vikindu nenda Katoe tena dada yako ili mpate uzao wa kiuyahudi ..msiwe kama mmekatwa kichwa ..vita sio kama kusonga ugali wa mumeo ..Israeli yupo hoi amepigana vita kwa miezi 8 ili ashinde kwa gharma yoyote ili na misaada mbali mbali lakini yupo hoi bin taabaan
 
Kuwa serious kidogo, Hamas unajua ni kama kuku wa kienyeji hawatulii sehemu moja, waambie wapigane kama jeshi kamili waende frontline dhidi ya Israel uone kama watabaki hata mmoja..

Usisahau kumuita na huyo Yahaya wako!.
We unajiona uko serious kumuambia mwenzako awaambie hamasi waende front ??
Atawaambiaje xx ebu kua serious kwanza ww
 
Sawa myahudi wa vikindu nenda Katoe tena dada yako ili mpate uzao wa kiuyahudi ..msiwe kama mmekatwa kichwa ..vita sio kama kusonga ugali wa mumeo ..Israeli yupo hoi amepigana vita kwa miezi 8 ili ashinde kwa gharma yoyote ili na misaada mbali mbali lakini yupo hoi bin taabaan
Haezi mpeleka Dada yake ataenda yeye maana kanisa lisharuhusu ugasho wote ni watoto teule watapakana mafuta
 
Back
Top Bottom