Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Nyie wapakwa mafuta mnazingua mnasifu jeshi kubwa alaf hakuna maajabu zaid ya kuua raia afu kitendo icho wakifanya boko haram mnatusingizia waislam kumbe kuua watoto hata taifa teule linafanya tuh
 

View: https://x.com/Osint613/status/1805330310915092937

Kobazi ni wepesi kusahau sana.. Tunzeni picha za Lebanoni
Kondoo atabaki kuwa kondoo tu siku zote Israel kisha ingia vita mara ngapi, kavunja majumba Lebanon na Gaza mbona bado Hezbullah yupo na Hamasi wapo na kila kukicha anaomba silaha unajua sababu gani.

Israel hapigani vita anarusha tu maboom kuvunja majumba, kupiga watoto, wanawake akiwaona Hamasi anawakimbia😄

We nchi gani itarusha 50,000 tons za maboom kwenye mji haufiki km 40 na bado hajashinda vita.
 
Israel hawafahamu lugha isipokuwa lugha ya silaha, wameona Lebanon kuna moto wanajidai sasa tunapendelea tuipe chance peace kabla ya vita na Hezbullah 😄


Wameona Hezbullah ni moto wa kuotea mbali wataishia kupiga ile nakupiga na wewe nipige lakini full war hauwezi muziki wa Hezbollah
 
Haezi mpeleka Dada yake ataenda yeye maana kanisa lisharuhusu ugasho wote ni watoto teule watapakana mafuta
Sawa myahudi wa vikindu nenda Katoe tena dada yako ili mpate uzao wa kiuyahudi ..msiwe kama mmekatwa kichwa ..vita sio kama kusonga ugali wa mumeo ..Israeli yupo hoi amepigana vita kwa miezi 8 ili ashinde kwa gharma yoyote ili na misaada mbali mbali lakini yupo hoi bin taabaan

Haezi mpeleka Dada yake ataenda yeye maana kanisa lisharuhusu ugasho wote ni watoto teule watapakana mafuta
Tatizo mme anza kupigwa PIPE mapema sana toka enzi za Madrasa mpaka ukubwani hata pampas zinakua hazina msaada tena
 
Hii ndiyo kitaalam tunasema mfa maji haachi kutapatapa.
Atuambie kwanza kama ameshawaangamiza Hamas wote na pia kumkamata/kumuua Yahya Sinwar.
kuna mwaka walitoa takwimu kuwa wagonjwa wa akili ni wengi hapa Tz tulikuwa tunabisha ila hiz comments zinadhihirisha , mtu yupo chumbani kwako bado unasema hajashinda mpk awamalize wote
 
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la Rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpakani mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .

Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakani mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana

Chanzo aljazeera
USSR

Sawa mshabiki wa myahudi, tumekusikia

Hasbunallah waneemal wakeel alayhim
 
Tatizo mme anza kupigwa PIPE mapema sana toka enzi za Madrasa mpaka ukubwani hata pampas zinakua hazina msaada tena
Mbona kama unawasema Mazayuni maana wale hadi jeshini wanaume kwa wanaume wanapigana pipe hadi kufikia mwanajeshi anavaa pampas.

Ukibisha nakuwekea picha humu wanajeshi wa Kizayuni wakiwa wamevaa pampas huku wakiwa na bendera ya mashoga.
 
Waziri Mkuu wa Israel amewaambia wanahabari kuwa baada ya mafanikio makubwa Gaza hasa eneo la mwisho la Rafaa yanabadili upepo na sasa wanahamishia vikosi mpakani mwa Lebanon kupambana na Hizbolah .

Kama kuna kima nafikiria Israeli itaicha mipakani mitakatifu ichezewe na magaidi atakuwa unakosea sana

Chanzo aljazeera
USSR
Wenzako hao
 

Attachments

  • IMG_20240616_203725.jpg
    IMG_20240616_203725.jpg
    60.2 KB · Views: 1
Katika miezi yote 8+ ya vita, wamefanikiwa kuwaokoa mateka wasiozidi watano!

Imagine mateka zaidi ya 100 wako ndani ya kaeneo kadogo tu! Lakini wameshindwa kuwaokoa pamoja na kujigamba kuwa na intelijensia ya hali ya juu, na pia vifaa vya kisasa
hamjali.kuhusu usalama wa wapalestina mnajali kubakia na mateka ?
 
Haezi mpeleka Dada yake ataenda yeye maana kanisa lisharuhusu ugasho wote ni watoto teule watapakana mafuta
kanisa likiruhusu unakuwa shoga ? ndio maana uislam unawaburuza maana hamuez jiendesha
 
Israel hawafahamu lugha isipokuwa lugha ya silaha, wameona Lebanon kuna moto wanajidai sasa tunapendelea tuipe chance peace kabla ya vita na Hezbullah 😄


Wameona Hezbullah ni moto wa kuotea mbali wataishia kupiga ile nakupiga na wewe nipige lakini full war hauwezi muziki wa Hezbollah
Huo ndo ukweli atavizia mabdrone pekee yake kule hakutakuwa na blockage kama gaza na food starvation bali ni piga ni kupige na sasa hivi ameshaalegea na anajua maana ya vita sio kukurupuka
 
Sisi tunachotaka kusikia ni makelele toka kwa wavaa kobazi tu na lebanoni yote inakuwa kifusi tu
God bless israel
Hasubutu kugusa hio Air port ya Lebanon afu hakuna dalili ya aina yoyote wamepata afu nani kawazuia kuingia si uwongo tu.

Israel kisha ambiwa na US wakati Iran alipo attack Usrael alizimbia US, UK, France, Germany na wengine wekeni kila silaha kumkingia kifua Israel natutapenya kuivuruga Israel kwa mda wa masaa 72 aliwajulisha iwe Hezbullah hapo karibu siataivuruga Israel.

Pata akili kidogo hebu msikilize huyu.



View: https://youtu.be/qi566mj1DJM?si=k0gryQ_hQoPU5cBJ
 
Back
Top Bottom