Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Wachambuzi wanahoji kwamba imekuaje ama ndio hamas kasbabisha haya yote haya je hizbullah mazayuni watatoboa
Nimeona majeshi mengi madhaifu ila israel kiboko kwa udhaifu kwakweli khaaa
Mkuu tuongee uhalisia TUWEKE USHABIKI PEMBENI,Israel imeishiwa rasilimali watu wa jeshi kaka,vuta picha mpaka imelazimisha wasomea dini wa Orthodox Jews kuingia jeshini tena kilazima ilhali sheria inatambua Israel kuwa Orthodox Jews ni wasomea dini hawatakiwi kujihusisha na migogoro!?
Je kwa Hizbollah ambao wanakadiriwa kuwa na wapiganaji laki moja,na hiyo ni idadi ya makadirio sio namba kamili,usikute Hizbollah wanafika hadi laki tatu.
Wana silaha za kisasa ambazo za kushindana na jeshi kamili la nchi ndugu unatoboa kweli!?
Aya ngojea tuone.
 
Kwahiyo huko Gaza keshamaliza anaowaita magaidi wote na amejiridhisha kilichotokea October 7 hakitojirudia tena? Maana ndivyo alivyodai wakati anavamia Gaza!
 
Wafike kipindi Israel ifahamu kuwa Lebanon (Hizbullah) kwa sasa ni mkubwa mwenzake hivyo waishi kwa amani kama majirani.
Hawa jamaa niliwaona kweli ni moto wa kuchezea mbali pale walipozuia mpaka wa bahari waliouteka Israel 2006 ambao una gesi na mafuta usichimbwe gesi wala mafuta.
Mwaka jana ndio wakaita resolution wagawane huo mpaka ndio Hizbollah ikaruhusu.
Nikajiuliza kama angekua Hamas wangekubali hawa Israel wagawane mipaka ya bahari!?
 
Israel analamika Hezbullah kawatia hasara kubwa sana 150 walio kufa , 15,000 wamejehuriwa, wamekufa na kabomoa majumba 960 na moto kila sehemu. 100, 000 wamekimbia huyu nwanamke representative wa Israel UN a kulalamika, afu Israel anajidai hakuna hasara 😄


View: https://youtu.be/hSeVz3pyhMQ?si=IHOCF9ie8j1HxIqA

Mkuu watakwambia chanzo cha taarifa kutoka masjid ubwabwa watafsirie kabisa😆😆😆
 
Hii ndiyo kitaalam tunasema mfa maji haachi kutapatapa.
Atuambie kwanza kama ameshawaangamiza Hamas wote na pia kumkamata/kumuua Yahya Sinwar.
Wamekimbilia Lebanon, hivyo tunaisambaratisha Lebanon

Taarifa za kiitelijensi unazijua ,ameshasema wamefanikiwa
 
Wamekimbilia Lebanon, hivyo tunaisambaratisha Lebanon

Taarifa za kiitelijensi unazijua ,ameshasema wamefanikiwa
Kama wamefanikiwa kwanini raia wanaandamana mateka kurudishwa!?
Embu tupe jibu hapo.
Pasi na kusahau jana IDF imepoteza askari na imepata majeruhi katika mipaka ya Rafah kwa kukinzana na Alqassam brigade/Hamas.
Aya,wamefanikiwa wapi!?
 
Kama wamefanikiwa kwanini raia wanaandamana mateka kurudishwa!?
Embu tupe jibu hapo.
Pasi na kusahau jana IDF imepoteza askari na imepata majeruhi katika mipaka ya Rafah kwa kukinzana na Alqassam brigade/Hamas.
Aya,wamefanikiwa wapi!?
Mateka jambo moja , hamas jambo jingine
 
Wamekimbilia Lebanon, hivyo tunaisambaratisha Lebanon

Taarifa za kiitelijensi unazijua ,ameshasema wamefanikiwa
Kuishambulia Lebanon kutaisababishia hiyo Israel maafa makubwa sana.

Kumbuka Lebanon ni nchi kamili inayotambulika! Na hao Hezbollah wana jeshi lililokamilika katika maeneo yote muhimu! Ni tofauti kabisa na Hamasi au Palestina, ambayo iliondolewa utambulisho wake na nchi za Magharibi pamoja na Marekani.

Ukiishambulia Lebanon, umeishambulia Iran! Kwa hiyo vita itakuwa ni kubwa sana bila shaka.
 
Kuishambulia Lebanon kutaisababishia hiyo Israel maafa makubwa sana.

Kumbuka Lebanon ni nchi kamili inayotambulika! Na hao Hezbollah wana jeshi lililokamilika katika maeneo yote muhimu! Ni tofauti kabisa na Hamasi au Palestina, ambayo iliondolewa utambulisho wake na nchi za Magharibi pamoja na Marekani.

Ukiishambulia Lebanon, umeishambulia Iran! Kwa hiyo vita itakuwa ni kubwa sana bila shaka.
Bora Israel isambaratike mashariki ya kati itulie ,wewe unaonaje? Sheik
 
Kuishambulia Lebanon kutaisababishia hiyo Israel maafa makubwa sana.

Kumbuka Lebanon ni nchi kamili inayotambulika! Na hao Hezbollah wana jeshi lililokamilika katika maeneo yote muhimu! Ni tofauti kabisa na Hamasi au Palestina, ambayo iliondolewa utambulisho wake na nchi za Magharibi pamoja na Marekani.

Ukiishambulia Lebanon, umeishambulia Iran! Kwa hiyo vita itakuwa ni kubwa sana bila shaka.
Hiyo haimpi myahudi shida
 
Israel ameneutralize viongozi wa.l Hizbollah kipindi hiki kuliko wakati wowote katika historia
Viongozi aliowa neutralize ni wa ngazi za chini na haikuathiri operation za Hizbollah mipakani.
Ila ukilinganisha IDF imepoteza askari wengi sana.
 
Ndio na kuuliza kama wamefanikiwa mbona jana Hamas wamewashambulia IDF Rafah border!?
Au hao Hamas wa mchango!?
Kinakuuma,na upo mbagala maisha yanaendelea ,tusubirie tuone ,nyie endeleeni kuzalishana mbagala hapo
 
Hiyo haimpi myahudi shida
Kama ingekuwa haimpi myahudi shida wasingeandamana barabarani vita ziishe.
Hivi unajua kama raia wa kiyahudi 80% wanaandamana vita isitishwe!?
Northern Israel hakukaliki watu wamekua wakimbizi wa ndani,unadhani raia wanalifurahia hilo!?
Tuacheni ushabiki tuzungumze uhalisia.
 
We mtoa mada ni kweli kima Israel atasubutu kugusa Lebanon nakusudia kuingia Full war na Hezbullah basi uje unite mimi kima 😄

Satanyahu yupo kubweka tena kwenye channel 14 ya Israel, ambayo ndio channel yake ya karibu.

Kuwatisha Hezbullah eti atatumia silaha kali sana, silaha gani hakuitumia Gaza au Lebanon.

Labda Nuclear ule wimbo wa Putin nani leo duniani atakuruhusu utumie Nuclear 😄


Hezbullah wanacheka tu, wanajua wameisha muweka Israel uchi, na wao Hezbullah ndio wenye silaha kali, Israel atashangaa mwenyewe zikianza kutumiwa.

America mwenyewe kisha elewa, safari hi Mziki wa Hezbullah Israel hauwezi.
Israel anaenda kumaliza ugaidi middle east
 
Kinakuuma,na upo mbagala maisha yanaendelea ,tusubirie tuone ,nyie endeleeni kuzalishana mbagala hapo
😆😆😆😆😆😆😆😆😆Kinaniuma mimi au wewe !?
Nipo Morogoro sipo Mbagala kalio wewe.
Unaletewa facts unashindwa kujibu!?
Tupe jibu hao Hamas walioua askari kadhaa wa IDF jana Rafah border wametokea wapi kama Israel imefanikiwa ku eliminate Hamas!?
Jibu fact wacha taarab.
 
Back
Top Bottom