Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Netanyahu: Tunaondoka Rafaa na kuhamia lebanon

Ndio na kuuliza kama wamefanikiwa mbona jana Hamas wamewashambulia IDF Rafah border!?
Au hao Hamas wa mchango!?
Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari alishajitokeza hadharani na kusema wazi Hamas kwa Wapalestina ni itikadi! Hivyo huwezi kuiua hiyo itikadi, na kuitoa kirahisi tu katika mioyo ya Wapalestina walio wengi.

Kwa hiyo Mayahudi watafute tu njia mbadala ya kuumaliza huo mgogoro wao na Wapalestina. Mimsingi matumizi ya nguvu, mauaji, mateso, manyanyaso, nk. Kwa Wapalestina hayawezi kuumaliza huo mgogoro.


Hivyo hao wanajeshi watauwawa mmoja mmoja mpaka wataondoka wenyewe kwenye hilo eneo la Gaza.
 
😆😆😆😆😆😆😆😆😆Kinaniuma mimi au wewe !?
Nipo Morogoro sipo Mbagala kalio wewe.
Unaletewa facts unashindwa kujibu!?
Tupe jibu hao Hamas walioua askari kadhaa wa IDF jana Rafah border wametokea wapi kama Israel imefanikiwa ku eliminate Hamas!?
Jibu fact wacha taarab.
Kwani wewe matako Huna, au unakalia kibyongo bwege wewe

Nimeshakwambia ,Israel inahitaji vita kamili nahao wahuni wanafadhiri ujinga ,acha Israel iishi

Uchambuz wako ,unautoa kutokea kihonda kwa chambo hapo au sangasanga
 
Msemaji wa jeshi la Israel Daniel Hagari alishajitokeza hadharani na kusema wazi Hamas kwa Walestina ni itikadi. Hivyo huwezi kuiua na kuitoa kirahisi tu katika mioyo ya Wapalestina walio wengi.

Kwa hiyo Mayahudi watafute tu njia mbadala ya kuumaliza huo mgogoro wao na Wapalestina. Mimsingi matumizi ya nguvu, mauaji, mateso, manyanyaso, nk. Kwa Wapalestina hayawezi kuumaliza huo mgogoro.


Hivyo hao wanajeshi watauwawa mmoja mmoja mpaka wataondoka wenyewe kwenye hilo eneo la Gaza.
Nashangaa watu humu wanaropoka tu kama wamelewa.
Hapo Gaza alichofanikiwa Israel ni kuua raia hovyo na kuharibu miji.
Ila mipango ya kurudisha mateka na kutokomeza Hamas imefeli.
Majuzi kaanza kulazimisha raia kuingia jeshini wakapambane vita.
Huyo ndio anataka akapambane na Hizbollah yenye askari zaidi ya laki moja na yenye missile power ya kurusha makombora elfu thelathini kwa siku,drone,mizinga,vifaru na mabomu!?
Ilhali kashindwa kutokomeza kundi la Hamas lenye wapiganaji elfu ishirini na nane!?
Tupo hapa tunakaa na kusubiri.
 
Kwani wewe matako Huna, au unakalia kibyongo bwege wewe

Nimeshakwambia ,Israel inahitaji vita kamili nahao wahuni wanafadhiri ujinga ,acha Israel iishi

Uchambuz wako ,unautoa kutokea kihonda kwa chambo hapo au sangasanga
😆😆😆😆😆😆Iwe nautolea Mazimbu au Mafisa ila huo ndio ukweli na kama kukuchoma ikuchome,Israel haina uwezo wa kupigana FULL SCALE WAR na Hizbollah kwa sasa.
Ina ukata wa askari na vifaa vya kijeshi pia.
Tazama habari uache ushabiki maandazi,viongozi wa USA wanatoa wito kila siku wakiishi Israel isiingie vita kamili na Hizbollah madhara yatakuwa makubwa,kwanini hawakuizuia ilipoanzisha vita na Gaza!?
 
😆😆😆😆😆😆Iwe nautolea Mazimbu au Mafisa ila huo ndio ukweli na kama kukuchoma ikuchome,Israel haina uwezo wa kupigana FULL SCALE WAR na Hizbollah kwa sasa.
Ina ukata wa askari na vifaa vya kijeshi pia.
Tazama habari uache ushabiki maandazi,viongozi wa USA wanatoa wito kila siku wakiishi Israel isiingie vita kamili na Hizbollah madhara yatakuwa makubwa,kwanini hawakuizuia ilipoanzisha vita na Gaza!?
Ukiona unaiamini US kwenye propaganda ni tatizo

Ndo mana ,mlikubali chambo awe diwani wenu ,kibwege na msukuma wa kahama hivyo ,mnaamini kila kitu bila kufikiria, toka lini mlugulugu aitwe chambo hua nakunywa maji hapo nikitoka zangu kanda yakati , nahujaza mafuta sheli hapo na mtapata ukimwi mpaka mkome ,kituo cha tren ya magufuli (mwendokasi
 
Nashangaa watu humu wanaropoka tu kama wamelewa.
Hapo Gaza alichofanikiwa Israel ni kuua raia hovyo na kuharibu miji.
Ila mipango ya kurudisha mateka na kutokomeza Hamas imefeli.
Majuzi kaanza kulazimisha raia kuingia jeshini wakapambane vita.
Huyo ndio anataka akapambane na Hizbollah yenye askari zaidi ya laki moja na yenye missile power ya kurusha makombora elfu thelathini kwa siku,drone,mizinga,vifaru na mabomu!?
Ilhali kashindwa kutokomeza kundi la Hamas lenye wapiganaji elfu ishirini na nane!?
Tupo hapa tunakaa na kusubiri.
Magaidi ni raia au vyuma , wao wamekubali kuwa ngao ,wapigwe
 
Mkuu watakwambia chanzo cha taarifa kutoka masjid ubwabwa watafsirie kabisa😆😆😆
Mkuu nimewambia kama inavyo sema habari huyu mwanamke wa Israel huko UN alikuwa akilalamika namna Hezbullah anavyo wakimbiza mchakamchaka huko North, analia wameuliwa 150 na 15,000 wamejehuriwa na nyumba 930 zimebomolewa na 100,000 wamekimbia sababu ya Hezbullah 😄
 
Ukiona unaiamini US kwenye propaganda ni tatizo

Ndo mana ,mlikubali chambo awe diwani wenu ,kibwege na msukuma wa kahama hivyo ,mnaamini kila kitu bila kufikiria, toka lini mlugulugu aitwe chambo hua nakunywa maji hapo nikitoka zangu kanda yakati , nahujaza mafuta sheli hapo na mtapata ukimwi mpaka mkome ,kituo cha tren ya magufuli (mwendokasi
Unaanza kuropoka kama huna akili nzuri huku unachanganya mada.
Ujuzi ama maarifa hayana ukabila,japo mimi ni MNYAMWEZI WA NDEVELWA TABORA hapa Morogoro nipo kiutafutaji.
USA hajafanya propaganda,bali anachokifanya ni kama alichofanya 2006 kuzuia madhara zaidi ya vita ya Israel - Lebanese war.
Sasa kama haujui aliyemuokoa Israel asizame katika damu yake mwenyewe 2006 dhidi ya Lebanon ni USA basi pole.
 
Israel anaenda kumaliza ugaidi middle east
Ugaidi ni wale wauwaji watoto, wanawake na vizee.

Gaidi ni wale wanao bomoa majumba ya raia wakawaida.

Gaidi ni wale wanao zuia watu wasile, wasitibiwe, wasiende shule, wanawakatia maji na umeme.

We umeona mateka alio wateka Hamasi wamerudi wananga'aa huo ndio uislam dini ya haki.

Tazama sa mateka wa kipalestine mtoto mdogo anavunjwa mguu au mkono, wakubwa wanapigwa na umeme, nyundo wanaletewa mbwa wawadhuri kwa mambo mengi machafu hilo ndio taifa teule lenu lina sifa za kishetani.

Kwa Mungu hakuna ushoga, ukatili, kudhulumu watu haki zao nyie wakristo mnabudu Shetani, sio Mungu.
 
Tuheshimiane ustadhi ,mimi naloga hata kwajina bandia ,kuwa na hekima basi ,kumamayo mshenzi mkubwa wewe
Hakuna tusi jipya kaka we tukana tu bro.
Mie wala hainiumi😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂.
Hyper maana yake sawa na jazba,je hilo ni tusi mkuu!?
Kalio ni neno la kawaida mkuu,wapi nimekutukana!?
Punguza hasira sio nzuri kwa afya.
 
Hakuna tusi jipya kaka we tukana tu bro.
Mie wala hainiumi😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂.
Hyper maana yake sawa na jazba,je hilo ni tusi mkuu!?
Kalio ni neno la kawaida mkuu,wapi nimekutukana!?
Punguza hasira sio nzuri kwa afya.
Acha ushenzi ,swala la kalio mwite mkeo ,na mahawala zako , unaweza mwambia baba ako kalio lako kubwa hilo suruali haikutoshi ? Dogo jiheshimu
 
Acha ushenzi ,swala la kalio mwite mkeo ,na mahawala zako , unaweza mwambia baba ako kalio lako kubwa hilo suruali haikutoshi ? Dogo jiheshimu
Punguza hyper haikusaidii kitu.
Suala la wazazi limeingiaje!?
Pia Mie sio dogo hujui umri wangu.
Wacha nikuache kuendelea kubishana na wewe ni kupoteza muda uwe na usiku mwema.
 
The Arab League wajinga hawa eti wameitoa Hezbullah kwenye kundi la kigaidi, pumbavu zao hawa wameona Hezbullah waislam wote wanaisapoti, wamejikuta wajinga eti sa wameitoa kwenye kundi la kigaidi puppet wa USA hao.

Hezbullah wala hakuwajibu kitu kawaona mafala tu.
 
Kuwa serious kidogo, Hamas unajua ni kama kuku wa kienyeji hawatulii sehemu moja, waambie wapigane kama jeshi kamili waende frontline dhidi ya Israel uone kama watabaki hata mmoja..

Usisahau kumuita na huyo Yahaya wako!.
Mkuu sidhani kama wanaruhisiwa kuwa na jeshi. Unadhani nani atawapa hizo silaha ie vifaru na ndege za kivita?

Pia Taifa la Palestine bado hata halijatambuliwa rasmi.
 
Viongozi wa kiarabu ni wanafiki bhana asikuambie mtu.
Sana tena sana eti wamemtoa Hezbullah kwenye group la ma gaidi, yote wanaogopa Israel akisha safishwa wasirudiwe wao 😄

Sa kama kweli wamemtoa kwenye group la magaidi, wampelekee silaha mbona hawampelekei.

Morocco kampelekea Israel silaha, Egypt anampelekea oil and Gas Israel, UAE anapeleka Israel chakula pamoja na Saud Arabia na Jordan.

Afu Hezbullah anawajua ni wanafiki hao Viongozi wa kiarabu, wala hakuwajibu kitu.
 
Ina maana kashindwa kuwamaliza hamas au? Na mateka ndio imeshindikana kuwaokoa?
Hamas walipovurumishwa Gaza walikimbilia Lebanon ndiko wanakoendeleza mashambulizi dhidi ya Israel

Israel Sasa inawafuata huko huko Lebanon waliko
 
Hamas walipovurumishwa Gaza walikimbilia Lebanon ndiko wanakoendeleza mashambulizi dhidi ya Israel

Israel Sasa inawafuata huko huko Lebanon waliko
Yani wewe ndio hujui kitu hamasa hadi leo wapo zao gaza wanaendelea kupambana na idf , ndio maana hallevi msemaji wa jeahi la israel alitoka hadharani kwenye vyombo vya habari na kuwaambia wananchi hamas tumepigana nao inaenda miezi tisa sasa na hawataweza kuisha , ingawa kauli hii netanyahu alitoka na kuipinga maana ndio anachowadanganya wananchi ili aendelee kukwepa uchaguzi ambao hadi sasa wananchi hawamtaki amefeli kuwamaliza hamas na kafeli kuokoa mateka pamoja na kupewa kila aina ya msaada na marekani
 

Attachments

  • Screenshot_20240630-000750_Chrome.jpg
    Screenshot_20240630-000750_Chrome.jpg
    420.9 KB · Views: 3
Mkuu tuongee uhalisia TUWEKE USHABIKI PEMBENI,Israel imeishiwa rasilimali watu wa jeshi kaka,vuta picha mpaka imelazimisha wasomea dini wa Orthodox Jews kuingia jeshini tena kilazima ilhali sheria inatambua Israel kuwa Orthodox Jews ni wasomea dini hawatakiwi kujihusisha na migogoro!?
Je kwa Hizbollah ambao wanakadiriwa kuwa na wapiganaji laki moja,na hiyo ni idadi ya makadirio sio namba kamili,usikute Hizbollah wanafika hadi laki tatu.
Wana silaha za kisasa ambazo za kushindana na jeshi kamili la nchi ndugu unatoboa kweli!?
Aya ngojea tuone.
Usrahell kama kashindwa kutoboa kwa hamas hana sehemu atakayotoboa
Ingawaje waumini wake humu wanamsifia kwa kuifanya ghaza kua vifusi vitupu😀
 
Back
Top Bottom