Netanyau kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri usiku huu kwenye makao makuu ya jeshi Kirya, maandalizi ya kuishambulia Iran

Bila kuondoa Utawala wa Iran Israel vita haitoisha pia na Ukraine vita haitoisha. Ndio maana Putin anamlinda Ayatollah
 
Bila kuondoa Utawala wa Iran Israel vita haitoisha pia na Ukraine vita haitoisha. Ndio maana Putin anamlinda Ayatollah
Inaonekana wanaosababisha dunia ikose amani ni Putin na Ayatola.

Hawa inabidi tuwajadili.
 
Siamini kama netanyau kawa mzee wa viapo na vikao tuh
Juzi tuh kikao leo tena kikao
 
Maandalizi ya kushambulia Iran hayaishi tu? Sisi Iran tunatafuta sababu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia kwahiyo tunasubiri watushambulie ili tupate sababu
 
Yupo hai kabisa huoni kobazi wote kimys
hatuwezi kupiga kelele kuua adui km mfanyavyo LGBT nia ilikuwa kupiga kambi yeyote angeingia kwenye mfumo shauri yake...hao jamaa wanajificha kwenye mahandaki kama panya ni ngumu kuwapata kwenye target coz waoga kama kunguru wanawaacha vijana kwenye makambi wafe peke yao
 
Kwanini usiomuombe mungu awabariki watoto wako?
 
hiyo THAAD ndo imewapa kiburi,wazayuni safari hii mtalia sana na YEHOVA kama kawasusa siku mbili hizi maana mnachezea vipigo mubashara

niwapongeze sana hezbollah kwa kugawa vipigo huku wakichukua na camera maana ile drone isingekuwa na camera wangesema hakuna madhara yoyote...pumbav zenu tumeona mkongoto wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…