Njaa Kali na umaskini ni janga kubwa Kwa ma slay queen maana walimbia shule, wanaamini kutembea na diamond ni sifa na ni nadra kuwakuta watoto wa kishua wanaliwa hovyo, kwanza Wana exposure kubwa, hawana njaa ka Hawa wakibomgo wanategemea mbususu kuishi
 
Hajajichezea ngz,hn cha mawigi
Akilala akimka ni yule yule [emoji23][emoji23][emoji23]

Msambwnd tena anaoooo

Ova
@Shunie hichi kipilipili changu naweza tembea bila wig kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wamemdanganya Mrangi
 
Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minene ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]

Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
 
Uwoya na lulu nakubali...ila mobero hapana angekuwa mtamuu asingefichwaa kama dawa za Arv[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]

Rosay kaonja onja kaona mmh mbona havieleweki chungu or tamu, kasepa hivi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Hutakaa umsikie rosay asilani, imetoka hiyoo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2]hana kitu kwioo!imebaki storyyy tuu!!
Anampenda mwenyewe maskini!
Masikin mpaka akajikata intestines ili awe kipotabo Domo amrudie[emoji26][emoji26]

Ila yule demu kichwani Kuna uji wa ulezi mixer na mtindi[emoji38][emoji38]
 
Ujue nakufananishaga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na shosti angu mmoja ivi ..!!!ana mikato ya kiswazi sana!tunaelewana sana ila sio wewe!!! Yaani story zako km yeye....!!!anaishi Kino clan!
Hahahaha kino tena...hiyo mitaa kwanza naiogopaaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minenr ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]

Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
Weakest part of her😅 ila overall ni msupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…