New couple in town
Tatizo kubwa ni njaa tu za watoto wa kibongo...kutoridhika na hali ya maisha na ile hali ya kuwa ukiliwa uta trend sijui huwa watoto wa kike munawaza ule umaarufu na upepo wa pesa uko sexually transmitted[emoji2956]

Ila miaka yote huwezi sikia kawala watoto wa ma Don iwe wa kibongo ama wa kihindi ama wakina bhakressa au wajukuu zake kama kweli yeye ni bolo yanki[emoji28]!

Njaa za hela na umaarufu ndio zinawapeleka watoto wa kibantu kibla sijaona sababu ingine ya maaana. Unashangaa mtu anakula dada na mdogo mtu[emoji28] rafiki na shosti yake na wala hawajali!
Njaa Kali na umaskini ni janga kubwa Kwa ma slay queen maana walimbia shule, wanaamini kutembea na diamond ni sifa na ni nadra kuwakuta watoto wa kishua wanaliwa hovyo, kwanza Wana exposure kubwa, hawana njaa ka Hawa wakibomgo wanategemea mbususu kuishi
 
Hajajichezea ngz,hn cha mawigi
Akilala akimka ni yule yule [emoji23][emoji23][emoji23]

Msambwnd tena anaoooo

Ova
@Shunie hichi kipilipili changu naweza tembea bila wig kweli? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wamemdanganya Mrangi
 
[emoji1][emoji1][emoji1]hahahahah!Donna kaenda kujiweka buttocks!!!Missa kaenda kuweka pia !naskia aunt nae kaenda kufanya sajari mmesahau ya nini!!!!

Wadada wanahangaika sana na miili!!Kwa lishepu limkanana lizuri haswaa!sura naona ya kawaida sana!!
Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minene ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]

Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
 
Weee!yule wa mbagala na tmk kiuno nyigu yule Dada!mondi mwenyewe anasalute anaifinyiaaaa!wadada watamu bongo kwa mujibu wa mabazazi wa mjini,Uwoya,Lulu,Missa ,ukiingia huchomoki mpk manusura ya Mungu..majini wale wanadai wenyewe kwa bed eti![emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]!!!
Uwoya na lulu nakubali...ila mobero hapana angekuwa mtamuu asingefichwaa kama dawa za Arv[emoji849][emoji849][emoji16][emoji16]

Rosay kaonja onja kaona mmh mbona havieleweki chungu or tamu, kasepa hivi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Hutakaa umsikie rosay asilani, imetoka hiyoo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2]hana kitu kwioo!imebaki storyyy tuu!!
Anampenda mwenyewe maskini!
Masikin mpaka akajikata intestines ili awe kipotabo Domo amrudie[emoji26][emoji26]

Ila yule demu kichwani Kuna uji wa ulezi mixer na mtindi[emoji38][emoji38]
 
Ujue nakufananishaga [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na shosti angu mmoja ivi ..!!!ana mikato ya kiswazi sana!tunaelewana sana ila sio wewe!!! Yaani story zako km yeye....!!!anaishi Kino clan!
Hahahaha kino tena...hiyo mitaa kwanza naiogopaaa[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kimnana midomo inamuangusha...mikubwa, minenr ila mzuri
Shangazi anataka kuwa kama rubii, anataka kuwa mdogo mdogo waendane na kusah[emoji38][emoji38][emoji1787]

Ila mademu wa kibongo jau sana aagh[emoji848][emoji38]
Weakest part of her😅 ila overall ni msupu!
 
Back
Top Bottom