Wapuuzi hawa wadada,Mondi kwny industry kalala na wadada woote maarufu yaani km kuna alomuacha hakumtaka tu!!!Yes diamond ni kavu, huwa nawaza sisi wanawake huwa tunafikiria nini, Yani mtu anatoka na shoga ako na wewe unajipeleka tu hapo hapo.
But kwa zuchu ni next victim wa Diamond aisee
Kifo hatari saana...Yule Layla mashallah alikua mrembo jamani!!!Yaani kafa na utamu wake
ukikomaa si ndiyo unaonekana mkubwaHuyo chuzu ni mshamba sana zaidi ya sana ..halafu mkubwa sana sema mwili tu huo umekomaa[emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bi. Love kila akijiangalia anaona nyuma kapigwa pasi shep hovyo, alimaindi mnooo..
Naona amepakwa mafuta kabisaView attachment 2058355sio mbaya lkn
[emoji16][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ukiwa na pesa na jina we kulaa tu hakuna wa kukuzuia
Ni kuwachanganya tu wawe ma shosti,sijui ,marafiki we wachanganye tu
Raha jipe mwenyewe
[emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]nimejaribu tu mkwe wangu,vipaji vina wenyewe!!Mkwe naona umeipokea vizuri mikoba ya Warumi.
Endelea kutuhabarisha
Mbona kimnana hajampa mimba? Halafu demu mkali kuliko hao wote[emoji848]Si anazaa kila mtu kuzaanna wanawake watatu tofauti
Umbea wote kwa Original East mkwe wangu. Dada wa taifa mwenyewe anautoa huko[emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]nimejaribu tu mkwe wangu,vipaji vina wenyewe!!
Umbea Siku hizi tutakua hatupati maana Dada wa taifa anautupia kwa Application yake sasa wengine tukiwaza kujiunga mwee[emoji4][emoji4]!!ngoja tubaki tu bila umbea!
KimNana mkali kuliko wote?Mbona kimnana hajampa mimba? Halafu demu mkali kuliko hao wote[emoji848]
Wema alitoa ya kanumbaWema nae alitoa si ndio
Sana angejibebesha asee...anampenda Domo hadi kufa kwakeWema alitoa ya Kanumba!!!wee ya mondi asingetoa alivokua anampenda ivyooo
Au sio[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji23]Ukiwa na pesa na jina we kula tu hakuna wa kukuzuia
Ni kuwachanganya tu wawe ma shosti,sijui ,marafiki we wachanganye tu
Raha jipe mwenyewe
Mi ntajiunga ila mpaka li application lake litulie...naona maruweruwe tu sasa hivi[emoji57][emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]nimejaribu tu mkwe wangu,vipaji vina wenyewe!!
Umbea Siku hizi tutakua hatupati maana Dada wa taifa anautupia kwa Application yake sasa wengine tukiwaza kujiunga mwee[emoji4][emoji4]!!ngoja tubaki tu bila umbea!