New Force yapata Ajali Tanangozi Iringa

New Force yapata Ajali Tanangozi Iringa

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Kama heading isemavyo, majira ya mchana huu katika barabara ya iringa - Mbeya Bus la New Force limegonga lorry kwa nyuma na inasemekana chanzo cha ajali ni mwendo kasi na ku overtake bila kuchukua tahadhari, haijafahamika kama kuna vifo au majeruhi

Kwa mliopo Iringa mwaweza kutufahamisha zaidi kwakuwa habari nimezipata kwa juu juu.

picha zipo ila mtandao unasumbua inakuwa shida ku upload

Screenshot_20220128-143752_Samsung Internet.jpg
 
Pole kwa wahanga,hayo ndio mambo ya barabarani,inawezekana kweli alikuwa speed lakini uzembe unaweza kuwa ni wa lorry,limefunga brake ya ghafla na kwa dereva huo ni mtihani...
 
Pole sana kwa waliofikwa na majanga hayo...

Kwani vipima mwendokasi vimeondolewa kwenye mabasi,,
na yule Police wa Dodoma aliyesema atasindikiza mabasi aliishia wapi?
 
Back
Top Bottom