Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kama heading isemavyo, majira ya mchana huu katika barabara ya iringa - Mbeya Bus la New Force limegonga lorry kwa nyuma na inasemekana chanzo cha ajali ni mwendo kasi na ku overtake bila kuchukua tahadhari, haijafahamika kama kuna vifo au majeruhi
Kwa mliopo Iringa mwaweza kutufahamisha zaidi kwakuwa habari nimezipata kwa juu juu.
picha zipo ila mtandao unasumbua inakuwa shida ku upload
Kwa mliopo Iringa mwaweza kutufahamisha zaidi kwakuwa habari nimezipata kwa juu juu.
picha zipo ila mtandao unasumbua inakuwa shida ku upload