Halafu hizi familia za kifalme za Kiarabu now kama wanashindana kumiliki hivi vilabu baada ya Saudi Arabia kumiliki Newcastle, sasa ni zamu ya Qatar royal family wanahitaji arsenal kwa nguvu sanaMkuu Saudi Arabia hakuna Njaa.
Nchi za Kiarabu zilizopo Bara Arabu (Ukitoa zilizopo Afrika) zenye Njaa ni zile zenye Vita tu Yani SYRIA, PALESTINA, LEBANON, YEMEN na IRAQ.
Lakini Nchi kama DUBAI, SAUDI ARABIA, BAHRAIN, QATAR, OMAN na JORDAN hawa Ni Matajiri wana Mihela watu wanakula Bata tu hakuna kitu kinachoitwa Njaa.
Vladimir Putin yupo kwenye list ya Billionaires duniani, How comes?Huwa kwenye Utajiri wa Dunia hawawahesabu wanasiasa.
Bezos ni mfanyabiashara Tajiri zaidi, ila kuna wanasiasa wengi sana wana hela za kuchezea.
Wapo pia wauza madawa na watu wengine wanaofanya biashara haramu.
Tech inakuwa inakuwa sana.Nawewe wacha kukariri hakuna Scania au lory litakalotumia Umeme ndugu! Gari za umeme ndiyo hizo IST, huwezi panda Kitonga na Tani 30 kwa umeme.
Biashara ya Mafuta kwamwe haitoweza kudorora katika Dunia hii.
Mabasi ya Mikoani yanayotembea Kilometa 800 labda uyapachike Solar lakini si umeme ambao Betri yake unadumu masaa yasiyozidi Mawili, almost unatoka Dar ukifuka Kibaha uncharge tena. Dar - SINGIDA, Mwanza, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba uende kwa basi la umeme? [emoji23][emoji23][emoji23]
Iko siku timu zote za England zitamilikiwa na Waarabu.Halafu hizi familia za kifalme za Kiarabu now kama wanashindana kumiliki hivi vilabu baada ya Saudi Arabia kumiliki Newcastle, sasa ni zamu ya Qatar royal family wanahitaji arsenal kwa nguvu sana
Hayupo kwenye list ya billionaire official, na hatakuwepo, hio list ya Forbes hai deal na wanasiasa, ila hizo ni claims tu za wafanyakazi wake wa zamani.Vladimir Putin yupo kwenye list ya Billionaires duniani, How comes?
At least nimemuelewa yule aliyesema matajiri wengi wa kiarabu hutowakuta kwenye hizo list.
Nawewe wacha kukariri hakuna Scania au lory litakalotumia Umeme ndugu! Gari za umeme ndiyo hizo IST, huwezi panda Kitonga na Tani 30 kwa umeme.
Biashara ya Mafuta kwamwe haitoweza kudorora katika Dunia hii.
Mabasi ya Mikoani yanayotembea Kilometa 800 labda uyapachike Solar lakini si umeme ambao Betri yake unadumu masaa yasiyozidi Mawili, almost unatoka Dar ukifuka Kibaha uncharge tena. Dar - SINGIDA, Mwanza, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba uende kwa basi la umeme? 😂😂😂
Mkuu Saudi Arabia hakuna Njaa.
Nchi za Kiarabu zilizopo Bara Arabu (Ukitoa zilizopo Afrika) zenye Njaa ni zile zenye Vita tu Yani SYRIA, PALESTINA, LEBANON, YEMEN na IRAQ.
Lakini Nchi kama DUBAI, SAUDI ARABIA, BAHRAIN, QATAR, OMAN na JORDAN hawa Ni Matajiri wana Mihela watu wanakula Bata tu hakuna kitu kinachoitwa Njaa.
Nawewe wacha kukariri hakuna Scania au lory litakalotumia Umeme ndugu! Gari za umeme ndiyo hizo IST, huwezi panda Kitonga na Tani 30 kwa umeme.
Biashara ya Mafuta kwamwe haitoweza kudorora katika Dunia hii.
Mabasi ya Mikoani yanayotembea Kilometa 800 labda uyapachike Solar lakini si umeme ambao Betri yake unadumu masaa yasiyozidi Mawili, almost unatoka Dar ukifuka Kibaha uncharge tena. Dar - SINGIDA, Mwanza, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba uende kwa basi la umeme? 😂😂😂
King NgwabaChief-Mkwawa hebu elimisha watu dizaini hii kuhusu magari ya umeme
Halafu hizi familia za kifalme za Kiarabu now kama wanashindana kumiliki hivi vilabu baada ya Saudi Arabia kumiliki Newcastle, sasa ni zamu ya Qatar royal family wanahitaji arsenal kwa nguvu sana
Saudia arabia hakuna hata Ombaomba kwa akili yako?Watu wote wanalipa bata?
Silent is golden
Yes hakuna Nina uhakika wa hilo, Saudi Arabia inatoa Takriban Dola 800M Per year as a humanitarian Aids kwa nchi za PALESTINE na SYRIA.
Its a rich country
Huko SAUD hakuna mwenyewe Njaa wana system kama za ulaya kama huna kazi unapewa hela ya kuji kimu kimaisha lkn ni kwa RAIA wao tu ila kutokana na life standard yao inakuwa haitoshi.Saudi sio kama bongo mzee hata kama wana maisha magumu huwezikulinganisha na sisi choo cha shimo.
Kwahiyo USA ambayo Inasaidia nchi nyingi na kutoa mabilioni huko duniani haina masikini wala njaa hakuna hata Ombaomba hakuna?
Yaani wewe nje ya football you are practically illiterate kabisa...
Labda hapo kwenye malori ,Ila ulaya kuna mabasi kama haya ya mwendokasi yanatumia nyanya za umemeNawewe wacha kukariri hakuna Scania au lory litakalotumia Umeme ndugu! Gari za umeme ndiyo hizo IST, huwezi panda Kitonga na Tani 30 kwa umeme.
Biashara ya Mafuta kwamwe haitoweza kudorora katika Dunia hii.
Mabasi ya Mikoani yanayotembea Kilometa 800 labda uyapachike Solar lakini si umeme ambao Betri yake unadumu masaa yasiyozidi Mawili, almost unatoka Dar ukifuka Kibaha uncharge tena. Dar - SINGIDA, Mwanza, Tabora, Musoma, Kigoma, Bukoba uende kwa basi la umeme? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa pesa ya madafu hii ni sawa na 3300-trillion tsh..Familia ya kina MBS inamiliki utajiri wa £1 trillion, sasa huu utajiri ni kufuru.