Kuanzia mwaka 2035 Ulaya, Marekani na Japan wataacha kabisa kutengeneza magari yanayotumia nishati ya mafuta na itakuwa ni ya umeme tu.Punguza kukariri
Utajiri wa mafuta wakati magari ya umeme yanashika kasi?
Huu utajiri walionao hata miaka 10 kuanzia leo hauta last..
Mafuta mbele ya magari ya umeme nani atayataka?..
Walipaswa kutazama nchi yao bila mafuta itakuaje....
Magari ya umeme Yana take over the world decade hii hii