Newcastle United na safari ya kuwa Timu Tajiri zaidi Duniani

Newcastle United na safari ya kuwa Timu Tajiri zaidi Duniani

Saudi sio kama bongo mzee hata kama wana maisha magumu huwezikulinganisha na sisi choo cha shimo.
Saudia ni moja kati ya nchi Tajiri duniani na kupitia mfuko wao wa Public fund investment kila mwananchi huwa anapata gawio katika kipindi flani na hii ni nchi ya kifalme
 
Hakuna tofauti na bongo, watu hali ngumu serikali inaendelea kununua ndege.
Mkuu hakuna hali ngumu huko Saudia, sema tu hii nchi ya kifalme na utawala wake unakuwa na sheria kali sana
 
Mambo yanabadilika sana ,nani alitegemea New Castle kuwa tajiri hivi
Tena utajiri wao unakuwa zaidi ya mara kumi ya utajiri wa timu inayofuata nyuma yake ya Man City
 
Mkuu hakuna njaa kama kwetu, huko issue inayozungua ni Ukiukwaji wa haki za binadamu tu
 
SAHIHISHO: Newcastle United inanunuliwa kwa Pound milioni 300 sawa na Euro milioni 338 na wala sio (Bilioni), hakuna timu yenye kununuliwa kwa mabilioni ya Pound au Euro.
 
SAHIHISHO: Newcastle United inanunuliwa kwa Pound milioni 300 sawa na Euro milioni 338 na wala sio (Bilioni), hakuna timu yenye kununuliwa kwa mabilioni ya Pound au Euro.
Kwa pesa za tanzania ndio itaitwa bilioni kama mia 700 hivi
 
SAHIHISHO: Newcastle United inanunuliwa kwa Pound milioni 300 sawa na Euro milioni 338 na wala sio (Bilioni), hakuna timu yenye kununuliwa kwa mabilioni ya Pound au Euro.
On October 7 2021, the club was bought for £300 million by a consortium led by the Saudi Arabian government's sovereign wealth fund.The purchase made Newcastle the richest club in the Premier League. Yassir Al-Rumayyan, the governor of the Public Investment Fund, was named Non-Executive Chairman of the club.
 
Wee saudia ni moja ya nchi tajir dunian ndugu yangu


Punguza kukariri
Utajiri wa mafuta wakati magari ya umeme yanashika kasi?

Huu utajiri walionao hata miaka 10 kuanzia leo hauta last..
Mafuta mbele ya magari ya umeme nani atayataka?..

Walipaswa kutazama nchi yao bila mafuta itakuaje....
Magari ya umeme Yana take over the world decade hii hii
 
Punguza kukariri
Utajiri wa mafuta wakati magari ya umeme yanashika kasi?

Huu utajiri walionao hata miaka 10 kuanzia leo hauta last..
Mafuta mbele ya magari ya umeme nani atayataka?..

Walipaswa kutazama nchi yao bila mafuta itakuaje....
Magari ya umeme Yana take over the world decade hii hii
Mkuu Pitia hapa

Prediction by 2040 kutakuwa na magari ya umeme milioni 300 na itapunguza utumiaji wa mafuta kwa asilimia 2 tu.

Kifupi mkuu kinachofanya mafuta yawe ghali si magari tu, haya mafuta yana mamia ya matumizi ikiwemo hayo magari.

Matumizi yake ni kama lami za barabarani, mafuta ya ndege, chemikali mbalimbali za maabara, plastiki hizi tunazotengenezea mambo kedekede, fiber hizi tunazokalia masofa na mito ya kulalia, na mambo kibao, hizi picha zinaeleza zaidi matumizi ya mafuta

everyday-products_1_orig.jpg


petroleum-hospital-v5-1_1_orig.jpg



Na unajua fact nyengine? Kuna belt inaanzia Uturuki mpaka Afghanistan, ndio concentration kubwa kabisa duniani ya madini, humo kuna lithium, iron, copper, uranium Na madini mengine ambayo ni essential kwa magari ya umeme, gari la umeme halitumii mafuta ila lithium inahitajika kwa wingi ili kutengeneza betri.
 
Punguza kukariri
Utajiri wa mafuta wakati magari ya umeme yanashika kasi?

Huu utajiri walionao hata miaka 10 kuanzia leo hauta last..
Mafuta mbele ya magari ya umeme nani atayataka?..

Walipaswa kutazama nchi yao bila mafuta itakuaje....
Magari ya umeme Yana take over the world decade hii hii
Third world countries kwenye uzalishaji wa umeme ni kwa kiasi kidogo sana

Nafikiri bado hizi nchi zitazidi kuhitaji mafuta kuliko umeme, na kitu kingine ni kuwa magari yatakayo yanatumia umeme Gharama zake zitakuwa kubwa sana na hata kulihudumia, nafikiri magari ya mafuta yatazidi kuoparate

Hata hivyo wa now days, waarabu wananunua sana hisa kwenye makampuni makubwa duniani na hata juhudi za uwekezaji kwenye timu za mpira zimekuwa nyingi sana
 
Mkuu Pitia hapa

Prediction by 2040 kutakuwa na magari ya umeme milioni 300 na itapunguza utumiaji wa mafuta kwa asilimia 2 tu.

Kifupi mkuu kinachofanya mafuta yawe ghali si magari tu, haya mafuta yana mamia ya matumizi ikiwemo hayo magari.

Matumizi yake ni kama lami za barabarani, mafuta ya ndege, chemikali mbalimbali za maabara, plastiki hizi tunazotengenezea mambo kedekede, fiber hizi tunazokalia masofa na mito ya kulalia, na mambo kibao, hizi picha zinaeleza zaidi matumizi ya mafuta

everyday-products_1_orig.jpg


petroleum-hospital-v5-1_1_orig.jpg



Na unajua fact nyengine? Kuna belt inaanzia Uturuki mpaka Afghanistan, ndio concentration kubwa kabisa duniani ya madini, humo kuna lithium, iron, copper, uranium Na madini mengine ambayo ni essential kwa magari ya umeme, gari la umeme halitumii mafuta ila lithium inahitajika kwa wingi ili kutengeneza betri.
Inshort Arab land was blessed as ours Africans, Ila sijui ilikuwaje tukaishia kuwa maskini
 
Mkuu utajiri wa waarabu ni mkubwa zaidi wa huyo tajiri namba moja duniani ila wenyewe data zao hawaziweki wazi
Kinachofanya wasiweke data zao za mapato na vyanzo vyao ni kipi hasa mbona naona kama kuna tatizo?
 
Back
Top Bottom