Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee saudia ni moja ya nchi tajir dunian ndugu yanguExactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape
Ni zaidi ya hiyo mkuu na inafika Pound Bilion 500, ila hiyo 300 ndio wamewekeza kwenye clubJana niliskia mchambuz clouds akisema bin salman ana utajir wa pound bili 300...sidhan kama dunian kuna mtu ana hela hyo labda kina rothschild
😂😂😂 Huko lwa sir god majaliwa ndugu yanguUsijali sana Mkuu, huwezi jua peponi wewe ndo utakuwa Bilionea namba 1
Hahaha
Umeuliza swali zuri mkuu nasubir majibundo maana nmeuliza kwahyo bezos kapitwa na huyo mwarabu au?
Mambo yanabadilika sana ,nani alitegemea New Castle kuwa tajiri hiviTukiendelea kuweka rekodi sawa ni kwamba huu utajiri wa Newcastle United chini Mwana mfalme Mohammed Bin Salman ni mara kumi zaidi ya ule utajiri wa Mancity chini ya Sheikh Mansoor Bin Zayed
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hufaiiiiiiiiExactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape
Waarabu ndio watu wenge pesa ndefu zaidi duniani sema huwa hawapendi kujiweka wazi.Umeuliza swali zuri mkuu nasubir majibu
Exactly...huku wananchi wanalia njaa
Nchi ina invest kuwanunua kina mbape
Saudi sio kama bongo mzee hata kama wana maisha magumu huwezikulinganisha na sisi choo cha shimo.Hakuna tofauti na bongo, watu hali ngumu serikali inaendelea kununua ndege.