Newton aligundua laws nyingi za physics kabla hajatimiza miaka 26, Wewe hapo upo katika 30s ila bado unavuta mlango ulioandikwa "PUSH". πŸ˜‚

πŸŽ“Kitu ulichogundua kikubwa ni namna ya kumbalance mtoto mzuri pale ukiwa unampiga doggy ya kulala dushelele yako isichomoke and you are very proud of it kwa maana hadi leo haijachomoka.
Mlangoni pangeandikwa SUKUMA, bado angeuvuta? Au Newton alitumia Kiswahili na sio lugha yao?
 
Kama wote tungekuwa kama musk,nani awe fundi ujenzi!
Au kama kila nchi ingeridhika na mipaka yake na rasilimali zake wanajeshi wangetoka wapi?
Au kila mtu angekuwa mtakatifu na asiyevunja sheria polisi au viongozi wa dini wasingekuwa na ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…