Ngao ya Jamii 2023/2024 itakwenda Simba Sc, NBC 2023/2024 Bingwa atakuwa Simba Sc

Swala sio kutaka yatimie, tunaomba reference tuone tabiri zake zilizopita maana watu wamedai hajawahi kosea. Tuanzie hapo kwanza kwenye kutokukosea. Leteni hizo link za tabiri zake tuzione.
ya kwanza hii hapa ngao ya jamiii
 
Vipi wajionaje na hali mkuu?? Ngao ya jamii nani kabeba???
 
Vipi wajionaje na hali mkuu?? Ngao ya jamii nani kabeba???
Kwenye penalti, Ali Salim, golikipa wa robo robo fc aliwahi kutoka golini, refa akapeta. Implication: bahasha za khaki ziltembea
 
Na iwe, na watu wote waseme SAWA.

Au sio kweli ndugu zangu Scars, OKW BOBAN SUNZU Shadeeya Kalpana cocastic Bantu Lady Tate Mkuu na wengineo
 

Tumeshamjua mnywa kimpumu. Endelea na jagi lako. [emoji3][emoji3][emoji28]
 
Nyerere hakuwa mjinga kupeleka mwenge na bendera ya taifa kwenye killed cha mlima Kilimanjaro, yule mzee alikuwa ana vitu vingi sana. Simba nao wamepita mle mle;siyo wajinga kupeleka kibegi kileleni.

Mambo ya kiroho yana vitu ambayo mwenye akili ya kawaida ataona ni upuuzi, na hiki kizazi cha wabishi ila wasiojua lolote, hakitabaini jambo hili kirahisi.NDO UMEISHA HIYO, Yanga wasubiri musimu mwingine.
 
Yanga tunasubiri msimu ujao
 
Hapa utabiri umefeli πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimesoma hatua kwa hatua comment ila naona who lough last lough best
 
Usikute mleta mada ndie uran
uran na ndugu yake DR Mambo Jambo kwenye uzi wa Azam vs Simba alikataa kata kata kuwa Yanga hawawezi kuwa mabingwa. Akaweka na utabiri wa mechi za Yanga zitakavyokuwa huku timu yake ya Simba akiipa ushindi mechi zote. Hakika ushindi dhidi ya Azam ukaupa upofu juu ya Simba na kisha wakaidharau Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…