Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Msaada plz [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji115]
 
Asanteni kwa taarifa but ipi sahihi kati ya laki tatu na laki mbili na hamsini na sita ?
 
Mimi nipo sErikalin,mwaka,wa,pili,sasa TGTS D1 NAPOKEA MIASITA HIV sasa kwa bongo hiii nadhan naish kibish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…