Very good, sasa umeanza kua mjinga-Kwa kifupi most of MD ni watumishi wa Tamisemi
- nani kakudanganya WCF wamejaa MD? most of them ni compliance officers, NBIF wamejaa wataalam wa Bima na wale acturial, Osha ni mchanganyiko wa kada, BOT wamejaa wahasibu,
- Hujajibu swali langu nilikuuliza wanahama tra wanaenda wapi?
hawajajaa MD ila wapo,kama tu ilivo BOT,TANAPA,UDSM,UDOM,TANESCO eeenheee salary ya MD ,na wa hao kada nyingine ipi kubwa,kwenye hizo taasisi?😁😀😀😆