Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Ufala ni kuwaza TRA ndio wanalipa Top salary kuliko taasisi yeyote ile
Sasa kama mtu anakuwa specialist (mmed) analipwa 2.3m hiyo ukiipeleka sio salary hata ya ofisa,
Tra, ewura, tcaa, tcra et al
 
Kama hapa,unaposema hakuna zaidi ya TRA,huu ni zaidi ya ufala,.......watu wanahama TRA wanaenda kutafuta greenest pasture,wewe unasema ndio umeshafika
Wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma?
 
Sasa kama mtu anakuwa specialist (mmed) analipwa 2.3m hiyo ukiipeleka sio salary hata ya ofisa,
Tra, ewura, tcaa, tcra et al
Inawezekana wewe ni mpumbavu,subiri tuone hapa kama ni kweli.😃😁😃😆
1.TRA kama lilivo mashirka mengine ya umma,:Wana salary yao,na huko kwenye mashirika ya umma wanaajiri kada mbali mbali ikiwemo MD,wahasibu,wanasheria,wagavi etc
2.hio 2.3M ya MMED ni ambaye yupo TAMISEMI,sasa jiulize kada nyingine TAMISEMI wenye master wanalipwa bei gani?,....kama wahasibu,wanasheria etc,......Jibu=hakuna salary ya master, wengi wanakula salary chini ya laki 8,kwa aneanza kazi hata aanze na PhD,while MD,akiwa na PhD TAMISEMI anatambulika kama super specialist,anaanza na 3.9M😃😁😆
je wewe sio mpumbavu?
3.kwenye taasisi za umma ulizotaja,MD wanaajiriwa vizuri tu,.......unajua salary ya MMED,pale BOT,TPA,WCF,NHIF,UDSM,OSHA,NCAA?,au unajua MMED anakaa tu hospitali za TAMISEMI?😁😃😆,
Huko kote wanaajiri MD ,ana salary yake ambayo ni kubwa kuliko hata za kada nyingine,yes hii ni rule of thumb
kipindi Muhasibu wa EWURA anaanza na PGSS 7,MD tu anaana na PGSS 8,😃😁
4.Kua unafananisha mtu wa kada yeyote wa taasisi na MD wa TAMISEMI,huo mfanano sio halisi,fananisha MD wa NIMR,EMILIO MZENA na hao wa kada nyingine wa hizo taasisi uone gape
5.Unadhani kukaa darasani miaka 8 ni jambo dogo😀😁😀
Je wewe sio mpumbavu?
 
Wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma?
Kwa kua wewe ni mpumbavu sitakupa jibu,..........😃😁😁
je wewe sio mpumbavu?
Hadi unioneshe kua wewe ni mjinga ndio nitakupa jibu
 
Kwa kua wewe ni mpumbavu sitakupa jibu,..........😃😁😁
je wewe so moumbavu?
Hadi unioneshe kua wewe ni mjinga ndio nitakupa jibu
Sio kwa kuwa mimi ni Mpumbavu ni kwa sababu, unajua jibu utakalotoa litakufanya uaibike
Jifunze kujenga hoja bila matusi, mimi mbona nimeuliza swali rahisi tu "wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma"? Umekosa jibu si ndio
 
Sio kwa kuwa mimi ni Mpumbavu ni kwa sababu, unajua jibu utakalotoa litakufanya uaibike
Jifunze kujenga hoja bila matusi, mimi mbona nimeuliza swali rahisi tu "wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma"? Umekosa jibu si ndio
Enheee yaani Hadi unaingia jamii forum,haujui kua taasisi ulizotaja wanaajiri MD ,na Wana salary kubwa tu kuliko hata kada zingine,Mfano civil pale UDSM anaanza na PGSS 6,MD anaanza ana PGSS 8.
Mpumbavu sio tusi,kamusi rasmi ya kiswahili ya Balaza la kiswahili Tanzania inasema.
Mpumbavu ni mtu asiyejua akajifanya anajua.😄😆
Kitendo cha kuchukua mfanyakazi wa EWURA,TANAPA=Taasisi----------,kisha ukaja kufananisha na salary ya MMED wa TAMISEMI,huo ni upumbavu tosha,......kwani unadhani TANAPA hawana MD/MMED😆😆,fananisha sasa salary scale za wafanyakaz wa kada tofauti wa taasisi moja uje uone MD anavowapiga fimbo wenzake,iwe serikalini ama or ate sector.
Sitakupa majibu😃😁😆😆
Nitakupa facts ili nikuoneshe kua wewe ni mpumbavu
 
Enheee yaani Hadi unaingia jamii forum,haujui kua taasisi ulizotaja wanaajiri MD ,na Wana salary kubwa tu kuliko hata kada zingine,Mfano civil pale UDSM anaanza na PGSS 6,MD anaanza ana PGSS 8.
Sitakupa majibu😃😁😆😆
Nitakupa facts ili nikuoneshe kua wewe ni mpumbavu
Taasisi nilizotaja mimi ni Tra, ewura, tcaa, tcra.
Unalinganisha udsm na tra?, ewura, tcaa, tcra? Hizo taasisi nilizozitaja except tra zimejaza engineers hakuna MD anaingia ewura, tcaa, tcra huko most of them ni engineers.
Bado hujajibu swali langu kwamba "wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma " Kwa hiyo unataka kusema mtu anahama tra aende udsm? Extraduty allowance ya tra inalingana na ya udsm? Incentive allowance ya udsm inalingana na ya tra? Per diem ya udsm inalingana na ya tra?
 
Taasisi nilizotaja mimi ni Tra, ewura, tcaa, tcra.
Unalinganisha udsm na tra?, ewura, tcaa, tcra? Hizo taasisi nilizozitaja except tra zimejaza engineers hakuna MD anaingia ewura, tcaa, tcra huko most of them ni engineers.
Bado hujajibu swali langu kwamba "wanahama tra wanaenda sehemu gani kwenye utumishi wa umma " Kwa hiyo unataka kusema mtu anahama tra aende udsm? Extraduty allowance ya tra inalingana na ya udsm? Incentive allowance ya udsm inalingana na ya tra? Per diem ya udsm inalingana na ya tra?
Je wewe sio mpunbavu?,😁😀😆
Enhee pale NHIF,WCF,OSHA,NIMR.......ambapo zimejaa KADA ya afya 90%MTU aje afananishe na engineer wa halmashauri anayelipwa milioni 1,aje aseme kua engineer kule analipwa kidog kuliko mtaalamu wa maaabara wa diploma wa NIMR anayeanza na 1.8M?,huyo mtu atakua sawa?😃😁😆😆😆--------mlinganisho sahihi unaupata kwa wafanyakazi wa kada tofauti wa taasisi moja
Umeona ulivo mpumbavu?
Ndo maana nikakuambia ukitaka upate mlinganisho sawa chukua MD/MMED wa TRA,TANAPA,BOT,NHIF,UDSM,TAMISEMI,kisha linganisha na kada zingine wa hizo taasisi uone anavowapiga fimbo wenzake😃😁😆
Hadi hapa haujana ulivo mpumbavu?
Yaaani huwezi sema uchukue mshahara wa barmaid wa marekani uje ulinganishe na daktari wa Tanzania-----bar maid wa U.S utakua mkubwa tu.😀😄😀😁😆
Linganisha mshahara wa MD wa U.S na wa bar maid wa U.S😆😁
Bado haujaona jinsi ulivo mpumbavu?
 
Enheee yaani Hadi unaingia jamii forum,haujui kua taasisi ulizotaja wanaajiri MD ,na Wana salary kubwa tu kuliko hata kada zingine,Mfano civil pale UDSM anaanza na PGSS 6,MD anaanza ana PGSS 8.
Mpumbavu sio tusi,kamusi rasmi ya kiswahili ya Balaza la kiswahili Tanzania inasema.
Mpumbavu ni mtu asiyejua akajifanya anajua.😄😆
Kitendo cha kuchukua mfanyakazi wa EWURA,TANAPA=Taasisi----------,kisha ukaja kufananisha na salary ya MMED wa TAMISEMI,huo ni upumbavu tosha,......kwani unadhani TANAPA hawana MD/MMED😆😆,fananisha sasa salary scale za wafanyakaz wa kada tofauti wa taasisi moja uje uone MD anavowapiga fimbo wenzake,iwe serikalini ama or ate sector.
Sitakupa majibu😃😁😆😆
Nitakupa facts ili nikuoneshe kua wewe ni mpumbavu
- Umejiona jinsi usivyokuwa makini mara ya kwanza uliandika, halafu ukaja kurekebisha ulochoandika bahati nzuri nimewahi kukunukuu.
-Taasisi nilizozitaja mimi hakuna MD hata mmoja, taasisi kama tra, ewura, tcaa, tcra halafu unasema taasisi nilizozitaja, soma kwa umakini.
-Kwenye hoja yangu sikutaja TANAPA, na hata huko TANAPA waliojaa kwa wingi ni Wale wataalam wa wildlife ndio wengi kuliko kada zote pale tanapa kwa sababu conservation ndio principal activity ya tanapa MD. HR, ACCOUNTANTS, et al hao ni supporting staff ambao wapo wachache
- mimi tangu awali msimamo wangu ulikuwa wazi kabisa, nikakwambia tra wako juu, nilikwambia hivyo ili nikuoneshe kuwa tra wako juu kuliko MD/mmed na nikakwambia kuwa salary scale ya tra kwa afisa anamzidi Daktari bingwa (mmed) au ulikuwa husomi?
-na kwa kukuongezea tu vitengo vingi vyenye maslahi mazuri kwenye utumishi wa umma vinavyohitaji MD ni vichache mno,
 
Je wewe sio mpunbavu?,😁😀😆
Enhee pale NHIF,WCF,OSHA,NIMR.......ambapo zimejaa KADA ya afya 90%MTU aje afananishe na engineer wa halmashauri anayelipwa milioni 1,aje aseme kua engineer kule analipwa kidog kuliko mtaalamu wa maaabara wa diploma wa NIMR?,huyo mtu atakua sawa?😃😁😆😆😆
Umeona ulivo mpumbavu?
Ndo maana nikakiambia ukutaka update mlangisho sawa chukua MD/MMED wa TRA,TANAPA,BOT,NHIF,UDSM,TAMISEMI,kisha linganisha na kada zingine uone anavowapiga fimbo wenzake.
Hadi hapa haujana ulivo mpumbavu?
Yaaani huwezi sema uchukue mshahara wa barmaid wa marekani uje ulinganishe na daktari wa Tanzania-----bar maid wa U.S utakua mkubwa tu😀😄😀😁😆
Linganisha mshahara wa MD wa U.S na wa bar maid wa U.S😆😁
Bado haujaona jinsi ulivo mpumbavu?
  • nani kakudanganya WCF wamejaa MD? most of them ni compliance officers, NBIF wamejaa wataalam wa Bima na wale acturial, Osha ni mchanganyiko wa kada, BOT wamejaa wahasibu,
  • Hujajibu swali langu nilikuuliza wanahama tra wanaenda wapi?
-Kwa kifupi most of MD ni watumishi wa Tamisemi
 
- Umejiona jinsi usivyokuwa makini mara ya kwanza uliandika, halafu ukaja kurekebisha ulochoandika bahati nzuri nimewahi kukunukuu.
-Taasisi nilizozitaja mimi hakuna MD hata mmoja, taasisi kama tra, ewura, tcaa, tcra halafu unasema taasisi nilizozitaja, soma kwa umakini.
-Kwenye hoja yangu sikutaja TANAPA, na hata huko TANAPA waliojaa kwa wingi ni Wale wataalam wa wildlife ndio wengi kuliko kada zote pale tanapa kwa sababu conservation ndio principal activity ya tanapa MD. HR, ACCOUNTANTS, et al hao ni supporting staff ambao wapo wachache
- mimi tangu awali msimamo wangu ulikuwa wazi kabisa, nikakwambia tra wako juu, nilikwambia hivyo ili nikuoneshe kuwa tra wako juu kuliko MD/mmed na nikakwambia kuwa salary scale ya tra kwa afisa anamzidi Daktari bingwa (mmed) au ulikuwa husomi?
-na kwa kukuongezea tu vitengo vingi vyenye maslahi mazuri kwenye utumishi wa umma vinavyohitaji MD ni vichache
umetoka kuwagusa MD,umerui kweye madam sasa,very good
Sasa umekua mjinga
unasema TRA wapo juu unajua mtu mwenye diploma ya account pale EMILIO nzena hospitali analipwa bei gani?😁😆
Unajua TRA ni taasis ndani ya Wizara ya fedha kama ilivo BOT.
Enhe unajua zonala brach wa TRA na BOT yupi ana maslahi mapana?
Ok tuache yote-----unajua PS wa BOT pale Mtwara na afisa wa TRA pale Mtwara salary tofauti TU ya salary yao?
Unajua bachelor degree Accountant wa TANAPA analipwa bei Gani?
 
Master ya afya pekee kwenye utumishi ukiacha academic institution ambayo Ina salary ni MMED,ukiwa wizara/TAMISEMI,utaanza na TGHSG=2,300,000/=,Mashirika ya umma PMGSS 11=3,200,000/=
Haya twende kazi master ya MD ni hiyo 3.2 m hii salary ukiipeleka tcaa unajua ni ya ofisa wa rank gani?
 
Back
Top Bottom