Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

Nyauba nadhani yuko sahihi, hijafikia laki 3 kwa kweli!!!


Hebu tupange budget kwa mwezi hapa
  1. Chumba kwa mwezi - 40,000
  2. Nauli kwenda na kurudi kazini - (800 kwenda na kurudi kwa siku 1 x siku 20 za kazi kwa mwezi = 16,000)
  3. Bill za maji - 10,000
  4. Umeme - 10,000
  5. Unga |mchele |maharage
  6. Mafuta ya kupikia
  7. Sukari
  8. Chumvi
 
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...

==============
July 2014 UPDATE:
Duh una nondo. Vipi viwango vya walimu was vyuo vikuu na taasis nyj gine za elimu kama chuo cha takwimu. Mipango nk?
 
Habari wadau hivi mshahara wa mahakama TGOS "A"ni sawa na shilingi ngapi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…