Aiseee 😂Nyie ndo mnakuwa mizigo kazini, sabab ya kupelekwa hukuomba Kazi umepelekwa tu..eti nimeambiwa nichague ujue watu humu wanasifa za kufanya kazi huzo wanatafuta hawapati we unakuja na utoto wako humu ndani...p.mba.f kabisa!
kumbe?What i have discovered people are panicking lakini niwakumbushe tuu mi mwenyewe nimemaliza 2014 hadi sasa sijapata kazi lakini huyu kigogo niliyempata now najua kabisa nitapata kazi that why nimelileta huku lakini some mnakuja na Matusi na Kejeli siyo Poa
Jaman hii PRSS 1.1 NI BEI GANI BASIC NA TAKE OMU YAKE INABAKI NGAPI??Samahani ndugu, nimejaribu kutafuta PRSS scale ya 1.1 sijafanikiwa kuiona.Je unaufahamu kuhusu hiyo au na yenyewe inalingana na NIP ipi?
HatariInshu ya mishahara ni pasua kichwa aisee ukitaka kuona maajabu ya musa njoo tanzania
Pale ambapo unamkuta totorial assistant anafundisha chuo ana bachelor degree ya education mathematics na gpa ya 4 analipwa million 1.7 wakati mwalimu mwenye degree hiyo hiyo na gpa hiyo hiyo yuko kibaigwa secondary anallipwa TGTS D1 716,000 ikikatwa makato na bodi ya mkopo anabaki na 460,000
Wazee Mwenye ufahamu salary scale PGSS 6.1,ni Sawa million ngap?plz
Sikizote hapo uchaguzi ni wako binafsi unataka upate kazi wapi. ukiwa na gpa kubwa usiombe ualimu wa shule bali omba wa chuo kama unataka mshahara mnono ma uombee kusiwe na competition kubwa.Inshu ya mishahara ni pasua kichwa aisee ukitaka kuona maajabu ya musa njoo tanzania
Pale ambapo unamkuta totorial assistant anafundisha chuo ana bachelor degree ya education mathematics na gpa ya 4 analipwa million 1.7 wakati mwalimu mwenye degree hiyo hiyo na gpa hiyo hiyo yuko kibaigwa secondary anallipwa TGTS D1 716,000 ikikatwa makato na bodi ya mkopo anabaki na 460,000
hapana ni 1,175,000zaidi ya 1.3M
Walimu kumbe ni 460000 tu kwa mwezi? Duuh! Nilijua laki 8Inshu ya mishahara ni pasua kichwa aisee ukitaka kuona maajabu ya musa njoo tanzania
Pale ambapo unamkuta totorial assistant anafundisha chuo ana bachelor degree ya education mathematics na gpa ya 4 analipwa million 1.7 wakati mwalimu mwenye degree hiyo hiyo na gpa hiyo hiyo yuko kibaigwa secondary anallipwa TGTS D1 716,000 ikikatwa makato na bodi ya mkopo anabaki na 460,000
Mm hapo mmeniacha kabisa mngeweka na kirefu cha hizo initial tueleweWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
300k+
Mshahara wakawaida sana mf askari asiye na cheo anaanza na laki 4 na point hyo ni kwa wote wizara ya mambo ya ndani lkn Tpdf inaongezeka kdogo anayeanza anakura laki 5 point wanapopata hela hawa wizara ya mambo ya ndani na Tpdf ni maposho wanayopata ni nyingiMajeshini huko vipi....nasikia mpunga wao sio wa kitoto...has a polisi