725,000 per Month. Kwa serikaliMfano umeitwa kazini na mshahara uliopangiwa ni TGS D , Hivi hapo kuna kuwa na posho , na inakuwa sh ngapi ?
725,000 per Month. Kwa serikali
We darasa la ngapi mkuu? Mbona unauliza swali la kindergarten? Ulisikia wapi posho inafanana sehemu zote?Kumbe
Posho huwa inaazia sh ngapi ?
We darasa la ngapi mkuu? Mbona unauliza swali la kindergarten? Ulisikia wapi posho inafanana sehemu zote?
Vipi we unaonaje?ARE YOU SURE ?
Vipi we unaonaje?
That is! Niamini Tafadhali katika hili.Nimeuliza tu
That is! Niamini Tafadhali katika hili.
Mshahara wa serikali unapandaga taratibu sana!Lugha ngumu kumbe!...nyota nyota
What about TRCS 5 ni sh ngap hiiWanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014 UPDATE:
980,000/= tghs C basicnisaidiwe katibu afya akiwa anaanza analipwa kiasi gani?? saivi
Kwa tamisemi
1. Veterinary doctor II
2. Medical doctor II
3. Pharmacist II
4. Medical laboratory technologist II
Natanguliza shukrani
Shukrani mkuuNitakujibu kwa hizi nne, lakini nakupatia scale na figure zake rounded off (not exactly)
1. Veterinary doctor II - TGS E (1.2 M)
2. Medical doctor II - TGHS E (1.4 M)
3. Pharmacist II - TGHS D (900 k)
4. Medical laboratory technologist II - TGHS B (680 k)
NB: hiyo Medical Lab technologist umemaanisha mwenye Diploma? Maana Bachelor degree anaitwa Scientist
Medical lab nilimaanisha mwenye degreeNitakujibu kwa hizi nne, lakini nakupatia scale na figure zake rounded off (not exactly)
1. Veterinary doctor II - TGS E (1.2 M)
2. Medical doctor II - TGHS E (1.4 M)
3. Pharmacist II - TGHS D (900 k)
4. Medical laboratory technologist II - TGHS B (680 k)
NB: hiyo Medical Lab technologist umemaanisha mwenye Diploma? Maana Bachelor degree anaitwa Scientist